Mkuu nitakutafuta unisaidie haya maandiko kwa sababu kwenye safari yangu ya maisha nimekutana na mitego mingi sana,na sina mazoea ya kutembea na wanawake pia nimefuatiliwa sana sasa sijajua hili suala limekaa vipi.Hususani ulipogusia issue ya kinyotaShetani anataka kukuondoa kwenye reli. Soma habari za kina samson.. hata daudi.. waliangushwa na mwanamke. Shetani hupitia kwa mwanamke ili amuangushe mwanaume kwenye utukufu wa Mungu au kufifisha nyota. Epuka hilo jarib boss
Usimuombee mabaya mwenzioAta akiacha wake ataliwa tu
🙄Usipo cheat leo,uta-cheat kesho ndio hulka ya mwanaume;kama anafaa kwa matumizi fuata taratibu uchape uachane nae.
ha ha ha mbona mshangao tena
Ushauri wako unabomoa badala ya kujengaha ha ha mbona mshangao tena
Huo ndio ukweli chunguza tu wanaume wote,kwa me mwenye afya hutamani kufanya tendo kila siku,ila kwa ke ni vigumu;mwisho wa siku me atakuwa na wapembeni.Ushauri wako unabomoa badala ya kujenga
Ukisikia kuchomeshwa mahindi ndio huku sasa, afu ukute mchumba anachoma mahindi ila huko kuna lijamaa linabandua kiulaini....Kwa hiyo hata mke mtarajiwa hujawahi kumtafuna??
Man amini ninachokwambia. Nyota yako kuwaka au kufifia inategemea na matendo yako na watu unaoingia nao kwenye mahusiano.Mkuu nitakutafuta unisaidie haya maandiko kwa sababu kwenye safari yangu ya maisha nimekutana na mitego mingi sana,na sina mazoea ya kutembea na wanawake pia nimefuatiliwa sana sasa sijajua hili suala limekaa vipi.Hususani ulipogusia issue ya kinyota
Naamini kabisa usemacho,na ínatokana na kujitenga na Upendo wa Mungu lazima uwe mfuasi wa shetani tu,kifuatacho ni furaha zà muda mfupi lakini gundu ni nyingi sabab hakuna baraka za MunguMan amini ninachokwambia. Nyota yako kuwaka au kufifia inategemea na matendo yako na watu unaoingia nao kwenye mahusiano.
Wapo wanawake ambao ukiwa nao nyota yako inazima.. mafanikio huyaoni.. ila wapo ambao ukiwa nao mambo yananyooka(hawa ni wachache).
Most of them huwa wanafifisha nyota..iwe ni uchumi au kazi.. shetani hakuweza kumfuata adam ila ilipitia kwa eva ili kuharib mafanikio yake.
Kaa chonjo mkuu
Hongera sana bwana harusi to be, ila mi nna swali..mfano mmeshafunga ndoa sasa, ule usiku wa kuzinduana mara unakuta yake haipo au ni oversize kwako utafanyaje? Au utamuachia Mungu?Yeye pia ana sabab kama zangu ndio mana tunafunga ndoa kabisa mana vigezo vyote tayari
Pthuuu...!Usipo cheat leo,uta-cheat kesho ndio hulka ya mwanaume;kama anafaa kwa matumizi fuata taratibu uchape uachane nae.
1 KOR 6:18-19
Fulfilled truthHahaha wanawake wana upeo wa kunusa mafanikio hujawahi sikiaga. Hapo jichanganye tu atakutegeshea siku yupo kwenye heat ukimkojolea tu umeisha. Atakuvurugia system yote ya maisha na kuoa hutooa tena kwa hizo sekeseke zitakazoibuka. Utajikuta unalea mimba kwa stress.