Najuta kuangalia SMS za mpenzi wangu

Njia pekee ya hili tatizo ni kuoa bikira


Hata huyo siku akijakujua unachepuka na yeye ataanza kuchepuka kwa taarifa yako

Kwa hiyo labda uishi naye kwa akili na uaminifu kinyume na hapo nawajua waloolewa wakiwa bikira hawajawahi kulalwa na Mwanaume lakini baada ya kuja kuwa disappointed na waume zao kwenye ndoa walianza kujiongeza
 
Eehh unajipigia huku unatafuta mwingine


Ukimpata Mpya, usimuache huyo kwa kumwambia SIKUTAKI, NMEKUACHA .


Kwa sababu sisi wanaume tunaoenda mwanamke anayetupa papuchi muda wowote tunaotaka....

Huyo Mpya anaweza kua nakupa K kwa kuhesabu ... Utamuona naye hafai.
True
 
Mkuu endelea kula mzigo huo,,, achana na kufuatilia sms za Demu wako...utakuja kufa kabla ya siku zako
 
Habari wakuu.
Mimi ni mtu mkimya sana kitaa sina hata marafiki wengi. So mambo mengi yanayotokea huwa nasolve mwenyewe tu na mara nyingi yanaisha.. lakini hili naona limenikaa sana na sina wa kumwambia akanielewa. So naona ni bora niliweke hapa. Lengo sio kuomba ushauri wa mtu.. leo ni kushare tu ili linitoke kifuani.

Ilikua mwanzo kabisa wa mwaka huu kama tar 3 hivi nilikua na huyu dada room ,tuna mahusuano kama ya miezi miwili... alikua ameeenda bafuni kuoga baada ya mechi.

Basi sijui ni nini kikanituma nicheki simu yake. Nikafungua whatsapp nikaona anachat na watu wengi tu. Nikaona kawaida.
Nikaenda kwenye Txt za kawaida nikakuta kuna watu anachati nao wengi tu. Lakini jina moja nikalistukia. Nikafungua charts zake.

Nikakuta last text ina kama siku 4 inamuuliza kama ataenda kulala kwake.. inaonekana walikua wanaongea sana zaidi ya kuchart.

Basi nikazima simu nikairudisha tu.. alipotoka chooni sikumwambia kitu.. kwa hasira nikampiga bao zangu kama 4 akaondoka kwao. Kama baada ya siku 3 nikamuuliza kama ana mtu yyte either kama ni mpya au wakati tunaingia kwenye mahusiano alikuepo..
Alikana kata kata akasema niko peke yangu. Basi nikamwambia kama kuna mtu yyte afanye aachane nae.

Jana hali ya hewa haikua nzuri sana kukaa peke yako.. nilimuita ili tushinde wote. Alikuja bila pingamizi. Basi kama kawaida alipoenda bafuni kuoga nikasema nicheki kama kaachana na jamaa ake.

Nimeingia kucheki Txt nakuta katika kuchart nae jana hio hio.. tena wanaitana 'babe'
Na jamaa alikua anamuuliza tena kama ataenda kulala kwake.. mimi huwa ni mtulivu sana na sipendi kufanya maamuzi ya haraka.. nilirudisha simu yake , wala sikureact hata kidogo. Usiku nimemsindikiza hadi kwao.

Sasa hapa niko nawaza nifanye nini.? Nikisema nimuache hapa mimi ndio nitapoteza sana.. maana mimi ss hivi nipo kipindi ambacho siku stable sana kwenye nyanja nyingi za kimaisha. Hivyo sina muda wa kutafuta dem mwingine.

Huyu manzi ananipa papuchi kila ninapohitaji. Hanaga kipingamizi chochote.. lkn tatizo ni magonjwa na kinyaa cha kujua dem analiwa na mtu mwingine.

Hapa bado nipo kwenye dilemma nashindwa nifanye nini. ..
Na nnajuta kuangalia sms zake..
Nawaasa wanaume wenzangu. Kama dem hutaki kumuoa usiangalie sms zake wala kugusa simu yake.. unajitafutia presha za bure..
Wewe ni mwanaume ama Mvulana au kijana? Mbona unakuwa dhaifu sana kwa mwanamke mwambie ukweli unajua ana mahusiano na X hivyo mpe nafasi ya kuamua mwenyewe. Unapenda k ya bure kumbuka utajitibia kwa gharama na kula kunde kila siku. Achana na udhaifu huo. Simama kama mwanaume. Unajua kbs jamaa linatomba wewe unavumilia. Tafuta hela unataka ufahari wa kupiga bao 4 wakati hauna hata mia mfukoni. Acha kupenda mteremko.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Nikivuta picha na mambo anayonipa eti na jamaa mwingine anapewa hivyo hivyo.. napata hasira natamani hata kulia.
Wivu wa aina hiyo wanao wanawake. We fanya unayofanya na mwili wake maliza angaika na maendeleo yako binafsi ya maisha.

NIKIFIKIRIA ANAYONIPA ETI NA JAMAA MWINGINE ANAPEWA NATAMANI HATA KULIA😂😂😂😂😂

Una matatizo gani??
 
