feysher
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 2,656
- 2,762
Asante sana
Karibu
Asante sana
ha ha ha kinachomfanya mwanaume asi-cheat ni uchumi tu,ila akiwa vizuri kiuchumi,kuiepuka hiyo dhambi ni ngumuMajaribu ya shetani hayo
Unajua mkuu,hizi imani zilipandikizwa ili tutawaliwe ukisoma kwenye historia;na ili uweze kumtawala binadamu vizuri ni kumpa imani tu;ndio kilichofanyika,kiukweli hazina ukweli wowote zaidi ya kujenga uungwana ingawa zingine pia zinabomoa.We unaigiza tu wala haufikii hata theluthi ya wanaopinga kuhusu uwepo wa Mungu, mfano mzuri ni ktk Biblia kwa Petro aliyekuwa akipinga hadi kuua Watu ss sijui we unafeli wapi kufikia huko Chifu.
Kwa hiyo hata mke mtarajiwa hujawahi kumtafuna??
Inamaana kama hutawinda utawindwa....angalia mabosi wanavyotafunaMbona mimi siko vibaya lakini sihangaiki na ujinga? Kwaio wewe pesa ndio inakwamulia maisha yako mzee
1 KOR 6:18-19