Najuta kumtembelea tena Lissu hospitalini Nairobi

Kimbelembele changu kimeniponza. Kimbelembele cha kumtembelea Lissu hospitalini jana kabla ya kurejea hapa nchini. Najuta kumtembelea Lissu. Afadhali nisingekwenda. Mara ya kwanza nilipomtembelea akiwa ICU alinipa salamu zenu na kuwataka kutonyamaza. Maswali magumu.

Jana,nilipomtembelea wodini nje ya ICU,alinimwagia maswali makali yatakayo majibu ya akili. Akaniuliza,nchi yetu ina demokrasia? Nikafurukuta kujibu. Nikasema,ndiyo. Kabla ya kueleza sababu,akanitupia swali lingine:demokrasia ni nini na inaonekanaje? Nikanyamaza. Nikasema natafakari.

Hakuniacha,akaniuliza tena: wewe kama mtanzania,umechangiaje kuimarisha au kufifisha demokrasia na unaridhika na mchango wako? Akaniongeza maswali: vipi kuhusu utawala wa sheria;upo? Unaonekana? Unaweza kuthibitisha? Katiba mpya je? Kwa mkwamo wake,tuanze upya au tukwamue tulikokwama?

Ndani ya dakika tano,wodi ikawa mahakama. Maswali na majibu. Mengi yakaninyamazisha. Nikajiona fisadi wa uoga na ukweli. Nikajiona zuzu kauzu niliyefuzu. Nikamtazama kwa makini. Kama kawaida yake,Lissu looks timamu,makini na to a point. Nikajaribu kubadili mada kama kutoka Ubungo kwenda Kibada. Akagoma,akanicheka kwa dhihaka. Akamalizia: jitafakari sana,Tanzania ni ya watanzania!

Bunduki za nini tena jamani katika kujenga hoja!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini Kibiti,Pwani)
Tunaomba ukawaulize CCM wenzio maana sisi tungejibu ila tatizo tutaitwa wachochezi baada ya hapo tutazawadiwa risasi
 
Hukuwa na haja ya kuumia kichwa hivyo, majibu alikuwa nayo yeye mwenyewe...Hii inchi haiitaji Demokrasia ya Lisu au CHADEMA inahitaji maendeleo.
Maendeleo mmeshindwa kuyaleta tangu nyerere mtayaleta leo kwa kuuwa wanaohoji maendeleo? We hujui maana ya maendeleo ndo mana hata nyumba za serikali zikiuzwa na kujengwa nyingine mnaita hayo maendeleo?
TUNATAKA KUJUA MAJIBU YA KUELEWEKA JUU YA NYUMBA ZA SERIKALI ZILIZOUZWA 2005
 
Swa
Hukuwa na haja ya kuumia kichwa hivyo, majibu alikuwa nayo yeye mwenyewe...Hii inchi haiitaji Demokrasia ya Lisu au CHADEMA inahitaji maendeleo.
Swali: Maendeleo ya nani na wapi? Kama ya Lumumba baada ya Chato sawa
 
Kwakweli watanzania tumekuwa waoga kipumbavu sana!
mtu anatupeleka peleka, sheria zinavunjwa watu wanashambuliwa peupeee!! tuko kimyaaa!!
anaye fanya upuuzi huo hakutuumba wala hana mamlaka na uhai wetu na ndio maana kashindwa kumuua Lissu!
Nenda kwenye majukwaa mbalimbali wasomi wakiona mkubwa kapotoka wanakaa kimyaa...tena jabu wasiosoma ndio hata hujaribu kuthubutu kuhoji upotuvu huo!!

Kama unauhakika sheria zinavunjwa si usimame utoke mbele useme badala ya kujifanya mwamba n aujuaji nyuma ya keyboard?. Ukiona unaogopa kujitokeza ujue huna uhakika na hizo porojo.

Huyo Lisu wala hajadhuriwa na serikali..na wala si CDM , ILA akitoka huko Nairobi akaendelea kuleta uchochezi na upuuzi wake wa kutetea mabepari wanaotuibia ...Serikali isisite kumpeleka jela hata kama atafia huko na majeraha yake.
 
Eja One,
Bashite a.k.a Watu Wasiojulikana,
Tunaposema DEMOKRASIA siyo ya Lissu wala ya CHADEMA baali ni ya Watanzania wote. Come back to your senses you lunatic!!! Hayo maendeleo unayodai unafikri yanaweza patikana kwenye siasa za kupigana risasi bila ya kuwa na Demokrasia ya kweli....????Never ever. Mawazo yako ni ya kiwendawazimu.....Anyway ngoja tuone mwisho wake. Lazima mtambue kuwa jaribio la kuondoa uhai wa Lissu limekataliwa na Mungu Baba.

Hii inatosha kuwa a very strong message kwa wale wote walioshiriki kupanga jaribio hili la mauaji. Lazima wajitafakari hapo walipo na wamrudie Mungu wao. Kama bado wanafikra potofu na za kigaidi kama hizi za kuendelea kutaka kuua wapinzani next time itakuwa ni wao siyo Lissu wala mtu yeyote na siku ya kiyama watajibu mbele ya Kiti cha Hukumu ambapo siri za mioyo ya wanadamu wote aitawekwa wazi.
Ameen.

Hapa ndipo napomwelewa Zitto kuwa nyinyi ni mazwazwa..

Demokrasi gani mnayoitaka/mnayoijua wakati nyie wenyewe tu hamtaki uhuru wa mawazo tofauti unataka kila mtu aamini unachamini wewe hata kama ni upuuzi?.

Mnataka Demokrasia wakati hamuamini kwenye uhuru wa mahakama na vyombo vya dola? Yaani mpigane risasi wenyewe then mje mseme ni polisi na sisi tuwaunge mkono eti kisa Demokrasia..How stupid

Huyo Mungu wenu kule Nairobi mpeni taarifa kuwa hii nchi inaendeshwa kwa sheria akitaka kukosoa akosoe akileta upuuzi wa kukashifu na kutukana ataozea jera..

Na bahati nzuri kuna watanzania wazalendo So this time siyo CHADEMA watakaomiminia risasi NIMEOTA ni watanzania wenye nia njema tena zitakuwa za kichwa this time.
 
Hahahaa! Lisu yupo kuutetea ugali wake swala la kuunganisha watanzania siyo agenda ya Lisu wala CDM.

Wewe wasema kawaulize wanaomjua Lissu vizuri including wanachama wa Chama Cha MAUAJI aka CCM
 
Back
Top Bottom