Pole yake sana, ila mie nasubiri aijibu hii comment.Si ndio wewe uliyekuwa unasimulia kule kwa rikiboy ulivyokuwa unamtega ticha wenu darasani hadi akukula!? Leo unakuja kujitilisha huruma huku kwa wananzengo wasioujua ushenzi wako?
Eric shigongo at workMwanaume uliyeandikiwa na Mungu atakuja kwa wakati wake, usilazimishe mapenzi. Jirani yetu alimpa mimba house girl wa mtu, mkaka alikua mwanafunzi wa Civil Engineering mwaka wa mwisho.
Dada alifukuzwa kwa boss wake, alimuendea mhusika. Yule kaka akimuweka binti guest mpaka anapata chumba. Walianza maisha vyombo wanaweka kwenye basin hawana hata kabati.
Baada ya kumaliza chuo yule kaka alipata kazi na walipata nyumba nzima walitokea kuwa jirani zetu. Yule dada alitusimulia walikotoka. Wakati huo akijifunza kuendesha gari mume wake alimnunulia.
Inategemea na akil za anaexalimiwa kwa wanaume akil fupi wanawake eamrharibu sn maisha yaoEheheheheh.
Hivi kati ya wanawake na wanaume ni kundi lipi linaongoza kkukatisha ndoto za wengine?
Pole
KweliSi ndio wewe uliyekuwa unasimulia kule kwa rikiboy ulivyokuwa unamtega ticha wenu darasani hadi akukula!? Leo unakuja kujitilisha huruma huku kwa wananzengo wasioujua ushenzi wako?
Tatizo kubwa la wanawake wengi wanataka kutimizia malengo Kwa mwanaume ilhali na ana mipango mingine. Ilibidi umkatae mapema Ila ulipoona ana PhD ukajua utatimizia malengo yako ya kusoma kwake.Muamini mungu katika maisha yako, nilikuwa na mwanaume ambaye tulipendana sana tukaaidina mambo mengi sana ya kufanya katika maisha mwezangu ikaonekana ana elimu ya juu yaani PHD Mimi certificate,
Ni yeye kweli. Nenda tu kwa a/c yake kaangalie upande wa replies utaelewa ni mtu wa aina gani.Kweli
Hebu mkuu tuwekee screen shot ya post Yake hapa.
Tujue tunamjadili Mtu wa Aina gani
Haha mwenyewe kabsa hakuna longolongoKweli
Hebu mkuu tuwekee screen shot ya post Yake hapa.
Tujue tunamjadili Mtu wa Aina gani
Hahahahahahahahahahahaahahaha if kufarijiana mkuuuMwanamke muongo ww
Ni ndoto ipi ya maisha yako ameikatisha wakati bado unasoma!!!Muamini mungu katika maisha yako, nilikuwa na mwanaume ambaye tulipendana sana tukaaidina mambo mengi sana ya kufanya katika maisha mwezangu ikaonekana ana elimu ya juu yaani PHD Mimi certificate, n