Akikujibu nistue maana na Mimi Nina tatizo kama lakoDR mgongo na kiuno kinauma saana sijui nifanyeje
Hellow wapendwa,
Nakaribisha maswali yoyote kuhusu dawa zozote zenye active ingredients (DRUGS). Kama una maswali kuhusu matumizi yake, matumizi yake pamoja na dawa nyingine, vyakula (interactions), athari zake (side effects) au hata kama unataka kujuzwa jinsi dawa inavyofanya kazi kutibu ugonjwa!!
Karibuni sana.
Doctor Auromindo ni dawa gani na nini matumizi yake? Pia Efavirenz ndo dawa gani na nini matumizi?
Naomba unisaidie doctor. Ikiwezekana hata tuwasiliane kwa whatsup no 0675706938
Zinapoanza kuota nywele za sirini baada ya kunyoa zinawasha sana mpaka unatamani utafute gunzi ujikunie! Naomba msaada nitumie dawa gani?Hellow wapendwa,
Nakaribisha maswali yoyote kuhusu dawa zozote zenye active ingredients (DRUGS). Kama una maswali kuhusu matumizi yake, matumizi yake pamoja na dawa nyingine, vyakula (interactions), athari zake (side effects) au hata kama unataka kujuzwa jinsi dawa inavyofanya kazi kutibu ugonjwa!!
Karibuni sana.
A
B
C
D
E
F
Dokta kasepa ngoja nikupe dondoo kidogoNi dawa gani ya asili au ya hospital inaweza tumika kutibu yatizo la kutoka kitu kama uvimbe njia ya haja kubwa pamoja na kutoka damu sehemu ya haja kubwa .