Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Heshima yenu wakuu. Leo nilikuwa safarini toka Moro kwenda Dar. Nilikaa jirani na dada wa kiarabu upande wa dirishani na mwanae alikuwa katikati katika siti za watu watatu. Njia nzima alikuwa bize na simu yake, huku akiwa na tabasamu pale anapotumiwa sms na mara mbili alipiga simu huku akiongea kimahaba bila kujali yupo katika basi. Nilibaki mdomo wazi pale alipojisahau na kuiweka simu katika hali iliyoniwezesha kusoma kila alichokuwa akikiandika. SMS kutoka simu ya huyo dada iliandikwa "NIMEKUPENDAJE, YAANI PALE NILITAMANI NIKUNYONYE****** Yaani mdada anyonye nanihii ya mwenzake.....!!