Najuta kuwa Raia Katika Nchi Ambayo Tambwe Hiza ni Raia

Oct 5, 2007
6
0
Tambwe Hiza ni moja kati ya wananchi wa jamhuri hii waliowahi kuibaka siasa.Ni kinuka mito.Ni mwanasiasa mbinafsi aliyethubutu kuweka maslahi binafsi mbele na kuweka ya taifa kando.Binafsi ninajuta kuwa mwananchi katika nchi ambayo ndugu huyu Tambwe Hiza ni mwananchi pia.

Tambwe ana hulka ya kuandika makala katika baadhi ya magazeti hapa nchini.Aina ya makala anayoyaandika huwa yana muelekeo wa kutaka kuonekana na wakubwa wa nchi hii ambao ni vigogo katika chama tawala ili mradi atupiwe mfupa na mkono wake uende kinywani.

Ukimtafakari kwa kina huyu ndugu,utashawishika kwamba anaweza kuandika makala ambayo yatatetea mtu mkubwa katika chama tawala ili mradi atupiwe mfupa mnono.Hku ni kufilisika kimawazo na ni kiwango cha juu kabisa cha usaliti wa nchi na pia ni kutukana taaluma ya uandishi wa habari.

Majuzi nilisoma makala yake ambayo alijaribu kuwashawishi watanzania ili Rais wa nchi atoe presidential decree kuwasamehe mafiadi walioiba fedha zetu BOT.Huyu ndugu amefikia kiasi cha kuchefua watanzania wenye uzalendo wa kweli na anajaribu kupandikiza mbegu ya ubaguzi na kutoheshimu utawala wa sheria nchini.

Katiba ya jamhuri ya Tanzania inasisitiza kuwa watu wote ni sawa mbele ya sheria.Hakuna mtu awaye yeyote aliyeko juu ya sheria.Tambwe Hiza analeta siasa katika utawala wa sheria.Huyu ndugu ni wa kuogopwa kama ukoma.Uzalendo ndani ya Tambwe Hiza Hauko.Siasa anazoendesha ni ya kulinda tumbo lake hata kama akiuza nchi.Ni siasa chafu ambazo mwaliu alizikataa!!
 
This is not fair accusation. Kama una-mind kuwa na mwanasiasa ambaye ameweka maslahi yake mbele kama unavyomlaumu Tambwe, what abaout Majizi yanayokwapua hela zetu, what ambao wanaua kaka zetu na dada zetu, what about mafisadi, wauaji na wengine wengi ambao ni viongozi lakini ni wezi kuliko hata vibaka, hao je unaona wana afadhari kuliko Tambwe. Do you have anything personal with Tambwe???????????
 
NILIDHANI UTAJUTA KUHUSU MAFISADI KUWA RAIA WA NCHI HII,ROSTAM,MBOWE etc KUNA JINGINE ZAIDI YA TAMBWE KUANDIKA MAKALA YA KUTETEA MAFISADI?
BUNGENI AKINA MASILINGI WALIKUWA SIDE YA AKINA ROSTAM......WAKATI WEWE UNAJUTA TAMBWE KUWA RAIA KUNA WATU WALIMKABIDHI MADARAKA MAKUBWA SANA KWENYE CHAMA CHAO.......WAO WALIJIVUINIA TAMBWE KUWA RAIA.....JE WALIKOSEA.....?
 
JF nako siku zingine kuna vituko. Nchi yoyote ina watu wa kila aina, kuanzia
akili mpaka zuzu; vichaa mpaka wazima, sasa mwenzetu utaijutia nchi yako mara ngapi?

Wewe timiza wajibu wako, nchi taratibu itabadilika. Ulichoandika hapo juu, kinakufanya usiwe tofauti sana na huyo Tambwe unayemsagia.

Mkuki ni silaha nzuri sana, lakini angalia umeuelekeza wapi kabla ya kuanza kuurusha.
 
This is not fair accusation. Kama una-mind kuwa na mwanasiasa ambaye ameweka maslahi yake mbele kama unavyomlaumu Tambwe, what abaout Majizi yanayokwapua hela zetu, what ambao wanaua kaka zetu na dada zetu, what about mafisadi, wauaji na wengine wengi ambao ni viongozi lakini ni wezi kuliko hata vibaka, hao je unaona wana afadhari kuliko Tambwe. Do you have anything personal with Tambwe???????????

Nadhani mtoa mada alikuwa akiimanisha kuwa Tambwe ni hatari zaidi hana tofauti na mafisadi na mijizi ya cake ya taifa...ingependeza kama angesema anajuta kuwa raia wa Tanzania na Tambwe hiza Pamoja na akina Rostam et al (Lowassa, wezi wa EPA, majambazi, wazee wa unga)...
 
Nadhani mtoa mada alikuwa akiimanisha kuwa Tambwe ni hatari zaidi hana tofauti na mafisadi na mijizi ya cake ya taifa...ingependeza kama angesema anajuta kuwa raia wa Tanzania na Tambwe hiza Pamoja na akina Rostam et al (Lowassa, wezi wa EPA, majambazi, wazee wa unga)...

Huyu Tambwe nilishe sema habari zake .Si kwamba ni mwanasiasa na raia mwema hapana na ndiyo maana hakudumu kwenye upinzani maana kote alijulikana kwa fitina na tamaa ya madaraka .Majungu na uzinzi .Leo karudi CCM kesha pata kaeneo kake ka kula pale PTA kwenye external Trade nk .Yote haya nilisha yasema na yeye kama Makamba wote wanaongea kuzima uogo.He cannot be trusted na hawezi hata kubebeka .Kama huamini jiulize kwa nini alibebwa sana na Makamba kwa jina la Utanga na bado akamwagwa akiwa anaomba NEC , Uenyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke na hata Ujumbe wa nyumba kumi kaukosa ?By nature amekuwa na biashara haramu kibao .
 
