TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,675
- 9,993
Kabla hatujaoana nilikuwa nafanya sana mazoezi kwa ajili ya kujiweka fit na ili niwe na mivuto hasa kwa wasichana na wavulana wavivu wanaotamani miili ya wenzao wafanya mazoezi huku wao wakijiachia na vitambi.
Siku zote nilivichukia sana vitambi na mchumba wangu wa kipindi hicho ambaye sasa ni mke wangu alilijua hilo.
Muda wa honeymoon sikuweza kabisa kufanya mazoezi, wiki tatu za fungate nikaanza kuhisi mabadiliko mwilini mwangu.
Wife akanishauri nijaribu valeur inapunguza mafuta. Nilicho kipata sasa ni kwamba sina tena uwezo wa kufanya mazoezi, valuer ziinanifanya nile sana, nimekuwa na kitambi kama mimba.
Pia nimekuwa mlevi na mtumwa wa pombe, nisipogida silali. Yaani bora nisingesikiliza ushauri
Siku zote nilivichukia sana vitambi na mchumba wangu wa kipindi hicho ambaye sasa ni mke wangu alilijua hilo.
Muda wa honeymoon sikuweza kabisa kufanya mazoezi, wiki tatu za fungate nikaanza kuhisi mabadiliko mwilini mwangu.
Wife akanishauri nijaribu valeur inapunguza mafuta. Nilicho kipata sasa ni kwamba sina tena uwezo wa kufanya mazoezi, valuer ziinanifanya nile sana, nimekuwa na kitambi kama mimba.
Pia nimekuwa mlevi na mtumwa wa pombe, nisipogida silali. Yaani bora nisingesikiliza ushauri