Wewe ni mwanaume ama Mvulana au kijana? Mbona unakuwa dhaifu sana kwa mwanamke mwambie ukweli unajua ana mahusiano na X hivyo mpe nafasi ya kuamua mwenyewe. Unapenda k ya bure kumbuka utajitibia kwa gharama na kula kunde kila siku. Achana na udhaifu huo. Simama kama mwanaume. Unajua kbs jamaa linatomba wewe unavumilia. Tafuta hela unataka ufahari wa kupiga bao 4 wakati hauna hata mia mfukoni. Acha kupenda mteremko.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Huyu ni Mtaji kiuno, hana mambo ya msingi ya maendeleo ya kuwaza na kufanya kama tulivyo wanaume wengine, angekuwa nayo hilo lisingekuwa tatizo kubwa kwake.

Anataka kulia akifikiria mwanamke anatumiwa na wengine huku yeye anapiga bao nne.............😂😂😂
 
Hakunaga demu wa peke ako kwa hii Tanzania ,kikubwa omba tu hao wengine wanaomla wawe salama kiafya ,lasivyo tumia condom ,demu hata ungempa Nini Bado atachepuka tu ,Ni nadra Sana kumpata demu wa peke ako ukizingatia vijana Wana sifa balaa hasa akimiliki kijiusafir Cha m10 huwa wanasumbua Sana .
Sasa jiulize huyo demu wako hatok nje au hadhururi ,haendi sokon na je huko sokon hakuna wanaume.

Vuta picha jinsi ulivyomtaman wewe ndivyo na wengine watamtaman ,pia vuta picha namna alivyokukubalia ndivyo na mwingine atakubaliwa ,.
Note: Hakunaga mwanamke anayeruka mbele ya pesa au vijizawadi zawad vya hapa na pale.
Mkuu umenena ukweli mtupu

Sent from my Nokia 2.2 using JamiiForums mobile app
 
Btw siwezi kuact kwa ushauri wa watu mtandaoni.. kwanza unaweza kukuta wengi wanaoshauri hawana hata dem .. wengine unakuta ni madogo waliopata matokeo ya form 4 juzi. So hapa napunguza stress tu.. maamuzi nitafanya mwenyewe..
kila la kheri!
 
Nikivuta picha na mambo anayonipa eti na jamaa mwingine anapewa hivyo hivyo.. napata hasira natamani hata kulia.
Kuna moment kama hiyo naipitia nachofanya ni kubadilisha malengo, kuwa makini na mgonjwa & kubambikiwa mimba
 
Habari wakuu.
Mimi ni mtu mkimya sana kitaa sina hata marafiki wengi. So mambo mengi yanayotokea huwa nasolve mwenyewe tu na mara nyingi yanaisha.. lakini hili naona limenikaa sana na sina wa kumwambia akanielewa. So naona ni bora niliweke hapa. Lengo sio kuomba ushauri wa mtu.. leo ni kushare tu ili linitoke kifuani.

Ilikua mwanzo kabisa wa mwaka huu kama tar 3 hivi nilikua na huyu dada room ,tuna mahusuano kama ya miezi miwili... alikua ameeenda bafuni kuoga baada ya mechi.

Basi sijui ni nini kikanituma nicheki simu yake. Nikafungua whatsapp nikaona anachat na watu wengi tu. Nikaona kawaida.
Nikaenda kwenye Txt za kawaida nikakuta kuna watu anachati nao wengi tu. Lakini jina moja nikalistukia. Nikafungua charts zake.

Nikakuta last text ina kama siku 4 inamuuliza kama ataenda kulala kwake.. inaonekana walikua wanaongea sana zaidi ya kuchart.

Basi nikazima simu nikairudisha tu.. alipotoka chooni sikumwambia kitu.. kwa hasira nikampiga bao zangu kama 4 akaondoka kwao. Kama baada ya siku 3 nikamuuliza kama ana mtu yyte either kama ni mpya au wakati tunaingia kwenye mahusiano alikuepo..
Alikana kata kata akasema niko peke yangu. Basi nikamwambia kama kuna mtu yyte afanye aachane nae.

Jana hali ya hewa haikua nzuri sana kukaa peke yako.. nilimuita ili tushinde wote. Alikuja bila pingamizi. Basi kama kawaida alipoenda bafuni kuoga nikasema nicheki kama kaachana na jamaa ake.

Nimeingia kucheki Txt nakuta katika kuchart nae jana hio hio.. tena wanaitana 'babe'
Na jamaa alikua anamuuliza tena kama ataenda kulala kwake.. mimi huwa ni mtulivu sana na sipendi kufanya maamuzi ya haraka.. nilirudisha simu yake , wala sikureact hata kidogo. Usiku nimemsindikiza hadi kwao.

Sasa hapa niko nawaza nifanye nini.? Nikisema nimuache hapa mimi ndio nitapoteza sana.. maana mimi ss hivi nipo kipindi ambacho siku stable sana kwenye nyanja nyingi za kimaisha. Hivyo sina muda wa kutafuta dem mwingine.

