Kauli hii alisikika mlevi mmoja akiropoka kua anajutia sana kuishi Tanzania.Lakini sikumpuuzia,nikamuuliza kwa nini?Akasema,alikua anapata milo mitatu,sasa ni mmoja,alikua anapata bia,lakini sasa pombe za kienyeji,umeme taabu,nauli taabu,kila kitu anachonunua hamna made in Tanzania,,foleni taabu sana,Leo asubui ameamka pombe zimemwisha anaomba ashauriwe ili afute kaul yake.