Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Hapana sipatwi na diarrhoea.
Hapa kuna risk ya kwamba Ulcers yako imeleta complication nayo inaweza kusababisha vitu kadhaa kimojawapo ni
-Tundu kwenye ukuta wa tumbo ambayo inaweza kupeleka peritonitis(ambayo ni inflammation kwenye peritoneum ,{the lining of the inner wall of the abdomen and cover of the abdominal organs)

Hii inaleta maumivu unayoyaongelea au unayoyapitia.Ikiendele kwa muda mrefu inaweza kupelekea infection.Treatment ni tofauti lakini ningekushauri uende kwa spesialist wa magonjwa ya tumbo. Worse case scenario inaweza kuwa Gastric cancer!

Kila la kheri!
 
Hapa kuna risk ya kwamba Ulcers yako imeleta complication nayo inaweza kusababisha vitu kadhaa kimojawapo ni
-Tundu kwenye ukuta wa tumbo ambayo inaweza kupeleka peritonitis(ambayo ni inflammation kwenye peritoneum ,{the lining of the inner wall of the abdomen and cover of the abdominal organs}),hii inaleta maumivu unayoyaongelea au unayoyapitia.Ikiendele kwa muda mrefu inaweza kupelekea infection.Treatment ni tofauti lakini ningekushauri uende kwa spesialist wa magonjwa ya tumbo. Worse case scenario inaweza kuwa Gastric cancer!

Kila la kheri!
Ameeen.
 
Heshima kwenu wakuu,
Dr. Mi nina tatizo la kisigino kuuma hasa asubuhi nikiamka na kukanyaga chini kisigino cha mguu wa kushoto kinauma kama nimekanyaga miiba, baada ya kutembeatembea maumivu hupungua kiasi
Nyakati zingine nikikaa kwa muda wa nusu saa nikisimama kutembea maumivu nasikia tena kwenye kisigino
Naomba msaada nifanyeje na ni tatizo gani hili?

Nisaidie Doctor kwa hilo
Asante
 
Heshima kwenu wakuu,
Dr. Mi nina tatizo la kisigino kuuma hasa asubuhi nikiamka na kukanyaga chini kisigino cha mguu wa kushoto kinauma kama nimekanyaga miiba, baada ya kutembeatembea maumivu hupungua kiasi...
Una kitu kinaitwa plantar faciitis! Hii inasababishwa na inflammation kwenye kisigino ambayo huweza kusambaa mpaka kwenye vidole vya miguu.

Hali hii inatokana na kusimama muda mrefu kwenye sakafu(kutokana na kazi mf) bila kuvaa viatu sahihi au huwapata wanariadha.

Unaweza kumaintain kwa kuepuka kusimama muda mrefu au kuvaa viatu vyenye soli maalum vinavyosupport kisigino,kama uzito wako wa mwili umezidi nakushauri pia ujitahidi kupungua.

Kama hali ikiwa mbaya sana cortison injections ni option nyingine.

Kila la kheri
 
Doctor Nina tatizo la fungal infection chini ya korodan, pia nimejikuta kushindwa kusimamisha uume katika tendo la ndoa , pia msukumo wa hamu ya mapenzi umekua chini sana naomba msaada doctor
Je umetumia dawa ya aina yoyote?Kwa matatizo yote mawili yanayokusibu?

Unatumia dawa ya aina yoyote kwaajili ya magonjwa mengineyo?Au una matatizo ya presha/kisukari?
 
Naomba msaada wa kitiba au ushauri.

Nina tatizo la kutokwa na misuli mikononi, yani kutoka kwenye kiganja hadi kwenye kipepsi/kisukusuku na huwa ikitoka mikona yote inakuwa na maumivu. Naomba kujua utatuzi wa hali hii kitaalamu.
 
Abari Dr...kuna miaka kama kumi imepita nilienda kunyoa nywele sehem baada ya hapo nkaanza kupata viupele kichwan yaan vinakuwa na majimaji iv vinakauka alafu vinarudi ...mpaka sasa bado vinasumbua afu cha kushangaza vinatokea sehem fulan mfano sehem za mbele za kichwa sehem nyingne havipo kabsa..je nitumie dawa gani... Ahsante
 
Tafadhali ninaomba msaada, ninatatizo la kuumwa kichwa sana hasa kuanzia mda wa mchana ,kichwa kinauma chini ya jicho na kusambaa sehemu nyingine hasa nikilala, tatizo lilianza baada kuanza kusikia maumivu kwenye pua ya upande wa kushoto na pia kuhisi harufu ambayo siyo ya kawaida,nulionana na daktari ambaye aliniambia ninasumbuliwa na tatizo la sinuses na akaniandikia dawa ya amoxiclav nimemeza dozi lakini bado sijapata nafuu ,kichwa kinauma sana.Tafadhali ninaomba msaada wa ushauri nitumie dawa gani.Asante

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Hellow wapendwa,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu dawa zozote zenye active ingredients (DRUGS). Kama una maswali kuhusu matumizi yake, matumizi yake pamoja na dawa nyingine, vyakula (interactions), athari zake (side effects) au hata kama unataka kujuzwa jinsi dawa inavyofanya kazi kutibu ugonjwa!!

