Najutia kila naefanya nae tendo anabeba ujauzito..

wamkodowenye

JF-Expert Member
Aug 26, 2016
261
290
Sijui niite ni bahati au nuksi au malipo ni hapa hapa duniani au ni pepo la ngono nimekua katika wakati mgumu sana kabla sijaoa nilibahatika nikiwa na 20 years kupata mtoto nilipofikisha 25 nilioa hapa nilikaa muda mrefu sana na mke bila yeye kupata mimba mwaka wa tatu uzalendo ulinishinda nikatoka nje nikampa dem mimba akajifungua..

huyu wa ndani mpaka unaisha mwaka wa tano alikua bado kubeba mimba tukiwa tunaenda mwaka wa sita akafanikiwa kubeba mimba kiukwel nilikua na kidem nje baada ya wife kupima akakuta ana mimba ya mwezi kale Kadem nako kakawa kana mimba tena ..

Kutokana na kero za mimba home kukawa hakukaliki nilipohamishwa kikazi ikaenda tanga huko nikapata kedem tukasex akabeba tena mimba nikangangania atoe akagoma nikampotezea

nikawa na mwingine tena juzi kapima ana mimba hii kitu inaniumiza kichwa sana kwa kweli hili ni pepo au ni nn? Naanza kupata wasiwas au nihame mtandao nijiexpress your self nn?
 
Unatia aibu wanaume wenzako, unadharau kinga kisha kuja kuandika majanga.

Utajiju umeyataka mwenyewe, pole kwa mkeo naombea siri hii imfikie hata leo baadae.
 
Watu wengine akili zao mbovu sana unarundika watoto baadae wakikushinda unakaanza kulialia oooh serikali hiwajali wanyonge hivi serikali ya wapi hiyo itakayobeba mizigo ya wajinga wa kujitakia kama ww? ,kodi zetu zitumike kuwatunzia watoto mnaowatelekeza namna hiyo? .Badilika bhana unatia aibu halafu unajiita msomi
 
Fresh tu inategemea una mke muelewa kiasi gani,jamaa yangu alifyatua wanne kwa mama tofauti na mwaka huu alioa mke mpya na watoto wote wanaishi nao.
 
Pole. Inawezekana unabambikiziwa ukiangalia na maisha yalivyo kwa Dada zetu. Yawezekana hata mkeo alikuvumilia ila akapta ushauri atoke kidogo ili akuridhishe. Kapime mbegu. zako ukikuta uko safi jaribu na DNA usije kulea asiye wako. Pia uache kusaliti mkeo.
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom