Najuta kwa mara nyingine kuwa na mahusiano na mke wa mtu

Eti unakuta Mwanaume ni mkware ile mbaya, michepuko kama yote lakini anajifanya kuwa na wivu mpaka kero kwa mkewe !

That is not fair at all!
 
Usijisifu kula Mke wa mtu. Huenda wewe huna mke, ila ishu ya kuliwa mke inauma sana. Mnaweza mkaficha sana ila siku moja mambo yatakua wazi, mwenyewe atajua na ndoa yake haitakuwepo tena.
Anaweza pia mumewake asijue lakini akili ya mwanamke inaweza kunogewa na wewe na kufanya amdharau mume wake. Hali hiyo pia inaweza kua sababu ya kuteteleka kwa ndoa yao.
Kama kweli huna nia ya kuharibu ndoa yake, basi hujachelewa, achana nae, achana na wake za watu. Maana KARMA is real
Wanawake wengi ni wadhaifu, sasa usitumie udhaifu huo kwa wake za watu.



Vivyo hivyo Kwa anayetembea na mume wa mtu
 
Ukisikia au kuhisi ni mke wa mtu achana nae!! Na wewe mwanamke ukihisi ni mme wa mtu achana nae, jiepushe na kumwagiwa maji ya moto. Siku hizi wanatembea na maji ya moto kwenye chupa ya chai.
 
Eti unakuta Mwanaume ni mkware ile mbaya, michepuko kama yote lakini anajifanya kuwa na wivu mpaka kero kwa mkewe !

That is not fair at all!
.
IMG-20220404-WA0000.jpg

Hiki kitu huwa najiuliza sana
 
1. Mkuu, kwa imani yangu inanieleza kuwa, usichopenda kufanyiwa basi usimfanyie mwenzio.

2. Leo utaona huyo mtu unammudu, mtu akishatambua uovu anaofanyiwa, yupo tayari kulipa, huwezi kujua anafahamiana na nani ama nani atamsaidia ili kulipa.

3. Kesi ya ugoni, utakachofanyiwa hakina tofauti na mwizi.

4. Utakuja kuharibu familia yako daima kwa tamaa hizi ambazo umezishikilia kwa mke wa mtu.

5. Unaweza ukasoma haya yooote na bado ukajipa imani kuwa hayawezi kukutokea, unajua nini? Ulizia wooote waliowahi kupatwa na madhara ya ugoni, wameshawahi kufikiria kuwa watakamatwa?

6. Umemuoa mke wako, mpende na kumheshimu sana. Heshimu mama yako mzazi, heshimu pia mke wako.
Ushauri bora kabisa, akili kichwani mwake
 
Ni mwanamke ambaye nilionana nae nilipoenda kutembelea maonesho ya biashara ya sabasaba mwaka jana, na hii ni baada ya kumaliza shughuli za ukaguzi katika banda letu nikaona si vibaya nipate kutembelea mabanda mengine kujionea biashara na ubunifu wa vijana wetu.

Wakati nazunguka nilifika katika banda moja ambalo lilikuwa na wadada ambao walikuwa wakinadi bidhaa zao nikauliza maswali yangu pale mwisho nikaomba business card ya aliyekuwa ndio boss pale ambaye alikuwa ni mdada mmoja mzuri sana kuanzia rangi na umbo kwa ujumla kwa ufupi alikuwa amekamilika.

Baada ya siku kadhaa nikawa namtafuta kumjulia hali akawa mzito kujibu text zangu, mwanzo nilionesha kukata tamaa ila upande mwingine wa nafsi yangu ulisema hapana endelea kumtafuta mbona kama alivutiwa na wewe tangu ulipokanyaga banda lao pale.

Kweli bwana nikaendelea kuwasiliana nae nakumbuka nilisafiri kuja mkoa X alipo ikanibidi nikamtafuta tu kujua anaendelea vipi na mwisho nikamwambia nipo mkoa uliopo kwa wiki kadhaa na ningependa sana tupate chakula cha usiku pamoja mimi na wewe sehemu X, kwa ufupi aliitika wito siku hiyo tulizungumza mengi na hapo ndipo nikatokea kujua udhaifu wake upo wapi?

Nikaendelea kuwasiliana nae na tukawa tunaonana nae kila mara nilipokuwa nasafiri kwenda mkoa aliopo, hadi mwaka huu mwezi uliopita alinitafuta mwenyewe maana alikuwa akijua ratiba pindi nifikapo mkoa X kikazi akanipigia simu akanijuza kuwa “Leo anataka tulewe tucheze mziki pamoja” eeh nikasema nini kimemkumba huyu mrembo.

