Najuta: nilioa mke kwa kuvutiwa sura na umbo lake

soma hii chorus
Harusi ni One day event,ndoa ni shughuli ya Milele na Milele.Sawa ana sura nzuri,album ya harusi itatoka bomba sana pale Photopoint,sawa ana shape kweli kajaliwa Seating Alllowance,shela itamfit kwelikweli na marafiki watakusifia umechagua,lakini Je,kwenye ndoa ile sura ndio itajenga familia??Je,ile Seating allowance ndo italea watoto kwenye misingi imara??Waza upya,uko tayari kwa Harusi au Ndoa???Wengi mko tayari kwa harusi tu,mnadhani mna hamu ya ndoa kumbe mna hamu ya kuwaonyesha mashosti jinsi shela litakavyokutoa chicha kanisani...Msichezee ndoa,ni ibada takatifu ile,ya Mungu...waza tena!Kama una hamu na picha tafuta mshkaji mwenye Samsung Galaxy akupige,usifanyie majaribio kwenye ndoa!
 
Yote ningevumilia, lakini hii ya kutembea na rafiki zangu haivumiliki, ingekuwa mm ningeshamfukuza bila hata ya kutaka ushauri wa mtu. Sasa watu wakushauri nini hapa? Nenda kwa mganga wanasane!!

Eti nini? "Yote ungevumilia, lakini hii ya kutembea na rafiki zangu haivumiliki"....ina maana angechiti na stranger ungevumilia?

Wakati mwingine mnanishangaza sana. Badala ya kuwa na zero tolerance na cheating mnaanza kuweka vi exceptions vya kipumbavu.

Have some testicular fortitude folks. Geeeez!!!
 
Heshima kwa wote!!

Kwanza kaka yangu pole sana kwa masaibu haya yaliyokukuta na wala usifkirie kwamba ulifanya makosa kwenye kuchagua, unajua wengi najua watakataa lakini katika ndoa watu ni rahisi sana kubadilika inaweza kwa mume au kwa mke.

Ushauri wangu kwako ni kwamba kama umejiridhisha kweli ametembea nje ya ndoa mpaka na marafiki zako huyo hakufai tena, ni kufuata taratibu za kuachana tu kaka yangu. Ila mjitahidi pamoja na kuacha kwenu msimuathiri mtoto katika malezi yake. Na mhakikishe mtoto anapata malezi na mapenzi ya baba na mama hata kama wazazi mmeachana.

Huo ndio ushauri wangu.

Pole sana ila muhimu kufanya maamuzi hayo kwa faida yako mwenyewe.

naomba kuwasilisha.
Nashukuru kwa ushauri wako makini. Nimeuzingatia.
 
Hakuna mke hapo, jipange uanze upya. Una miaka mingi sana mbele ya kuishi; hutaweza kuendelea kuvumilia kwa miaka 20 na zaidi mbele. Kitu cha msingi katika ndioa ni uaminifu; kama hana sifa hiyo, huna mke.
 
Pole sana mkuu! Lakini lazima ifike wakati tuwe tayari kuchukua maamuzi magumu ili kunusuru wengine au kujinusuru! Kama mtu ana diriki kutembea hadi na rafiki yako kwa kweli amekudharau sana! Cha muhimu ni wewe kujua usalama wa afya yako na kujali zaidi mtoto wako, siku hizi magonjwa ni mengi angalia asije akakutumbukiza kwenye shimo kabla ya wakati wako!

Afya yako ni muhimu sana, usi ruhusu watu kuichezea chezea!

Kitu kingine ambacho unatakiwa kujiuliza ni kwa nini amebadilika? ,je hiyo tabia haukuwai kuitambua?

Ni ukweli usiopingika kuwa mwanamke si sura wala umbo bali ni tambia, mambo ya kuoa ili wengine wasifu ni tatizo sana!
Your concerns and advice noted.
 
