Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,921
ulioa kwa maamuzi yako mwenyewe utajaza mwenyewe
aiseee vipi wewe hali ikoje kwenye ndoa yako?Watu huwa tunajisahaulisha sana kwenye mahusiano.
Kabla ya kuingia mambo huwa mpwitompwito, simu mara 37 kwa siku, sms 100, mwanamke atajipamba kila mara mnapokutana, perfume inavutia na vingine kadhaa
Baada ya kuolewa, na kujihakikishia hakuna competitors, The tend to change mpaka unajiuliza, ni huyu kweli?, unampgia romantic call yeye anaanza lalamika na kuleta mashtaka utadhani home hufiki,.,.,
Wanawake mlioolewa badilikeni, mambo mnayotuonyesha wakati wa uchumba embu endelezeni jamani
Jamaa Hatoi pesa za matumizi ya kujipodoa... Anakuja hapa kulalamika mkewe hajipodoi. Nonsense.Hilo ni chaguo lako! Mke sio kitunguu .mtunze mkeo acha tamaa
wanaume hawajaumbiwa shida especially when they have got moneykwa unasupport wachepuke
Si uoe kwa siri tu!! ukaone huko nje palivyo?? manake hujawahi onja nje! upigwe za uso mazima ndo utajua Dunia ilivo!! utarudi unatembelea ulimi!!! watakavyo kuchakaza huko nje!!! usimuache mkeo huyu ila toroka tumia akili ya kiume utoroke pasipo yeye kujua!!Kwanini nipe sababu ili uniponye na ujinga huo ulioniona nao