what a familly.....your girlfriend has.....
with family like those who needs enemies?????????
Ndugu,
Sheria HAIPO, kama ipo na haifanyi kazi au haitekelezwi waweza kusema ipo! Lililopo ni kumkamata wenyewe tukajichukulia sheria mkononi
what a familly.....your girlfriend has.....
with family like those who needs enemies?????????
Daaa mkuu ulikosea sana kutembea na shemejio .... Ni kama makusudi, maana mpaka mnaenda kupima! yaonekana ulidhamiria.
Tamaa za mwili zilikutinga lakini ndo hivyo yametokea hata nikikulaumu kwa sasa haitasaidia.
Nakushauri kama bado unampenda gf wako, aisee mweleze shem wako ukweli kwamba ulikosea kuwa naye na usingependa kuwa naye tena! Tena umwambie wazi kuwa moyo wako unaumia sana na usingependa kumuona tena ktk mahusiano yenu. Uwe umedhamiria na Mungu akutie nguvu maana najuwa wengi wakishafika kwenye hii hatua, huwa ni ngumu kuacha na kujikuta wamegeuka cobra, wanagonga huku na kule! Hili si jambo la kiungwana kabisa, ujitoe kwenye haya matatizo ya kujitakia, na umpende na kumheshimu mkeo na siyo kujirahisi kwa shemeji kirahisi kama ulivyofanya.
Hata sisi huwa tunakutana na hizo mishemishe za mashemeji lakini huwa hatulainiki hivyo kirahisi, mwanaume ni kuwa na maamuzi thabiti. Imagine akitokea shem wako mwingine akakwambia unampenda, utatembea na wangapi?
Otherwise, all the best kwenye kujenga mahusiano yako upya.
ha ha haah! Na gf wake nae ammwage?
we kula tu no problem!!