Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

Hellow wapendwa,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu dawa zozote zenye active ingredients (DRUGS). Kama una maswali kuhusu matumizi yake, matumizi yake pamoja na dawa nyingine, vyakula (interactions), athari zake (side effects) au hata kama unataka kujuzwa jinsi dawa inavyofanya kazi kutibu ugonjwa!!

Karibuni sana.

A



B


C



D


E



F
Shukran mkuu
 
Walimpa Metro na kumchoma Sindani gani?????

Kama walimpa Metronidazole vidonge na Kumchoma sindano mostly ni Ceftriaxone lakini bado anachemka inawezekana kabisa Infection bado ipo kwenye damu ndio maana Homa haiishi. Sababu ni mtoto vizuri urudi nae hospital kuwaeleza hali halisi nenda na karatasi za matibabu ya awali hii itatoa muongozo mzuri kujua nini kilifanyika kabla.
Dr
Mwanangu ana miaka 4 hv na miez 7,
Majuzj aliugua ikawa ikfka jion anachemka na analalamika tumbo,

tukampeleka hspital alvyopimwa haja, na mkojo akakutwa ana wadudu tumbon waliwataja jina sikmbuk vzur jina la hao bakteria,

akapewa fragil na akaandikiwa sindano 5 amemalza,
alkuwa analalamika tumbo saiz haihs maumivu yyte ila ikifka jion anachemka sana ukmuulza nn knauma anasema hamna kitu. akipewa panadol anarecover baada ya muda tena usku anachemka

kapimwa malaria hana

Msaada wako Dr atumie dawa gan hapa maana duh!! huu mwendo panado kila muda sio inshu
 
Mara nyingi Chest pain ambazo zinamove kusambaa mpaka maeneo ya mikono huusishwa na ugonjwa wa MI means katika mishipa ya damu inayosupply damu kwenye moyo una shida hivyo moyo haupati Oxygen ya kutosha hii hupelekea misuli ya moyo kupata shida na kusababisha maumivu haya. Je ulishawahi kupea dawa yoyote????? Mfano Clopidogrel..Aspirin..Atorvastatin au Isosorbide Mononitrate????? Ulipotumia kulikuwa na improvement yoyote ile??

Vipimo ulivyofanya vingetosha kabisa Kuonesha kama kuna hili tatizo lakini wao walibase sana kwenye Moyo je Hawakufanya XRAY ya kifua kuangalia na mapafu???? Pia ningesema ni Pneumonia lakini lazima ungekuwa na Homa na kukohoa. Pole sana kiukweli ni changamoto
Habari doctor na Wana ajf Mimi ni mwanamama wa miaka 27 ...toka mwezi wa tatu nikianza kupata tatizo la kuumwa na kifua eneo la katikati ya maziwa baaada ya kwenda hospital nikafanyiwa uchunguzi wa vidonda vya tumbo lakini havikuonekana baaadae nikaaanza kupata shida ya upumuaji kwa muda Sasa hivi limezuka tatizo la maumivu makali Sana upande wa kushoto wa kifua mpaka mkono wote wa kushoto unauma na wakati mwengine maumivu yanakuja mpaka bega la kulia kwa nyuma nishafanya vipimo vya moyo Kama ECG na ECO hospital karibu tatu kubwa morogoro lakini moyo inaonesha hauna shida ...madactar wakanipa rufaa kuja muhimbili huku Napo nikafanyiwa ECO lakini haikuonesha Kama ninashida nikafanya kipimo Cha mapafu na hpylol na full blood count lakin bado havioneshi Kama Nina tatizo......napata maumivu makali Sana na nimekosea muelekeo naomba kujua ili nitatizo gani na ipi tiba ya maradhi haya...asante
 
Macho yamekufa huoni mbali inawezekana ni tatizo la Lens za macho au pia inawezekana kuna shida kwenye part nyingine ya macho ili kupata majibu sahihi nenda Hospital utafanyiwa Test mbalimbali kama uwezo wako wa kutambua herufi na kusoma maneno flani kwa umbali flani then utapewa MIWANI inayokustahili.
kupimani sh ngap boss?
 
Punyeto ina Psychological Effect zaidi na Physical effect kwa kiasi.

Unapozoea kupiga punyeto mwili huadapt na kujenga emotion zaidi kwenye punyeto kuliko Tendo la ndoa hivyo ukizoea sana punyeto hata ukimpata mwanamke ukiingiza kumwaga ni ndani ya muda mfupi sana pia inaweza isisimame tena as umezoea kupiga nyeto mara moja na ile sensation ya uke ni tofauti na mkono.

Lakini punyeto huathiri misuli ya penis sababu ya ule msuguano na pia unatumia nguvu sana unapotumia mkono kuliko ukeni. Physical effect huchukua muda mrefu kuonekana kuliko psychplogical effect ndo maana mtu ukiona una historia ya punyote ukajitahidi kuepuka vishawishi vya kupiga nyeto kama Kuangalia Picha Za Ngono bhasi mwili nao utaanza kugain slow slow experience mpya ya Sex na ile ya punyeto hupotea.
Dr napenda kujua kiafya punyeto ina madhara gan
 
Hellow wapendwa,

Nakaribisha maswali yoyote kuhusu dawa zozote zenye active ingredients (DRUGS). Kama una maswali kuhusu matumizi yake, matumizi yake pamoja na dawa nyingine, vyakula (interactions), athari zake (side effects) au hata kama unataka kujuzwa jinsi dawa inavyofanya kazi kutibu ugonjwa!!

Karibuni sana.


A


B


C



D


E


F
G:
Naomba Kujua kama dawa hii 'Griseofulvin' kama inamadhara Ukiwa kwenye Dozi na Unatumia Kilevi.
 
Naomba dawa ya halitosis mkuu
Kunuka mdomo inawezekana Huswaki vizuri mkuu..!! Lakini pia tatizo hilo huletwa na kula viti kama vitu ambavyo vikiharibika hutoa hiyo harufu. Lakini hali hii Mara chache sana hasa kwa Watoto hutokana na KUPATA HOMAA KALII SANAA.. Piga mswaki sana mkuu tafuta dawa inaitwa Sensodyn itakusaidia zaidi
 
Samahani wadau ivi mama mjamzito akipata shida ya maumivu kohoni kuna sindano anapewa ili vikauke
Maumivu kohoni inategemean yamesababishwa na nini??? Inaweza kuwa infection ya koo au sababu ya Acid kupanda sana kooni na kuleta kiungulia bhasi huunguza koo na kuleta hii shida. So kujua chanzo chake ndo inakuwa njia rahisi ya kutibu. Mama mjamzito hatakiwi kunywa dawa ovyoo
 
G:
Naomba Kujua kama dawa hii 'Griseofulvin' kama inamadhara Ukiwa kwenye Dozi na Unatumia Kilevi.
UISNYWEE DAWA NA POMBEEEE...!! acha kabisaa kwani huwezi kuacha ulevi mpaka upone mkuu??? Utapata matatizo mengine yasiyo ya lazimaa. Pia kama una mpango wa kubebesha mimba mtu Griseovulvin sio dawa nzuri kutumia kwa mwanaume.
 
Back
Top Bottom