Mkulima wa Kuku
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,270
- 533
Kuna sifa kadhaa za kuwa mtanzania:1.ukisema tu ukweli unachukiwa na kuzushiwa...inabidi kila unachosema uwe mwongomwongo fulani hivi...mfano wa waziri wa nishati, alisema makali ya mgao yatapungua mwezi sept na kesho yake mgao ukaongeza makali
2. Inabidi usiwe makini kwenye lolote utaambiwa dikteta...ukichelewa kazini watakusifu, usipoperform utapendwa, ukiperform utaambiwa unajipendekeza
3. Inabidi uwe mchakachuaji - kwenye foleni lazima upite pembeni ndiyo utaonekana mwanaume, ukikutana na daladala usipowapisha watakutukana,
4. Inabidi uwe mwizi-usipoiba utaishije? Mshahara mdogo na unataka uishi maisha ya zaidi ya mshahara wako...utajengaje? Hakuna sera za mikopo nafuu ya ujenzi au ununuzi wa nyumba
5. Uabudu viongozi na kikubaliana na kila wanachosema -usipofanya hivyo utaitwa msaliti, mhaini, asiyependa amani, nk
6. U-support ccm- usipoisupport wewe siyo mwenzetu na huitakii mema nchi yetu. Hakuna atakayekupa nafasi ya kutumikia wananchi hata kama unazo sifa na wananchi wanakupenda. Kama huamini waulize wote walio kwenye siasa kupitia magamba kama inngekuwa hiari yao wangegombea kupitia chama hicho.
Nawasilisha toka bandani
2. Inabidi usiwe makini kwenye lolote utaambiwa dikteta...ukichelewa kazini watakusifu, usipoperform utapendwa, ukiperform utaambiwa unajipendekeza
3. Inabidi uwe mchakachuaji - kwenye foleni lazima upite pembeni ndiyo utaonekana mwanaume, ukikutana na daladala usipowapisha watakutukana,
4. Inabidi uwe mwizi-usipoiba utaishije? Mshahara mdogo na unataka uishi maisha ya zaidi ya mshahara wako...utajengaje? Hakuna sera za mikopo nafuu ya ujenzi au ununuzi wa nyumba
5. Uabudu viongozi na kikubaliana na kila wanachosema -usipofanya hivyo utaitwa msaliti, mhaini, asiyependa amani, nk
6. U-support ccm- usipoisupport wewe siyo mwenzetu na huitakii mema nchi yetu. Hakuna atakayekupa nafasi ya kutumikia wananchi hata kama unazo sifa na wananchi wanakupenda. Kama huamini waulize wote walio kwenye siasa kupitia magamba kama inngekuwa hiari yao wangegombea kupitia chama hicho.
Nawasilisha toka bandani