Habari zenu wanajamvi. Nilidhani nimepata kumbe nimepatikana! Mwaka jana mwezi wa tatu nilifunga ndoa na mke wangu. Tumejaaliwa kupata mtoto mmoja wa kiume. Kitu kikubwa kilichosababisha nikamuoa ni sura yake ya kuvutia, sauti yake tamu pamoja na umbile lake kwa ujumla. Kiukweli ameumbika sana. Tatizo alilonalo mke wangu ni kwamba kwa sasa hakamati! Hatulii. Anatembea hadi na marafiki zangu. Kibaya zaidi ni kwamba siku hizi kila nikitaka kufanya naye mapenzi ananiambia hajisikii kufanya hivyo. Ameanza kunidharau na kuniona mimi sina hadhi kwake. Inaniuma sana. Wazazi wa pande zote mbili wamejaribu kulitatua hili bila mafanikio. Sasa nimeona kabla ya kuchukua maamuzi mengine mazito nimeamua niwashirikishe mnipe ushauri wenu. Nisaidieni kuokoa ndoa yangu jamani.

Kama umbo na sura bado vinakuvutia mwache kaa naye kama mdoli wa home ila utapute pa kupoozea. Ingawa kama kweli umemchoka sura yake ungekuwa umekwisha anza kuona nayo hovyo.
 
Hahahah Smile wanahamu na shela kuringishia watu
soma hii chorus
Harusi ni One day event,ndoa ni shughuli ya Milele na Milele.Sawa ana sura nzuri,album ya harusi itatoka bomba sana pale Photopoint,sawa ana shape kweli kajaliwa Seating Alllowance,shela itamfit kwelikweli na marafiki watakusifia umechagua,lakini Je,kwenye ndoa ile sura ndio itajenga familia??Je,ile Seating allowance ndo italea watoto kwenye misingi imara??Waza upya,uko tayari kwa Harusi au Ndoa???Wengi mko tayari kwa harusi tu,mnadhani mna hamu ya ndoa kumbe mna hamu ya kuwaonyesha mashosti jinsi shela litakavyokutoa chicha kanisani...Msichezee ndoa,ni ibada takatifu ile,ya Mungu...waza tena!Kama una hamu na picha tafuta mshkaji mwenye Samsung Galaxy akupige,usifanyie majaribio kwenye ndoa!
 
Last edited by a moderator:
pole sana mkuu kuna ndugu yangu naye ameoa baada ya miezi 6 mke anatembeza kwa kila kila mtu hata marafiki wa mumewe mwezi wa 9 amepata ujauzito hata haieleweke mimba ya ninani anamwomba mumewe msamaha utata mtupu ndio za siku hizi zimekuwa maigizo........kama wazazi wamesuluhisha imeshindikana bora ujiweke pembeni
 
soma hii chorus
Harusi ni One day event,ndoa ni shughuli ya Milele na Milele.Sawa ana sura nzuri,album ya harusi itatoka bomba sana pale Photopoint,sawa ana shape kweli kajaliwa Seating Alllowance,shela itamfit kwelikweli na marafiki watakusifia umechagua,lakini Je,kwenye ndoa ile sura ndio itajenga familia??Je,ile Seating allowance ndo italea watoto kwenye misingi imara??Waza upya,uko tayari kwa Harusi au Ndoa???Wengi mko tayari kwa harusi tu,mnadhani mna hamu ya ndoa kumbe mna hamu ya kuwaonyesha mashosti jinsi shela litakavyokutoa chicha kanisani...Msichezee ndoa,ni ibada takatifu ile,ya Mungu...waza tena!Kama una hamu na picha tafuta mshkaji mwenye Samsung Galaxy akupige,usifanyie majaribio kwenye ndoa!

hahahahahah Smile umenifurahisha
 
Last edited by a moderator:
Mh pole sana kwa hilo jaribu zito. Jaribu kukaa nae na kumweleza athari zake za kutembea hovyo, kwani yeye ni mke wa mtu anapaswa kuwa na heshima, Wafahamishe wazazi wake usione haya waambie live, pole sana
 
Pole sana kaka.Tafuta muda uende kwa viongozi wa dini wanaweza kuwasaidia kutatua ili tatizo.ni ayo tu.
 
kuna wanawake sielewagi k zao huwa zinawashwa na nini?
huwa nazini lakini siwezi kuchanganya changanya miiko kwenye sufuria langu,wanaume wenyewe unaowavulia nguo hawana adabu,bora ujitulize na mumeo ,who cares? bora k yako ichache au iliwe na fangasi ,mke wa mtu unavua vua nguo ovyo hadi unaitiwa babamkwe na babayako
huyo kalaaniwa mkuu piga chini fasta
 