Karibuni sana.


A


B


C



D


E


F
Mkuu, hivi minyoo ya Amiba dawa yake ya kuvitokomeza ni ipi, maana nimetumia sana vidonge vya Albendaz, havikunisaidia.
 
Natumia sonaderm pamoja na griseofulvin pia nilishauriwa kutumia omeflex, dozi zinakaribia kuisha na tatizo la fangas linapungua taratibu lakini muamko wa hisia za mapenzi Bado sioni matokeo.
Dawa ambayo inakusaidia na fungus kati ya hizo tatu ulizotaja ni griseofulvin na sonaderm Gm.Omeflex ni dawa inayotumika kutibu maumivu yanayohusiana na arthritis so sijajua kwanini umeshauriwa utumie.
Fungus haihusiani na mapungufu ya nguvu ya kiume ila psychology yako inachangia mfano kukosa kujiamini kunaweza kusababisha ushindwe kufanya tendo.Ila sikushauri ukutane na mtu kimwili ukiwa na fungal infection ya sehem za siri.Unaweza kutumia dawa nyingine kama mfano Viagra kama una tatizo la erectile dysfunction.
 
Tafadhali ninaomba msaada, ninatatizo la kuumwa kichwa sana hasa kuanzia mda wa mchana ,kichwa kinauma chini ya jicho na kusambaa sehemu nyingine hasa nikilala, tatizo lilianza baada kuanza kusikia maumivu kwenye pua ya upande wa kushoto na pia kuhisi harufu ambayo siyo ya kawaida,nulionana na daktari ambaye aliniambia ninasumbuliwa na tatizo la sinuses na akaniandikia dawa ya amoxiclav nimemeza dozi lakini bado sijapata nafuu ,kichwa kinauma sana.Tafadhali ninaomba msaada wa ushauri nitumie dawa gani.Asante

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Nakushauri ukachekiwe MIGRAINE.Una dalili zake.
 
Naomba msaada wa kitiba au ushauri.

Nina tatizo la kutokwa na misuli mikononi, yani kutoka kwenye kiganja hadi kwenye kipepsi/kisukusuku na huwa ikitoka mikona yote inakuwa na maumivu. Naomba kujua utatuzi wa hali hii kitaalamu.
Mikono inakufa ganzi pia?
 
Abari Dr...kuna miaka kama kumi imepita nilienda kunyoa nywele sehem baada ya hapo nkaanza kupata viupele kichwan yaan vinakuwa na majimaji iv vinakauka alafu vinarudi ...mpaka sasa bado vinasumbua afu cha kushangaza vinatokea sehem fulan mfano sehem za mbele za kichwa sehem nyingne havipo kabsa..je nitumie dawa gani... Ahsante
Una tatizo la superficial folliculitis(razor bumps),hali hii inatokea bacteria wanapoingia kwenye hair follicles na kusababisha inflammation.Tiba zipo tofauti kutokana na kama una muwasho tu au una infection pia.Usafi ni muhimu,safisha hilo eneo na maji vuguvugu pamoja na antibacterial soap mara mbili kwa siku na kausha kwa taulo safi.Kama vipele vinawasha unaweza kutumia hydrocortisone cream. Mwanzoni inashauriwa usinyoe kwa miezi mitatu .Ikisha Epuka kunyoa kwa kinyozi na mashine za kuchangia,nunua mashine yako binafsi ambayo utatumia wewe tu.
 
Habari Dr, mimi nina tatizo la kuwa na kiwango kikubwa cha uric acid mwilini ambapo kimesababisha baadhi ya joints kuuma sana,..nilienda hospitali na nilipewa dose ya omeprazole, baada ya kuitumia sijaona nafuu yoyote.je naweza kutumia dawa nyingine tofauti na hii nilotumia ambayo inaweza kunipa unafuu zaidi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una kitu kinaitwa plantar faciitis! Hii inasababishwa na inflammation kwenye kisigino ambayo huweza kusambaa mpaka kwenye vidole vya miguu.

Hali hii inatokana na kusimama muda mrefu kwenye sakafu(kutokana na kazi mf) bila kuvaa viatu sahihi au huwapata wanariadha.

Unaweza kumaintain kwa kuepuka kusimama muda mrefu au kuvaa viatu vyenye soli maalum vinavyosupport kisigino,kama uzito wako wa mwili umezidi nakushauri pia ujitahidi kupungua.

Kama hali ikiwa mbaya sana cortison injections ni option nyingine.

Kila la kheri
Asante sana doctor kwa ushauri, ngoja niufanyie kazi
Ubarikiwe sana
Shukrani
 
Hi doctor,ikitokea mtu alikuwa na tatizo la genital warts,akatumia podophylln cream lakini kwa kutokujua ikamuunguza kwenye scrotum kwa sababu alipaka dawa nyingi ,nini tiba yake?
 
Doctor sijajua Kama umelijib Hili swali, Ila mke wangu anasumbuliwa Sana na tumbo la hedhi/period na hasa zile siku za mwanzon, je kuna dawa gani ambazo zitamsaidia kuepuka ilo tatizo maana uwa likimshika awezi kufanya kitu chochote siku nzima.

Ahsante.
 
Back
Top Bottom