montanakamumbayi
Member
- Apr 21, 2015
- 11
- 21
Haujakosea kabisa, Mimi ni below 25, mimi sikubahatika kwenda shule shule ilinishinda kabisaaaa, Mimi sijaoa na sitegemei kuoa leo sababu ya kutooa ni kama haya yaliyomkuta huyu boya, pia mimi naamini katika watoto family yangu na ndugu zangu ni wanangu sio mke.
Kitu kingine dadangu naomba tu unizoee,mimi nna tatizo la kupenda kusema ukweli siwezagi kuongea ili anayeniskiza afurahie na nimekulia uswahilini haswa hivyo ata lugha yangu inaweza kuwa ni tatizo na kibaya zaidi siwezi kuigiza u gentle wakati mimi ni mtoto wa paka naomba tu unizoee ndio dunia ilivyo auwezi kukutana na watu wa aina yako lazima ukute watu tofauti usiowapenda kama mimi.
Kuna watu umu walikuwa wananichukia kupita maelezo ikawa wakiniona mpaka roho zinashtuka kama wameona jini ila baadae taratibu wakanizoea maisha yanaendelea. So ata usiponikubali wachache wanaonikubali wananitosha ndio pamoja na ujinga wangu nnapata likes za kutosha.
Najua pengine nilichocomment kimegusa hali halisi ya maisha yako ila inabidi ujifunze unapokuwa single mother ukapata mtu akakustili akakuweka ndani mpaka mwanao akakutunzia usije ukaanza kumdharau ukaanza kumpanda kichwani ukiona mwanaume kakuoa demu mwenye mtoto ujue kakupa thamani kubwa sana. Otherwise siku akifanya maamuzi hatorudi nyuma na ndio utakuwa mwisho wa kumfanya mjinga, hapo ss urudi kwa ex wako unaejifanya wampenda sana au urudi home ukamsaidie mama kukaanga vitumbua na toto lako linalolelewa na baba wa kambo huku baba yake yupo mzima wa afya mtoto anatunziwa na mbunye bado unampelekea.
Dawa ni kupiga chini tu!
Afadhali nimejua naongea na mjinga, ningejua mapema nisingehangaika