Najua mtanishambulia sana lakini wanawake kwa hili mnachangia mno kuiangamiza dunia!

Mimi nafikiri ni tamaa tu za wanaume zimejengeka vichwani mwao. Kwani kabla wakoloni hawajatuletea nguo, mambo yalikuwaje? Ina maana ilikuwa ni kubakana tu? Tatizo ni kuwaza ngono. Unamwona mwanamke halafu mawazo yako yanaenda tu pale katikati ya miguu. Mbona tukienda nchi za watu tunazoea (japo inakuwa shida kidogo mwanzoni)?
 
au kuweka uwiano mzuri....na nyie wanaume muwe mnavaa nguo za kututamanisha na sisi.......hata sisi tunapenda kutamani jamani

ha haha achautani mdada kwani nyie mnatamani maumbo??? Nyie mwatamani pesa tuu!!!! Mkishazinusa basi hamsikii la muhadhini wala la mnadi swala.
 
Kila vazi lina mahala pake. Kuna nguo si za kuvaa kazini na kuna nguo si za kuvaa beach au club. Kwa hiyo kama una vaa pensi fupi kariakoo unatafuta balaa. Na kingine kama huna usafiri you need to be extra careful with what you are wearing. Nadhani wadada mmenielewa. Hata kariakoo ukishuka na short kwenye vogue wahuni wanaogopa wanaongea chini chini. Kwa hiyo kuna na uonevu fulani na uoga kwa wenye nazo.
 
Lizzy,
Kwa dunia ya sasa, naweza kuvaa kama zamani (kama ulivyoeleza) na kwenda kanisani???
Sijasema watu wavae hivyo nimejaribu tu kuangalia point ya huyo ndugu kuhusu watu kubaka ndugu zao kisa mwili unaonekana!Maana kama ni kweli anachosema itakua hamna aliyesalia enzi hizo!!Tatizo kubwa ni watu kuvaa nguo zisizoendana na sehemu husika....tukiambizana vizuri wahusika watapata msukumo wa kubadilika!Ila tukiendelea kutupiana lawama kama wengi wanavyofanya hatutafika popote!Wanaume watasema wanawake ndo wasababishi wa matamanio yao ya ngono yaliyokithiri wakati wenyewe wanashindwa kujidhibiti!!Wanawake nao japo sio wote watasema wanavaa kwasababu ya wanaume.....Nani hapa atakubali kubadilika wakati anaona sie mwenye kosa???Punguzeni tamaa na kukodolea hao wavaaji macho kama hawatapoteza interest ya kuvaa hivyo!!
 
Kwanza mwenye kutamani atatamani tu hata kama utamvalia hijab, inategemea na mawazo yako unayaelekeza wapi na kwa wakati gani.
Hata hivyo siku hizi sioni kama bado vinatamanisha wavaa uchi wamekuwa wengi na kitu ukishazoea kukiona kinakuwa cha kawaida machoni kwako na wala huwezi kukitamani tena unless uko under 15!

Waacheni wavae wajifurahishe wao lakini wanaume acheni kuwaanaglai wanawake kwa macho ya ugeni chukulia kawaida tu ( mbona hamtamani mkono au kichwa si mmezoea kuviona?!)
 
Kila vazi lina mahala pake. Kuna nguo si za kuvaa kazini na kuna nguo si za kuvaa beach au club. Kwa hiyo kama una vaa pensi fupi kariakoo unatafuta balaa. Na kingine kama huna usafiri you need to be extra careful with what you are wearing. Nadhani wadada mmenielewa. Hata kariakoo ukishuka na short kwenye vogue wahuni wanaogopa wanaongea chini chini. Kwa hiyo kuna na uonevu fulani na uoga kwa wenye nazo.

Naona kama "Nyumba Kubwa" hapa umemaliza utata.
Kuna suala la mavazi muafaka kwa mahali muafaka!
Ila bado jamani mashosti nguo zenu ni balaa.
Naona hapa kwenye jamvi watu wanachukulia kama ushindani, lakini DM ameleta mjadala ambao ni wa ukweli sana.
Suala la mavazi ya wakina dada/wamama wa siku hizi ni changamoto sana kwa vidume vya mbegu!
 