Siku hiyo nilimstaajabu sana maana alikuwa mchangamfu kupitiliza nikamuuliza kila kitu kipo sawa akanijibu “tutazungumza D” nikamwambia muda umeenda itabidi ukapumzike sasa, itabidi nikusindike ukapumzike kitu alichonijibu ni kwamba “Leo utakapoenda kulala na mimi ndipo nitalala” aisee nilisikia sikio linalia nziiiiiiiiiiiiiii kwa wale waliowahi kupigwa makofi kwenye sikio wanaujua vyema mlio huo wa sikio.

Kwa ufupi tulijikongoja hadi nilipofikia na kweli tulifanya ya kufanya niwe muwazi yule binti alikuwa fundi sana ingawa ana watoto wawili ili maungo yake yalikuwa bado ni kama ya wale mabinti wadogo, nikiri tu ingawa alikuwa ni mke wa mtu ila nilishangaa sana yeye kuwa na nyege kiasi kile.

Kisa cha kuleta uzi huu ni kwamba mwanamke yule hakuwahi kufikiria ku- cheat ila sasa amenitamkia ya kwamba ataniheshimu na atamheshimu mke wangu ila tu anaomba niwe mtu wake wa pili na yuko tayari kufanya chochote ninachotaka ili tu awe na mimi.

Hapa bado nipo kwa tafakuri zito maana nakumbuka miaka ya nyuma nilibahatika kutoka na dada mmoja ambaye pia ni mke wa mtu ila nilijikuta natumia gharama nyingi sana kwake mfano; kumuongezea mtaji katika biashara yake na kulipia kodi mara nyingi hivyo nahofu yaleyale yasije yakajitokeza kwa huyu tena.

Naombeni ushauri nimfanyaje huyu mke wa mtu.

NB
Nimegundua mme wake pia ni mtu wa safari kama mimi tu na yupo kitengo fulani na nammudu vizuri kabisa, hivyo hawezi kuwa tishio kwangu hata kidogo.
kwahio sikio likalia nziiiiiiiii 😂
 
1. Mkuu, kwa imani yangu inanieleza kuwa, usichopenda kufanyiwa basi usimfanyie mwenzio.

2. Leo utaona huyo mtu unammudu, mtu akishatambua uovu anaofanyiwa, yupo tayari kulipa, huwezi kujua anafahamiana na nani ama nani atamsaidia ili kulipa.

3. Kesi ya ugoni, utakachofanyiwa hakina tofauti na mwizi.

4. Utakuja kuharibu familia yako daima kwa tamaa hizi ambazo umezishikilia kwa mke wa mtu.

5. Unaweza ukasoma haya yooote na bado ukajipa imani kuwa hayawezi kukutokea, unajua nini? Ulizia wooote waliowahi kupatwa na madhara ya ugoni, wameshawahi kufikiria kuwa watakamatwa?

6. Umemuoa mke wako, mpende na kumheshimu sana. Heshimu mama yako mzazi, heshimu pia mke wako changia
hii changia imekaa kiwoga sana, wewe cha kufanya ukifika mkoa X muite mwagilie moyo halafu aende kulala unapolala ila ukikosa kabisa KY kuwa na hata mafuta ya alizeti na video yako tutaiona hapa na ushujaa wako wa kipuuzi, ke zote zilizojaa bado unajiona ww ndo kidume mfariji kwa mke wa mtu halafu ulivyo hujielewi et unammudu.!!!
 
Ni mwanamke ambaye nilionana nae nilipoenda kutembelea maonesho ya biashara ya sabasaba mwaka jana, na hii ni baada ya kumaliza shughuli za ukaguzi katika banda letu nikaona si vibaya nipate kutembelea mabanda mengine kujionea biashara na ubunifu wa vijana wetu.

Wakati nazunguka nilifika katika banda moja ambalo lilikuwa na wadada ambao walikuwa wakinadi bidhaa zao nikauliza maswali yangu pale mwisho nikaomba business card ya aliyekuwa ndio boss pale ambaye alikuwa ni mdada mmoja mzuri sana kuanzia rangi na umbo kwa ujumla kwa ufupi alikuwa amekamilika.

Baada ya siku kadhaa nikawa namtafuta kumjulia hali akawa mzito kujibu text zangu, mwanzo nilionesha kukata tamaa ila upande mwingine wa nafsi yangu ulisema hapana endelea kumtafuta mbona kama alivutiwa na wewe tangu ulipokanyaga banda lao pale.