This is not fair accusation. Kama una-mind kuwa na mwanasiasa ambaye ameweka maslahi yake mbele kama unavyomlaumu Tambwe, what abaout Majizi yanayokwapua hela zetu, what ambao wanaua kaka zetu na dada zetu, what about mafisadi, wauaji na wengine wengi ambao ni viongozi lakini ni wezi kuliko hata vibaka, hao je unaona wana afadhari kuliko Tambwe. Do you have anything personal with Tambwe???????????

NILIDHANI UTAJUTA KUHUSU MAFISADI KUWA RAIA WA NCHI HII,ROSTAM,MBOWE etc KUNA JINGINE ZAIDI YA TAMBWE KUANDIKA MAKALA YA KUTETEA MAFISADI?
BUNGENI AKINA MASILINGI WALIKUWA SIDE YA AKINA ROSTAM......WAKATI WEWE UNAJUTA TAMBWE KUWA RAIA KUNA WATU WALIMKABIDHI MADARAKA MAKUBWA SANA KWENYE CHAMA CHAO.......WAO WALIJIVUINIA TAMBWE KUWA RAIA.....JE WALIKOSEA.....?

JF nako siku zingine kuna vituko. Nchi yoyote ina watu wa kila aina, kuanzia
akili mpaka zuzu; vichaa mpaka wazima, sasa mwenzetu utaijutia nchi yako mara ngapi?

Wewe timiza wajibu wako, nchi taratibu itabadilika. Ulichoandika hapo juu, kinakufanya usiwe tofauti sana na huyo Tambwe unayemsagia.

Mkuki ni silaha nzuri sana, lakini angalia umeuelekeza wapi kabla ya kuanza kuurusha.

Hivi kosa la mtoa mada ni lipi?Hivi kwa kuwa kuna ufisadi katika tarkiban kila eneo la nchi yetu then inakuwa dhambi kujadili eneo mojamoja eg hilo la Tambwe kuandika makala mufilisi?Mie nimeielewa vizuri sana hoja inayozungumziwa hapa na kwa hakika mtu yeyote mwenye akili timamu anapaswa kushangazwa na kauli za ajabu za Tambwe kutaka Rais awasamehe mafisadi.Baada ya jaribio lake kuingia NEC kushindikana sasa amegeuka kuwa political prostitute....

Anyway,let's be fair to mtoa mada.It's a sensible arguement put forward in artistic way.
 
Hivi kosa la mtoa mada ni lipi?Hivi kwa kuwa kuna ufisadi katika tarkiban kila eneo la nchi yetu then inakuwa dhambi kujadili eneo mojamoja eg hilo la Tambwe kuandika makala mufilisi?Mie nimeielewa vizuri sana hoja inayozungumziwa hapa na kwa hakika mtu yeyote mwenye akili timamu anapaswa kushangazwa na kauli za ajabu za Tambwe kutaka Rais awasamehe mafisadi.Baada ya jaribio lake kuingia NEC kushindikana sasa amegeuka kuwa political prostitute....

Anyway,let's be fair to mtoa mada.It's a sensible arguement put forward in artistic way.

Mlalahoi umesema maneno mazito hayo nakubaliana nawe .
 
Tambwe Hiza ni moja kati ya wananchi wa jamhuri hii waliowahi kuibaka siasa.Ni kinuka mito.Ni mwanasiasa mbinafsi aliyethubutu kuweka maslahi binafsi mbele na kuweka ya taifa kando.Binafsi ninajuta kuwa mwananchi katika nchi ambayo ndugu huyu Tambwe Hiza ni mwananchi pia.

Tambwe ana hulka ya kuandika makala katika baadhi ya magazeti hapa nchini.Aina ya makala anayoyaandika huwa yana muelekeo wa kutaka kuonekana na wakubwa wa nchi hii ambao ni vigogo katika chama tawala ili mradi atupiwe mfupa na mkono wake uende kinywani.

Ukimtafakari kwa kina huyu ndugu,utashawishika kwamba anaweza kuandika makala ambayo yatatetea mtu mkubwa katika chama tawala ili mradi atupiwe mfupa mnono.Hku ni kufilisika kimawazo na ni kiwango cha juu kabisa cha usaliti wa nchi na pia ni kutukana taaluma ya uandishi wa habari.

Majuzi nilisoma makala yake ambayo alijaribu kuwashawishi watanzania ili Rais wa nchi atoe presidential decree kuwasamehe mafiadi walioiba fedha zetu BOT.Huyu ndugu amefikia kiasi cha kuchefua watanzania wenye uzalendo wa kweli na anajaribu kupandikiza mbegu ya ubaguzi na kutoheshimu utawala wa sheria nchini.

Katiba ya jamhuri ya Tanzania inasisitiza kuwa watu wote ni sawa mbele ya sheria.Hakuna mtu awaye yeyote aliyeko juu ya sheria.Tambwe Hiza analeta siasa katika utawala wa sheria.Huyu ndugu ni wa kuogopwa kama ukoma.Uzalendo ndani ya Tambwe Hiza Hauko.Siasa anazoendesha ni ya kulinda tumbo lake hata kama akiuza nchi.Ni siasa chafu ambazo mwaliu alizikataa!!


Tambwe anaonekana kwa kuwa wewe hauonekani ama unaogopa kuonekana......
 
Back
Top Bottom