Najua mtanishambulia sana lakini wanawake kwa hili mnachangia mno kuiangamiza dunia!

"Kujisitiri" unakokuzungumzia hapa ni kupi? Maana kila mtu ana tafsiri yake kulingana na sababu mbalimbali. Hata hivyo nitakujibu kwa namna ambayo ninadhani unamaanisha. Ni kwamba kwa upande wangu ni mara nyingi sana nimewaangalia mara mbili mbili wanawake "waliojisitiri" lakini pia ni mara nyingi sana nimewaangalia mara KUMI KUMI wanawake wanaovaa nusu uchi.
Exactly my point my dia.
 
wakuu,

kama kichwa cha thread kinavyosomeka, ni ukweli usiopingika kuwa mavazi ya wanawake yanachangia sana vitendo vya ngono. Sasa hivi limekuwa ni jambo la kawaida kuona akina dada mijini wakiwa na mavazi yanayoooneyesha waziwazi miili yao kama vile matiti, mapaja na sasa baadhi wameanza kuvaa nguo zinazoonyesha hata shanga viunoni. Hata bungeni sasa ugonjwa huo umebisha hodi na kukaribishwa kwa kishindo. Kuna picha kwenye jukwaa la jamii photos inayoonyesha dada mmoja akiwa kwenye club moja huku makalio yote yakiwa nje kabisa.

Jamani akina dada chondechonde wanaume kama sisi madume ya mbegu mnatutesa jamani. Tutaangamia wenzenu. Hivi serikali haioni tatizo hili! Na tamwa je?
mkuu hivi mtu timamu anaweza akatetea upambavu wa namna hii . Kweli hii ndo maana ya great thinkers kuchangia kila thread au kwa sababu we dare to talk openly imekuwa shida . Dada zetu badilikeni ukweli ni kwamba mmepotea njia rudini kundini jivueni magamba na jing,oeni meno kabisa kwenye hili mi siwaungi mkono kabisa.
Huu ndio mmomonyoko wa maadili tunaouzungumza nasio vinginevyo
 
Da Womanizer:
Thats ok, but then again you are still stuck on that one sentence. Maybe I should ask you this, do you not believe that you as a man have a choice of whether or not to persue a girl? ...........If the answer is yes, then my case is rested if you think not, then pls advise why , and we will discuss this further?
Nemo nilipotea kidogo si unajua mambo ya man U vs Chelsea. Anyway ni kwamba nikiwa kama mwanaume I have a choice, lakini sometimes kama kuna some other xtremely attractive stimulus aside my judgment can be compromised. Actually it happens a lot.
 
Exactly my point my dia.
Utakuwa hujanisoma vizuri hapoa MJ1. Ujue mimi huwa nakubali sana michango yako lakini katika hili unakosea sana. Jaribuni kuelewa ni kwa namna gani ubongo unafanya kazi. Unajua kuna kitu kimoja wengi wetu aidha hatujui au tunafanya makusudi na kitu chenyewe ni namna viashiria vya nje vinavyoweza kuathiri maamuzi ya binadamu. Most of times it is not about what we are supposed to decide but it is about under what circumstances we are making those decisions.
 
mzee yani hapo umenena, kuna baadhi ya wanawake wanajiabisha kwa nguo zisizo na staa
 
nadhani kila mtu anajua nini maana ya kuvaa mavazi ya heshima. ndo maana nguo zivaliwazo barabrani hazivaliwi mbele ya wazazi. kama hilo ndilo kwa nini nguo hizo 'universal' zisivalie popote?
 
Wakuu,

Kama kichwa cha thread kinavyosomeka, ni ukweli usiopingika kuwa mavazi ya wanawake yanachangia sana vitendo vya ngono. Sasa hivi limekuwa ni jambo la kawaida kuona akina dada mijini wakiwa na mavazi yanayoooneyesha waziwazi miili yao kama vile matiti, mapaja na sasa baadhi wameanza kuvaa nguo zinazoonyesha hata shanga viunoni. Hata bungeni sasa ugonjwa huo umebisha hodi na kukaribishwa kwa kishindo. Kuna picha kwenye Jukwaa la Jamii Photos inayoonyesha dada mmoja akiwa kwenye club moja huku makalio yote yakiwa nje kabisa.

