Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,263
- 3,626
Ooo yes! but bado niponipo kwanza, na vitoto viwili vya mazoezi mkuu,hahaaa!! kwa hiyo wewe mpaka miaka 7 ijayo
Ooo yes! but bado niponipo kwanza, na vitoto viwili vya mazoezi mkuu,hahaaa!! kwa hiyo wewe mpaka miaka 7 ijayo
Nimeoa miaka nane iliyopita na nimepata watoto watatu. Ila sasa naona kama nilikosea kuchagua sababu huyu mke wangu tulianza mahusiano tukiwa shule tukaenda hadi Chuo kikuu pamoja.
Sasa naona wanawake wengine wazuri na wanaojipenda zaidi yake na nikiangalia yeye alivyo hajipodoi podoi yupo yupo tu na hana sexy body yaani havutii kabisa mpaka saa nyingine najisikia aibu.
Yaani nashindwa kujua nifanyeje kumwacha namwonea huruma sana.
Mkuu acha kuiga mambo ya wazungu si yote yanafaa kwa mila zetu za Tanzania na Afrika,unasema ndoa ni mkatata na unaweza kuvunjwa muda wowote,wewe wazazi wako walikuwa kwenye ndoa ya mkataba na wameuvunja?Mtu mwenye tabia ya ubinafsi wa hali ya juu ndiyo hao wanaosupport ndoa za jinsia moja hawana tofauti na wewe unayesema ndoa inaweza kuvunjwa muda wowote.Ok,mkivunja hiyo ndoa muda wowote na watoto manawavunja au?Mali nazo manazivunja?na kwa akili yako unadhani kesi za aina hii zinaisha haraka tu wiki moja mambo shwari unaedelea na ndoa mkataba nyingine?Wewe ungekua ukajikuta uko na wazazi wa kambo kisa wazazi wako walivunja mkataba kama unavyoshauri ungejisikiaje?Unajua madhara ya hizo ndoa za kuvunja muda wowote?Kama umechoka ndoa fanya taratibu za kisheria uondoke zako. Achana na hawa waswahili wanaoishi kwenye maisha feki ya ndoa. Ndoa ni mkataba unaovunjwa muda wowote.
Usijaribu kumbadilisha mwanadamu ni mtu huru kama mkeo anafurahi kujiweka anavyojiweka siyo jambo la busara kumbadilisha, maisha yenyewe tunaishi mara moja, kuwa na furaha ni jambo la msingi sana kwenye maisha yetu mafupi.
Hamna kitu cha kipumbavu kama kuishi na mtu uliopoteza mapenzi naye kisa unagopa kuvunja ndoa, kuogopa jamii, kuogopa utashindwa kutunza watoto. Hivi mbona hamuogopi vitu vinavyotisha zaidi ambavyo vinaletwa na hizi ndoa zilizokosa upendo? Ulevi, Umalaya, Magonjwa ya zinaa, pressure, Domestic violence, Stress, Watoto wa nje ..etc. Siyo coincidence unakuta wake za watu wamejaa kanisani na waume zao wamejaa bar. It is not about being selfish ni suala la furaha yako. It's your life, it's your choice.Mkuu acha kuiga mambo ya wazungu si yote yanafaa kwa mila zetu za Tanzania na Afrika,unasema ndoa ni mkatata na unaweza kuvunjwa muda wowote,wewe wazazi wako walikuwa kwenye ndoa ya mkataba na wameuvunja?Mtu mwenye tabia ya ubinafsi wa hali ya juu ndiyo hao wanaosupport ndoa za jinsia moja hawana tofauti na wewe unayesema ndoa inaweza kuvunjwa muda wowote.Ok,mkivunja hiyo ndoa muda wowote na watoto manawavunja au?Mali nazo manazivunja?na kwa akili yako unadhani kesi za aina hii zinaisha haraka tu wiki moja mambo shwari unaedelea na ndoa mkataba nyingine?Wewe ungekua ukajikuta uko na wazazi wa kambo kisa wazazi wako walivunja mkataba kama unavyoshauri ungejisikiaje?Unajua madhara ya hizo ndoa za kuvunja muda wowote?
Ni kweli kuwa na furaha ni jambo la msingi lakini haimanishi upate furaha hata kwa kusababisha matatizo kwa jamii inayokuzunguka huo ni ubinafsi wa hali ya juu.Kama unataka mwanamke atakayekuvutia siku zote huyo huyo azae huyohuyo aonekane kama binti,huyohuyo awe ana kila kitu mwanamke wa aina hiyo ni wa kufikirika na kama unamwitaji weka order utengenezewe mdoli lakini hakuna mwanamke ambaye ataendelea kuwa kama alivyokuwa ten years ago hata kama ataenda gym na kujipamba kama watu wanavyoshauri.
