SATA oyeee!
Kwa hiyo Lipumba asichoke?Jambo la kujifunza hapa ni kwamba huyu rais mteule bwana SATA ameshagombea MARA 4
na je kulia kwa banda kuliashiria nini????
divide and rule ! Angali siasa za Kenya kila mtu ana mtaji wa kabila lake!Rais aliyebwagwa bwana Banda amesema huenda sababu za yeye kushindwa moja wapo ni kuwaunganisha WAZAMBIA na kuwa kitu kimoja,amesema hii ndio sababu ambayo hasa anahisi imemnyima USHINDI
SOSI:BBC