Huyu manzi ananipa papuchi kila ninapohitaji. Hanaga kipingamizi chochote.. lkn tatizo ni magonjwa na kinyaa cha kujua dem analiwa na mtu mwingine.

Hapa bado nipo kwenye dilemma nashindwa nifanye nini. ..
Na nnajuta kuangalia sms zake..
Nawaasa wanaume wenzangu. Kama dem hutaki kumuoa usiangalie sms zake wala kugusa simu yake.. unajitafutia presha za bure..
Mwanakulitafuta ni mwanakulinywa
 
Hakunaga demu wa peke ako kwa hii Tanzania ,kikubwa omba tu hao wengine wanaomla wawe salama kiafya ,lasivyo tumia condom ,demu hata ungempa Nini Bado atachepuka tu ,Ni nadra Sana kumpata demu wa peke ako ukizingatia vijana Wana sifa balaa hasa akimiliki kijiusafir Cha m10 huwa wanasumbua Sana .
Sasa jiulize huyo demu wako hatok nje au hadhururi ,haendi sokon na je huko sokon hakuna wanaume.

Vuta picha jinsi ulivyomtaman wewe ndivyo na wengine watamtaman ,pia vuta picha namna alivyokukubalia ndivyo na mwingine atakubaliwa ,.
Note: Hakunaga mwanamke anayeruka mbele ya pesa au vijizawadi zawad vya hapa na pale.
Fact nilikuwa na demu wangu naye ana jamaa yake, cha ajabu sasa anakaa na mimi mda wote kwanza ijumaa nikimchukua namrudisha jumatatu, na hizo siku za week tunaonana kila siku nikitoka job na anaweza kuja kulala kwangu mda wowote, ni mimi tuu nilikuwa nnamkimbia

Hiyo siku amelewa na tupo na rafiki zake akaropoka ninamfanya hata akose muda na boyfriend wake, nilicheka kimya kimya nkasema huyo jamaa ana kazi, tunavyoongea sasa hivi jamaa kachumbia, ila nikitaka ninapiga mda wowote na akija nilipo lazima achezee mjegejo
 
Habari wakuu.
Mimi ni mtu mkimya sana kitaa sina hata marafiki wengi. So mambo mengi yanayotokea huwa nasolve mwenyewe tu na mara nyingi yanaisha.. lakini hili naona limenikaa sana na sina wa kumwambia akanielewa. So naona ni bora niliweke hapa. Lengo sio kuomba ushauri wa mtu.. leo ni kushare tu ili linitoke kifuani.

Ilikua mwanzo kabisa wa mwaka huu kama tar 3 hivi nilikua na huyu dada room ,tuna mahusuano kama ya miezi miwili... alikua ameeenda bafuni kuoga baada ya mechi.

Basi sijui ni nini kikanituma nicheki simu yake. Nikafungua whatsapp nikaona anachat na watu wengi tu. Nikaona kawaida.
Nikaenda kwenye Txt za kawaida nikakuta kuna watu anachati nao wengi tu. Lakini jina moja nikalistukia. Nikafungua charts zake.

Nikakuta last text ina kama siku 4 inamuuliza kama ataenda kulala kwake.. inaonekana walikua wanaongea sana zaidi ya kuchart.

Basi nikazima simu nikairudisha tu.. alipotoka chooni sikumwambia kitu.. kwa hasira nikampiga bao zangu kama 4 akaondoka kwao. Kama baada ya siku 3 nikamuuliza kama ana mtu yyte either kama ni mpya au wakati tunaingia kwenye mahusiano alikuepo..
Alikana kata kata akasema niko peke yangu. Basi nikamwambia kama kuna mtu yyte afanye aachane nae.

Jana hali ya hewa haikua nzuri sana kukaa peke yako.. nilimuita ili tushinde wote. Alikuja bila pingamizi. Basi kama kawaida alipoenda bafuni kuoga nikasema nicheki kama kaachana na jamaa ake.

Nimeingia kucheki Txt nakuta katika kuchart nae jana hio hio.. tena wanaitana 'babe'
Na jamaa alikua anamuuliza tena kama ataenda kulala kwake.. mimi huwa ni mtulivu sana na sipendi kufanya maamuzi ya haraka.. nilirudisha simu yake , wala sikureact hata kidogo. Usiku nimemsindikiza hadi kwao.

Sasa hapa niko nawaza nifanye nini.? Nikisema nimuache hapa mimi ndio nitapoteza sana.. maana mimi ss hivi nipo kipindi ambacho siku stable sana kwenye nyanja nyingi za kimaisha. Hivyo sina muda wa kutafuta dem mwingine.

Huyu manzi ananipa papuchi kila ninapohitaji. Hanaga kipingamizi chochote.. lkn tatizo ni magonjwa na kinyaa cha kujua dem analiwa na mtu mwingine.

Hapa bado nipo kwenye dilemma nashindwa nifanye nini. ..
Na nnajuta kuangalia sms zake..
Nawaasa wanaume wenzangu. Kama dem hutaki kumuoa usiangalie sms zake wala kugusa simu yake.. unajitafutia presha za bure..
Pole sana baharia.

Ahsante kwa kutushirikisha hili jambo
 
Back
Top Bottom