Habari zenu wanajamvi. Nilidhani nimepata kumbe nimepatikana! Mwaka jana mwezi wa tatu nilifunga ndoa na mke wangu. Tumejaaliwa kupata mtoto mmoja wa kiume. Kitu kikubwa kilichosababisha nikamuoa ni sura yake ya kuvutia, sauti yake tamu pamoja na umbile lake kwa ujumla. Kiukweli ameumbika sana. Tatizo alilonalo mke wangu ni kwamba kwa sasa hakamati! Hatulii. Anatembea hadi na marafiki zangu. Kibaya zaidi ni kwamba siku hizi kila nikitaka kufanya naye mapenzi ananiambia hajisikii kufanya hivyo. Ameanza kunidharau na kuniona mimi sina hadhi kwake. Inaniuma sana. Wazazi wa pande zote mbili wamejaribu kulitatua hili bila mafanikio. Sasa nimeona kabla ya kuchukua maamuzi mengine mazito nimeamua niwashirikishe mnipe ushauri wenu. Nisaidieni kuokoa ndoa yangu jamani.

ushauri wangu.
kwanza pole sana mwanandoa mwenzangu.
pili,elewa kwamba ndoa ni mpango wa MUNGU ,
Tatu,Ndoa ni kama taasisi kama zilivyo taasisi nyingine.
Nne,Ndoa inahitaji hekima na busara ya hali ya juu,kuliko kumpiga mtoto.Ni rahisi sana mtu kukuambia achana na mke wako kwa kuandika lakini ukikumbuka mlikotoka utakuta ni sawa na mto kupanda mlima.
Tano,Hakuna jambo zuri kwenye ndoa kama maridhiano,uvumilivu na kutambua haja za mwezako,ukiweza kutambua haya mambo mengine yanaweza kuwa rahisi mno,hata uvumilivu,hekima ,busara n.k havitakushinda.
sita,MUNGU ndo mlezi wa ndoa ukimtegemea binaadam itakuwa vigumu mno kupata ushauri wenye tija kwako,hebu kaeni,angalieni pale mlipoanguka,mlipoacha ule upendo wa zamani,mpate kuanza upya.
Saba,hakuna jambo zuri kama mtatafuta kuwa pamoja kuliko kila mmoja kuelekeza macho kusikotakiwa.Mungu ni mwema amewapa mtoto ni moja ya vitu adimu sana kwenye ndoa nyingi za siku hizi kwa maana hiyo mwanao anhitaji malezi mema kutoka kwenu na siyo vema hii dhambi ya kuachana na kutelekezana akirithi kutoka kwenu.
nane ,Unapoitwa mme wewe ni kichwa cha nyumba na huwezi kimbia changamoto kwa sababu wewe ni baba,na mama anapoitwa mama ni kioo cha nyumba na kwa sababu hiyo lazima kila mmoja asimame kwenye nafasi yake ,asimamie lile agano la ndoa.Haileti picha kama wote mlikiri kutumikiana mpaka kufa bila kujishughulisha na mwingine halafu mmoja kati yenu anasaliti agano hili.Ndani ya agano la ndoa kuna siri kubwa mno,siyo kwenda kanisani na kutamka tu kama vile wasoma kitabu kuna siri na unapokiuka agano huna maisha marefu duniani ndo pale unapokutana na UKIMWI na magonjwa mengine ya hatari

Mwisho -SULUHISHO LA UGOMVI KWENYE NDOA NI MUNGU NA NYINYI WENYEWE SIYO JIRANI WALA YEYOTE YULE ,NDO MAANA MNAPOKUTANA KITANDANI HUWA WAWILI TU BECAUSE OF THE SECRATE BETWEEN YOUR COUPLES.
 
Pole sana kwa jaribu zito, Wafahamishe wazazi wake bila kificho na uwe na ushahidi wa kutosha, na uchukue maamuzi mapema kwani ndoa hata mwaka bado , wazazi watashindwaje kutatua na ni mtoto wao, wape na ushahidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom