lloydsam
Member
- Nov 8, 2015
- 42
- 55
NAJUA WENGI HATUUPENDI UTAWALA WA RAISI MAGUFULI ILA TUKUMBUSHANE TUU:
1: Takribani miaka 107 imeshapita tangu zilivyotengenezwa reli nchini Tanzania na wakoloni mnamo miaka ya 1912, Raisi Magufuli amekuwa raisi wa kwanza Tanzania kutengeneza tena RELI.
Na kama ilivyo kawaida ya TANZANIA kufanya Project bora zaidi ya wenzetu East Africa na hata Africa kwa ujumla, Magufuli akaamua kutengeneza SGR bora zaidi kuliko ya wenzetu WAKENYA ambayo yao inatumia matreni ya diesel tofauti na zetu zitakazokuwa zinatumia njia za umeme kama Marekani & China.
Kwa africa.. Morocco, Ethiopia & South Africa ndizo nchi pekee zenye mradi kama huu.
2: Ndani ya miaka 57 tangu tupate uhuru, serikali ya Tanzania imefanikiwa kujenga hospital 77 tuu mpaka sasa ila kwa kipindi cha mwaka 1 na nusu au miezi 18, MAGUFULI amefanikiwa kujenga Hospital Mpya 67 na vituo vipya vya Afya vipatavyo 352 Nchi nzima. Na wanatarajia kuongeza vingine 27 katika bajeti ijayo..
HII NI MIRADI ILIYOWAZI, WAKENYA TUNAWAACHA MUDA SI MREFU.. NIMEWATAJA WAO MAANA NDIO KAMA WATANI WETU WA JADI KWENYE SUALA LA MAENDELEO IN EAST AFRICA.
Wakiwa katika mkakati wa kupanua Bandari yao ya Mombasa, TANZANIA nayo imeshatoa fungu la kupanua Bandari zake zote ambayo Upanuaji wa Bandari ya Dar Es Salaam utahusisha ujengaji wa Port kwa ajili ya Cruise ship, zile meli kubwa za starehe zitakazokuwa zinaanza kutunga nanga nchini kwetu na kushusha Watalii wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
1: Takribani miaka 107 imeshapita tangu zilivyotengenezwa reli nchini Tanzania na wakoloni mnamo miaka ya 1912, Raisi Magufuli amekuwa raisi wa kwanza Tanzania kutengeneza tena RELI.
Na kama ilivyo kawaida ya TANZANIA kufanya Project bora zaidi ya wenzetu East Africa na hata Africa kwa ujumla, Magufuli akaamua kutengeneza SGR bora zaidi kuliko ya wenzetu WAKENYA ambayo yao inatumia matreni ya diesel tofauti na zetu zitakazokuwa zinatumia njia za umeme kama Marekani & China.
Kwa africa.. Morocco, Ethiopia & South Africa ndizo nchi pekee zenye mradi kama huu.
2: Ndani ya miaka 57 tangu tupate uhuru, serikali ya Tanzania imefanikiwa kujenga hospital 77 tuu mpaka sasa ila kwa kipindi cha mwaka 1 na nusu au miezi 18, MAGUFULI amefanikiwa kujenga Hospital Mpya 67 na vituo vipya vya Afya vipatavyo 352 Nchi nzima. Na wanatarajia kuongeza vingine 27 katika bajeti ijayo..
HII NI MIRADI ILIYOWAZI, WAKENYA TUNAWAACHA MUDA SI MREFU.. NIMEWATAJA WAO MAANA NDIO KAMA WATANI WETU WA JADI KWENYE SUALA LA MAENDELEO IN EAST AFRICA.
Wakiwa katika mkakati wa kupanua Bandari yao ya Mombasa, TANZANIA nayo imeshatoa fungu la kupanua Bandari zake zote ambayo Upanuaji wa Bandari ya Dar Es Salaam utahusisha ujengaji wa Port kwa ajili ya Cruise ship, zile meli kubwa za starehe zitakazokuwa zinaanza kutunga nanga nchini kwetu na kushusha Watalii wake.
Sent using Jamii Forums mobile app