Jamani akina dada chondechonde wanaume kama sisi madume ya mbegu mnatutesa jamani. Tutaangamia wenzenu. Hivi serikali haioni tatizo hili! Na tamwa je?

unajua dume la mbegu ndo maana,
mimi huwa ninajiuliza kila siku kuwa,
hawa dada/mama zetu ni majasiri sana,
tumezoea kusema akina mama/dada ni viumbe dhaifu,
wenye aibu mbele ya jamii lakini mimi sioni ukweli wa hii kauli,
mwenye aibu hawezi tembea uchi barabarani,
nachoamini mimi, mwanaume ni kiumbe mwenye aibu kuliko mwanamke,
kwani ni aghalabu kukuta mwanaume anatembea huku tumbo au kitovu kipo nje labda,
kama kuna sababu ya msingi,
sasa hapo mwenye aibu ni nani?
 
kuna kitu nimegundua kutokana na comments za akina dada katika topic hii!!! WAO SIO WANAUME, HAWAJUI TUNAVYOJISIKIA TUKIWAONA NA NGUO ZAO HIZO! Na kwa mantinki hiyo basi, lolote watakalosema ooh punguza tamaa, mara utabaka dada zako, ni sababu wao sio wanaume! Kubaka hatubaki lakini mnatuumiza! Na tunaumia sana mkae mkijua, sio tamaa wala nini, ndio tulivyoumbwa.

Ngoja tuwapotezee, mtatembea uchi ninyi mpaka mbwa watawatamani shenz type. Jiheshimuni
 
Kuiga kunawaponza sana wanawake wengi wakidhani ndio maendeleo kumbe ni kujidhalilisha.
 
maisha yenyewe magumu mtu yuko busy kukodolea makalio, maziwa tehe!! utakuja gongwa na gari bure ufe kwa ajili ya kuwashangaa. wapuuzie endelea kujenga taifa, utapata heart attack ukifuatilia hiyo issue
 
kuna kitu nimegundua kutokana na comments za akina dada katika topic hii!!! WAO SIO WANAUME, HAWAJUI TUNAVYOJISIKIA TUKIWAONA NA NGUO ZAO HIZO! Na kwa mantinki hiyo basi, lolote watakalosema ooh punguza tamaa, mara utabaka dada zako, ni sababu wao sio wanaume! Kubaka hatubaki lakini mnatuumiza! Na tunaumia sana mkae mkijua, sio tamaa wala nini, ndio tulivyoumbwa.

Ngoja tuwapotezee, mtatembea uchi ninyi mpaka mbwa watawatamani shenz type. Jiheshimuni
Mkuu hiyo nyekundu nimeipenda sana. Umenena haswa, tuwapotezee tu hawa shenz type.
 
Wakuu hata maandiko yamenena kuhusu hayo kwa siku za mwisho. Sasa hivi wanafanya hivyo kututamanisha na baadaye pale ambapo tutawapotezea aidha wanawake watatubaka au itakuwa kama yasemavyo maandiko haya:- Ukweli kwamba hakuna Kanisa leo linalofuata Biblia na Biblia pekee katika mafundisho wanayoyafuata umeelezwa katika unabii wa Biblia: ?Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.? Isa 4:1. Unabii huu unatuambia kwamba wakati wa mwisho ?saba? (7 kama alama humaanisha [huonyesha] ?wote?, ?ujumla? ,?kamili? mfano: siku 7 za uumbaji, mapigo 7 ya mwisho, miaka 7 ya njaa, n.k.) au YOTE, ?wanawake? (au Makanisa ? Makanisa mara nyingi huwakilishwa kama wanawake katika Biblia; Ufu12:1 dhidi ya Ufu 17:3) ?watamshika mtu mume mmoja? (watadai kuwa na uhusiano na Yesu?ambao Makanisa YOTE hudai kuwa nao leo) ?wakisema, Tutakula chakula chetu [wenyewe]? (Wanakataa Mkate wa kweli wa uzima?Yesu na mafundisho yake, angalia Yoh 6:51, na wanapendelea badala yake ?kula [kupokea]? mafundisho yao wenyewe ya uongo na mapokeo??angalia Isa 8:20), ?na kuvaa nguo zetu wenyewe? (pia wanakataa vazi jeupe na safi la haki ya Kristo na kupendelea mifumo yao wenyewe ya matendo na haki ya binafsi?angalia Isa 61:10; Ufu 3:4, 5, 18) lakini hapa ndipo lilipo jambo la kufurahisha, wote wanasema: ?lakini tuitwe tu kwa jina lako? (wanatamani kwa shauku, bila kujali uasi wao, kutambuliwa kama sehemu ya Kanisa la Mungu, kwa nini?) ?utuondolee aibu yetu.? Hawataki aibu yao na utupu uonwe kwa sababu ya ukweli kwamba wanafundisha mafundisho ya uongo na siyo sehemu ya Kanisa la Mungu, lakini kwa dhahiri ni mojawapo ya binti kahaba wa Babeli!
 
suala la wanawake kuvaa vibaya ni jambo ambalo linapaswa kukemewa, lakini mimi siamini kwamba, vitendo vyuote vya kubakwa wanawake vinatokana na wanawake kuvaa vibaya. Kuna vichanga vinabakwa navyo je vinatamanisha? au ushenzi wa mbakaji tu? kuna wanaonajisi hata watoto wa kiume sasa, hawa nao je watamanisha?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom