Najuta kuwa na huyu mwanaume katika maisha yangu. Ameharibu ndoto zangu, najiona si binadamu tena

Wewe embu acha hizo, soma nakuambia soma nakuambia soma endelea na degree yako, na ukimaliza degree specialise kwenye fani yako kuwa proffessional

Hakikisha una life time qualification, hakikisha jina lako linaanza na tittle kama vile "wakili msomi Ma BOBO " au "engineer Ma BOBO " .

Achana na huyo mburukenge kwa sasa, hasira hamishia kwenye kutengeneza maisha yako.

Dogo tengeneza career yako itakulinda na kukusaidia.

Kwa sasa huyo mburukenge msahau kabisa muhimu ahudumie mwanae tu, wakati wako ukifika utapata bonge la bwana na utafurahia mapenzi na maisha kwa ujumla.
Wakati upi huo 😅??? Wakati ni sasa na vijana wachache ndio wana maisha!
 
Wewe embu acha hizo, soma nakuambia soma nakuambia soma endelea na degree yako, na ukimaliza degree specialise kwenye fani yako kuwa proffessional

Hakikisha una life time qualification, hakikisha jina lako linaanza na tittle kama vile "wakili msomi Ma BOBO " au "engineer Ma BOBO " .

Achana na huyo mburukenge kwa sasa, hasira hamishia kwenye kutengeneza maisha yako.

Dogo tengeneza career yako itakulinda na kukusaidia.

Kwa sasa huyo mburukenge msahau kabisa muhimu ahudumie mwanae tu, wakati wako ukifika utapata bonge la bwana na utafurahia mapenzi na maisha kwa ujumla.
Ushauri mzuri kwa huyu binti, jali mtoto wako soma. Wanaume watakuja utachagua mwenyewe ukiwa na uwezo wako.
 
Soma wewe, acha kuendekeza mapenzi.Just move on darling.Unavyomlilia ndo unazidi kumpa bichwa la kukutesa.

Wewe mpotezee, soma kwa bidii kwa ajili yako na mwanao ili badae upate mafanikio, atajirudi mwenyewe.By the way wewe siyo single mother wa kwanza wala huwezi kuwa wa mwisho kutelekezwa.

Hawa mbuzi achana nao.
 
Binti soma usiwaze ya Leo yanayokutokea na wala yasikutoe kwenye malengo yako mazuri,baadae utafanikiwa hakuna ajuae yajayo kwa mtu no Mungu tu so usilipeteze kusudio la Mungu kwako kwani taabu upitiazo ni kwa ajili ya watu wengine uje kuwa mwalimu wao utakapokuwa umekwishafanikiwa
 
Back
Top Bottom