Kweli bwana nikaendelea kuwasiliana nae nakumbuka nilisafiri kuja mkoa X alipo ikanibidi nikamtafuta tu kujua anaendelea vipi na mwisho nikamwambia nipo mkoa uliopo kwa wiki kadhaa na ningependa sana tupate chakula cha usiku pamoja mimi na wewe sehemu X, kwa ufupi aliitika wito siku hiyo tulizungumza mengi na hapo ndipo nikatokea kujua udhaifu wake upo wapi?

Nikaendelea kuwasiliana nae na tukawa tunaonana nae kila mara nilipokuwa nasafiri kwenda mkoa aliopo, hadi mwaka huu mwezi uliopita alinitafuta mwenyewe maana alikuwa akijua ratiba pindi nifikapo mkoa X kikazi akanipigia simu akanijuza kuwa “Leo anataka tulewe tucheze mziki pamoja” eeh nikasema nini kimemkumba huyu mrembo.

Siku hiyo nilimstaajabu sana maana alikuwa mchangamfu kupitiliza nikamuuliza kila kitu kipo sawa akanijibu “tutazungumza D” nikamwambia muda umeenda itabidi ukapumzike sasa, itabidi nikusindike ukapumzike kitu alichonijibu ni kwamba “Leo utakapoenda kulala na mimi ndipo nitalala” aisee nilisikia sikio linalia nziiiiiiiiiiiiiii kwa wale waliowahi kupigwa makofi kwenye sikio wanaujua vyema mlio huo wa sikio.

Kwa ufupi tulijikongoja hadi nilipofikia na kweli tulifanya ya kufanya niwe muwazi yule binti alikuwa fundi sana ingawa ana watoto wawili ili maungo yake yalikuwa bado ni kama ya wale mabinti wadogo, nikiri tu ingawa alikuwa ni mke wa mtu ila nilishangaa sana yeye kuwa na nyege kiasi kile.

Kisa cha kuleta uzi huu ni kwamba mwanamke yule hakuwahi kufikiria ku- cheat ila sasa amenitamkia ya kwamba ataniheshimu na atamheshimu mke wangu ila tu anaomba niwe mtu wake wa pili na yuko tayari kufanya chochote ninachotaka ili tu awe na mimi.

Hapa bado nipo kwa tafakuri zito maana nakumbuka miaka ya nyuma nilibahatika kutoka na dada mmoja ambaye pia ni mke wa mtu ila nilijikuta natumia gharama nyingi sana kwake mfano; kumuongezea mtaji katika biashara yake na kulipia kodi mara nyingi hivyo nahofu yaleyale yasije yakajitokeza kwa huyu tena.

Naombeni ushauri nimfanyaje huyu mke wa mtu.

NB
Nimegundua mme wake pia ni mtu wa safari kama mimi tu na yupo kitengo fulani na nammudu vizuri kabisa, hivyo hawezi kuwa tishio kwangu hata kidogo.
Endelea, usimuache, hilo ni zali la mentali, unaonekana uko smart, handsome na michongo yako ni matawi ndo maana wake za watu wanakuzimia. Kamata huyo mdada usimuache mtakua na future nzuri naye. Ila si mbaya kama utapata wake za watu watatu zaidi ili usiwe unaboreka mmoja akizingua ratiba
 
nyboma
Unajua kwa Rulenge?
Unajua barabara ya vumbi?
Unajua kwanpalange?
Huko ndiko unakoelekea. Usijidanganye unammudu mume wake.
Kuna jamaa hapa Mbagala mke wake alikua anatoa mpaka barabara ya vumbi kwa afisa Fulani wa manispaa Temeke. Mumewe alikua Ni mtu Fulani mnyonge mnyonge Ila Kaka wa huyo mume Ni jambazi na alikua anajua shemeji yake analiwa kwasababu mumewe Ni mnyonge na Hana hela.
Yule jambazi aliorganaiz fumanizi. Kilichotokea Ni kwamba afisa alifumuliwa na mwishowe akaambiwa ampigie mke wake simu alete pesa ndio mume aachiwe.
Mimi binafsi nikiwa na hamu ya K ya nje huwa natafuta dada poa au li singo maza lililo jichokea.
Mke wa MTU sumu......
 
Usije kuandikishwa barua kwa lazima kisha kuuliwa afu ndata wakasema umejinyonga rushwa ni hatari... achana nae huyo afu nipe namba yake huyo manzi
 
NDOA ZA SASA NI NDOA MISHIKAKI. WAKATI UNA TEMBEA NA MKE/MUME WA MTU. MWENZAKO AMEMALIZANA NA MTU WA TATU YUKO WA NNE.
 
