Rasimu ya katiba limemaliza gazeti mwananchi mtaani. Safi sana tido mhando
Kuna habari gani ya muhimu?
Ipo kwenye hilo gazeti pekee? Na kwanini kama si ufisadi?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Rasimu ya katiba limemaliza gazeti mwananchi mtaani. Safi sana tido mhando
Mbona nilipo mimi nayaona tena ndo yako mengi kuliko hata mengine yameisha labda kwenye kata yako
Jaman tuache fitina, mwananchi linajitaid sana, uchambuz wa wahariri upo kizalendo sana
hilo ndo tatzo la kutokufuatilia mambo, david cameron alimpongeza queen elizabeth kufanya kaz yake, mitt romney alimpongeza obama kuanzisha health care inayoitwa obama care