PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,720
Wakuu,
Kuna dada ananiambia kuwa mchumba wake alimwomba simu, akaifanyia kitu/utundu fulani, matokeo yake huyo jamaa amekuwa anapata nakala ya msg zote zinazotumwa kwa huyu dada.
Ninachotaka kujua je hiyo kitu inawezekana kwel? Kama kweli inawezekana mbona ni hatari sana kwa mahusiano?
Naombeni usaidizi kwa hili.
Kuna dada ananiambia kuwa mchumba wake alimwomba simu, akaifanyia kitu/utundu fulani, matokeo yake huyo jamaa amekuwa anapata nakala ya msg zote zinazotumwa kwa huyu dada.
Ninachotaka kujua je hiyo kitu inawezekana kwel? Kama kweli inawezekana mbona ni hatari sana kwa mahusiano?
Naombeni usaidizi kwa hili.