Elimikeni,huwezi kupingana na "natural laws" siku zinavyosonga sura na mwonekano wa mtu hubadilika huwezi kuzui ila unaweza kuchelewesha na si kwa muda sana.
Wewe unaonyesha unatabia za kulaumu watu kwa matatizo unayopitia au kupata,unapokutana na tatizo kama mwanaume unatakiwa kupambana nalo hii wewe unaita kuishi maisha feki,umeonyesha wewe unatabia za kukimbia matatizo bila kutatua chanzo cha matatizo.Utahangaika sana kama hutabadilika.
Kama wewe ni mwanaume basi mwanamke wako ana bahati sanaHajipodoi sababu hana hela hao wenzake unaona wanapendeza wanagharamiwa. Mpe laki 3 kila mwezi mwambia unapenda asukie lace wgi, Ndo bei yake ikiwezekana nenda luluz hair kamnunulie mshushe saluni ashonwe Mpe laki kila mwezi atengeneze kucha. Mlipie gym 250,000 muwe mnaenda wote mwambie unataka mpendeze wote.. Anzeni diet za edmark ni nafuu elfu 99,000. Mpige shopping anunue nguo unazopenda wewe avae. Atapendeza tu. Hio ndio gharama ya mwanamke kupendeza. haishuki laki 5 kila mwezi. Akishavijua ...uwe unamwachia awe anaenda mwenyewe. Na mnunulie roses kila mara mwambie unampenda na akipendeza msifie haswaaaa. hadi kila siku atake kupendeza kwajili yako
Hapana.Unataka ujimilikishe mkuuuu
Umesema kuishi na mtu uliyepoteza mapenzi naye,sasa nikuulize nini kilifanya mapenzi yapotee?kama mwanzo yalikuwepo na sasa yamepotea maana yake unaweza ukayarudisha.hata ukikimbilia kwa mwingine na huko mapenzi yakipotyea utakimbilia tena kwa mwingine?Nikuulize vipi wazazi wako walipotezeana mapenzi au wako pamoja?Ndoa ni zaidi ya kufanya sex na mvuto wa mapenzi,mapenzi ni muhimu katika ndoa lakini ndoa si mapenzi pekee,shida yenu mnaingia kwenye ndoa mkiwa mmewaka tamaa tu the maximum,mnawaza sex na kusahau ndani ya ndoa ni zaidi ya sex.Wewe kama baba una wajibu wa kuitunza familia yako na kuilinda sasa wewe waza sex tu,matokeo yake mnakuja hapa mnalialia.Na hii inaonyesha vijana wengi siku hizi mnaingia kwenye ndoa bila kujua nini maana ya ndoa.Hamna kitu cha kipumbavu kama kuishi na mtu uliopoteza mapenzi naye kisa unagopa kuvunja ndoa, kuogopa jamii, kuogopa utashindwa kutunza watoto. Hivi mbona hamuogopi vitu vinavyotisha zaidi ambavyo vinaletwa na hizi ndoa zilizokosa upendo? Ulevi, Umalaya, Magonjwa ya zinaa, pressure, Domestic violence, Stress, Watoto wa nje ..etc. Siyo coincidence unakuta wake za watu wamejaa kanisani na waume zao wamejaa bar. It is not about being selfish ni suala la furaha yako. It's your life, it's your choice.
demu mzuri hujui kuandika kiswahili.....Acha tamaa hvi mpoje nyie kwani mwanzo uliladhimishwa!!
Akili zako ni robo kilo aisee...Nimeoa miaka nane iliyopita na nimepata watoto watatu. Ila sasa naona kama nilikosea kuchagua sababu huyu mke wangu tulianza mahusiano tukiwa shule tukaenda hadi Chuo kikuu pamoja.
Sasa naona wanawake wengine wazuri na wanaojipenda zaidi yake na nikiangalia yeye alivyo hajipodoi podoi yupo yupo tu na hana sexy body yaani havutii kabisa mpaka saa nyingine najisikia aibu.
Yaani nashindwa kujua nifanyeje kumwacha namwonea huruma sana.
Hukukosea kuchagua wala kuoa, umepata mke mzuri hujijui, asingezaa ungesemaje, watoto wameharibu shepu ya mama unamaindi, duh??? H.A.T.A.R.E.Akijipodoa tukimtongoza usije tena humu