Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,376
- 79,560
MnyenyekevuMagufuli mtu wa watu
MnyenyekevuMagufuli mtu wa watu
Ahahahahahah! A stressed person says anything to satisfy him/her/self.'Bata' nilizowahi 'Kula' katika Tanzania yako hii na nchi zingine tatu Afrika moja ikiwemo ya Kusini kamwe hautawahi kuja 'Kuzipata' Pimbi Mkubwa.
Ahahahahahah! A stressed person says anything to satisfy him/her/self.
And you'll be stressed till you die because CCM is there to stay yesterday, today and tomorrow.'Imeshapenya' hiyo tayari hivyo Kazi Kwako sasa Pimbi Mwandamizi mkubwa Wewe.
And you'll be stressed till you die because CCM is there to stay yesterday, today and tomorrow.
Ila hapa umeongea ukweliiiAhahahahahah! A stressed person says anything to satisfy him/her/self.
Tunduma wamemwambia hawayataki maji yake yenye masimango.Yaani huyo mzee ni futuhi la karne ya 21, akienda mahali akikuta hakuna maji na ni kwa mpinzani anasema walikosea kuchagua ndio maana hajapeleka maji, lakini akienda mahali akakuta hiyo huduma ipo, anasema yeye ndio kapeleka maana maendeleo hayana chama! Fuatilia vizuri, utakuta hata hiyo huduma ya maji haikwenda wakati wa utawala wake.
Unaongea utumbo halafu unajiona umeandika point ,kiongozi mkubwa kuropokaropoka hovyo mambo yanayotia aibu ni uwendawazimu ,huna point ya kutetea hapoKwani kuna Taifa lingine ambalo linapenda ngono kama wabongo?
Maana story za ngono ni kila mahali, maofsini, mabarabarani, vijiweni mpaka Mitandao, sasa hapo si anasema kitu ambacho Watanzania wengi wanapenda?
Magesti ya bongo yanasomba watu masaa 24
Umenikumbusha story za hotel moja pale Bamaga, siikumbuki vizuri ila ni kama vile Kabeji!Tafadhali sana badilika upesi na niwaombe pia hata wale walioko karibu nae ( hasa Washauri ) ama wamsaidie au wambadilishe kwani anachokifanya sasa ni 'Kujichoresha' na hadi 'Kujidhalilisha' kwa Watanzania. Haiwezekani Wewe kila ukianza tu 'Kuhutubia' unaacha 'Kujinadi' hasa 'Kisera' Kazi yako ni 'Kuchomekea' tu maneno ya 'Kingonongono' ambayo kwa sasa si ya 'Hadhi' yako.
Watanzania wanaweza wakawa ni 'Wagumu' Kuamini taarifa zako kuwa unapenda sana 'Ngono' ila kwa Kauli zako za sasa wataanza Kuzamini hasa.
Inakera kama siyo hata Kutukwaza wale tuliokuwa tukikupenda na kukuamini. Badilika upesi japo tayari 'Werevu' wameshakudharau sana na mno.
Kwanini unamfokea jamaa? Umepaniki? Kunywa majiiii!Ebu fuatilia komenti zangu na zako utajua nani ana tress kati ya mimi na wewe. Labda nikwambie kitu, kuwa kwako na maisha mabaya sababu sio CCM wala Serikali yake. Bali sababu ni aidha wazazi wako hawakukulea na kukusomesha vizuri au wewe binafsi hukuchangamkia fursa ukafikiri utaletewa! Pumbavu wewe!
Duh! Unaonekana uko desperate..pole sana broKumbe na Wewe pia ni mwana CCM 'Mpumbavu' kama huyo 'Mpumbavu' Mwandamizi Mwenzako unayemuunga mkono? Acheni tu tudharaulike pia.
Siyo tu ULINZI na MAMLAKA ongezea na "KWA AKILI ZAKE"Kwa hili nakubaliana nawe kwa 100% Mkuu japo nakuuliza hivi kwa Ulinzi wake na Mamlaka yake kuna wa 'Kuguna' mbele yake akaachwa Salama?
Wa Mkapa huyuKiongozi amekosa discipline kabisa, anaropoka hovyo sana, hafikirii cha kuongea kabisa, kila linalomjia mdomoni analitapika hivyo hivyo, tutaanza kuogopa kuangalia TV tukiwa na watoto wetu sasa, what a waste of..........!!
Kikwete mchukue mtu wako.