namba moja tuu
Senior Member
- May 4, 2017
- 162
- 142
Habari Wana jamvi karibuni tuweze kujadili namna vipi ya kujikinga na magonjwa yasio ambukizwa kupitia lishe na mfumo mzima wa maisha
Apendelee sana matunda kwakua kuna vitamin ambazo zinaenda kuimarisha kuta za moyoNaomba kujua tiba lishe ya MTU ambaye tayari Ana tatizo la presha ya kupanda?kipi ale kipi asile
Naomba shule kuhusu hizi products za stem cells faida na hasara zake.Habari Wana jamvi karibuni tuweze kujadili namna vipi ya kujikinga na magonjwa yasio ambukizwa kupitia lishe na mfumo mzima wa maisha
Ingefaa ungehusianisha na diabetes type gani kwakua lengo la Tiba lishe ni kutarget disorder ilipo Kama kuongeza au kupunguza lisheJe kwa MTU mwenye diabetes chakula gani Kina mfaa
Type 2Ingefaa ungehusianisha na diabetes type gani kwakua lengo la Tiba lishe ni kutarget disorder ilipo Kama kuongeza au kupunguza lishe
1:Aache vyakula vyenye sukari nyingi na wanga ikiwemo na chumvi nyingiType 2
Kuhusiana na hizi product ni kweli Ila lazima ueleweshwe kwanza pia anaekuuzia azijue kazi yake sio unakuta tangazo tuu usishawishike na tangazo la product Bali ufanisi wakeNaomba shule kuhusu hizi products za stem cells faida na hasara zake.
Je? Ni kweli zinatibu magonjwa megi Kama tunavyoaminishwa na promoters wa hizo products??
Huwa namfuatilia Dr Boaz Mkumbo Instagram. Anafundisha Sana kuhusu chakula na Mambo mengi kuhusu magonjwa ya kisukari.Je kwa MTU mwenye diabetes chakula gani Kina mfaa
Elimu ya lishe ni Pana sana kwahiyo inategemea ww unataka kupata elimu katika Nyanja ipi waliouliza jamvini wamejibiwa na waliouliza PM wamejibiwa karibu Kwa swaliNipo hapa kupata elimu
nakazia mimi nina miaka 26 na nina kg 95 naomba unisaidie nile milo ya aina ya makundi yapi niwe na kilo walau 70 au 68Elimu ya lishe ni Pana sana kwahiyo inategemea ww unataka kupata elimu katika Nyanja ipi waliouliza jamvini wamejibiwa na waliouliza PM wamejibiwa karibu Kwa swali