Ni mwanamke ambaye nilionana nae nilipoenda kutembelea maonesho ya biashara ya sabasaba mwaka jana, na hii ni baada ya kumaliza shughuli za ukaguzi katika banda letu nikaona si vibaya nipate kutembelea mabanda mengine kujionea biashara na ubunifu wa vijana wetu.

Wakati nazunguka nilifika katika banda moja ambalo lilikuwa na wadada ambao walikuwa wakinadi bidhaa zao nikauliza maswali yangu pale mwisho nikaomba business card ya aliyekuwa ndio boss pale ambaye alikuwa ni mdada mmoja mzuri sana kuanzia rangi na umbo kwa ujumla kwa ufupi alikuwa amekamilika.

Baada ya siku kadhaa nikawa namtafuta kumjulia hali akawa mzito kujibu text zangu, mwanzo nilionesha kukata tamaa ila upande mwingine wa nafsi yangu ulisema hapana endelea kumtafuta mbona kama alivutiwa na wewe tangu ulipokanyaga banda lao pale.

Kweli bwana nikaendelea kuwasiliana nae nakumbuka nilisafiri kuja mkoa X alipo ikanibidi nikamtafuta tu kujua anaendelea vipi na mwisho nikamwambia nipo mkoa uliopo kwa wiki kadhaa na ningependa sana tupate chakula cha usiku pamoja mimi na wewe sehemu X, kwa ufupi aliitika wito siku hiyo tulizungumza mengi na hapo ndipo nikatokea kujua udhaifu wake upo wapi?

Nikaendelea kuwasiliana nae na tukawa tunaonana nae kila mara nilipokuwa nasafiri kwenda mkoa aliopo, hadi mwaka huu mwezi uliopita alinitafuta mwenyewe maana alikuwa akijua ratiba pindi nifikapo mkoa X kikazi akanipigia simu akanijuza kuwa “Leo anataka tulewe tucheze mziki pamoja” eeh nikasema nini kimemkumba huyu mrembo.

Siku hiyo nilimstaajabu sana maana alikuwa mchangamfu kupitiliza nikamuuliza kila kitu kipo sawa akanijibu “tutazungumza D” nikamwambia muda umeenda itabidi ukapumzike sasa, itabidi nikusindike ukapumzike kitu alichonijibu ni kwamba “Leo utakapoenda kulala na mimi ndipo nitalala” aisee nilisikia sikio linalia nziiiiiiiiiiiiiii kwa wale waliowahi kupigwa makofi kwenye sikio wanaujua vyema mlio huo wa sikio.

Kwa ufupi tulijikongoja hadi nilipofikia na kweli tulifanya ya kufanya niwe muwazi yule binti alikuwa fundi sana ingawa ana watoto wawili ili maungo yake yalikuwa bado ni kama ya wale mabinti wadogo, nikiri tu ingawa alikuwa ni mke wa mtu ila nilishangaa sana yeye kuwa na nyege kiasi kile.

Kisa cha kuleta uzi huu ni kwamba mwanamke yule hakuwahi kufikiria ku- cheat ila sasa amenitamkia ya kwamba ataniheshimu na atamheshimu mke wangu ila tu anaomba niwe mtu wake wa pili na yuko tayari kufanya chochote ninachotaka ili tu awe na mimi.

Hapa bado nipo kwa tafakuri zito maana nakumbuka miaka ya nyuma nilibahatika kutoka na dada mmoja ambaye pia ni mke wa mtu ila nilijikuta natumia gharama nyingi sana kwake mfano; kumuongezea mtaji katika biashara yake na kulipia kodi mara nyingi hivyo nahofu yaleyale yasije yakajitokeza kwa huyu tena.

Naombeni ushauri nimfanyaje huyu mke wa mtu.

NB
Nimegundua mme wake pia ni mtu wa safari kama mimi tu na yupo kitengo fulani na nammudu vizuri kabisa, hivyo hawezi kuwa tishio kwangu hata kidogo.
Unapoteza nao mda tu
 
Yani ninacho mshukuru Mungu na serikali ya CCM ni kwamba sijawahi kusikia kesi mahakamani ya kijana alie kamatwa na mke wa mtu alafu akatatuliwa marinda na hawa 'majamaa wakarabati'. Yani kwenye hili swala nayapongeza sana haya majizi ya ccm
 
Back
Top Bottom