BLISS
Member
- Mar 31, 2011
- 54
- 12
Naombeni ushauri jamani, mimi niko wiki ya 37 ya ujauzito sasa , nilikuwa nawaza je kuna uwezekano wa kujifungua salama iwapo mtoto wa kwanza nilipomzaa alisumbua sana na kupasua njia kipindi na push, sasa yale maumivu ya nyuzi nilizopata nisingependa yanirudie.
Swali langu ni kwamba, Je nitakapojifungua tena kuna uwezekano wa kuchanika tena pale niliposhonwa zamani?
IIi hili nina miaka miwili na nusu toka nishonwe? napata hofu kutokana na maumivu ya nyuzi jamani ni noma.
Swali langu ni kwamba, Je nitakapojifungua tena kuna uwezekano wa kuchanika tena pale niliposhonwa zamani?
IIi hili nina miaka miwili na nusu toka nishonwe? napata hofu kutokana na maumivu ya nyuzi jamani ni noma.