Ndio hivo! mi naona kama hata yeye mwenyewe hajawa mature for serious comitment! Kama kweli alitaka kuoa toka mwanzo... inakuaje you have sex with your gf sister??? na amesha kutumia signals zote, ukaziona na kuzitambua, akakuomba aje kwako na ukakubali??? The girl has got some issues, but the guy too. Definitely...
Taz. . Umesahau na ukimwi kupima wakaenda! Maandalizi yenye akili kabisa tayari kwa kubanjuana lol. .
Na wewe una tamaa umelikoroga sasa ..... ,Kuna mtu alikuvuta kwenda ku do na shemeji yako?Nahisi hawa wachumba zako huwa wanasimuliana juu yako:A S-coffee:
Aisee njulishe nao, hapo mjomba unakula mpaka mama mkwe maana bendera yafata upepo.
...this is bull shit....