Sijasema watu wavae hivyo nimejaribu tu kuangalia point ya huyo ndugu kuhusu watu kubaka ndugu zao kisa mwili unaonekana!Maana kama ni kweli anachosema itakua hamna aliyesalia enzi hizo!!Tatizo kubwa ni watu kuvaa nguo zisizoendana na sehemu husika....tukiambizana vizuri wahusika watapata msukumo wa kubadilika!Ila tukiendelea kutupiana lawama kama wengi wanavyofanya hatutafika popote!Wanaume watasema wanawake ndo wasababishi wa matamanio yao ya ngono yaliyokithiri wakati wenyewe wanashindwa kujidhibiti!!Wanawake nao japo sio wote watasema wanavaa kwasababu ya wanaume.....Nani hapa atakubali kubadilika wakati anaona sie mwenye kosa???Punguzeni tamaa na kukodolea hao wavaaji macho kama hawatapoteza interest ya kuvaa hivyo!!

Point zako zote zimejaa nadharia tu. Utafikiri unaishi dunia nyingine. Matamanio yanaanza kwa kutazama na waswahili wanasema macho hayana pazia. Mwanaume yeyote 'mkamilifu' akiona maungo ya kike lazima mwili usisimke, awe mchungaji, shekhe au kiongozi yeyote wa dini lazima reaction hiyo itokee. Kinachotofautisha kati ya mwanaume na mwanume ni uwezo wa kuhimili vishawishi. Wengine wana uwezo mkubwa na wengine mdogo. Sasa ninachotaka kieleweke kwenye thread yangu ni kuwa kama tunatambua kuwa uvaaji usio wa heshima unavuruga akili ya mwanaume, kwa nini wanawake wasivae mavazi ya heshima ili kuwasaidia wasio na uwezo wa kuhimili tamaa!!?? Ndiyo maana ndugu zetu waislam waliamua kuweka sheria kali ya kufunika mpaka uso.
 
Hivi kwa nini kuna baadhi ya wanawake (mfano Lizzy) wanawakuwa wachungu sana wanapoambiwa kuhusu ubaya wa mavazi ya wenzao wa leo. Halafu mimi nashindwa kuelewa kitu kimoja, unakuta mtu ni mwanamke lakini anawajibia wanaume kuhusu ishu ya tamaa,....Wao wanaume wanasema ni tatizo halafu wewe mwanamke unaleta za kuleta na kudai ooooh sijui ni tamaa zao, mara sijui mbona mababu zetu walifanya hivi au vile.........Suala la watu wa kale kufanya jambo fulani hakufanyi hilo jambo kuwa sahihi na ndio maana leo hii kuna harakati za kupinga mfumo dume.
Kama kweli tunadhani kuwa kila walichofanya mababu ni sahihi basi tukuabaliane na yote kwa maneno mengine tuache double standards.
 
Point zako zote zimejaa nadharia tu. Utafikiri unaishi dunia nyingine. Matamanio yanaanza kwa kutazama na waswahili wanasema macho hayana pazia. Mwanaume yeyote 'mkamilifu' akiona maungo ya kike lazima mwili usisimke, awe mchungaji, shekhe au kiongozi yeyote wa dini lazima reaction hiyo itokee. Kinachotofautisha kati ya mwanaume na mwanume ni uwezo wa kuhimili vishawishi. Wengine wana uwezo mkubwa na wengine mdogo. Sasa ninachotaka kieleweke kwenye thread yangu ni kuwa kama tunatambua kuwa uvaaji usio wa heshima unavuruga akili ya mwanaume, kwa nini wanawake wasivae mavazi ya heshima ili kuwasaidia wasio na uwezo wa kuhimili tamaa!!?? Ndiyo maana ndugu zetu waislam waliamua kuweka sheria kali ya kufunika mpaka uso.
Tatizo ni kwamba haiwezi tokea siku wote tukawa tumevaa magauni na sketi ndefu....jifunzeni kuhimili tamaa zenu!!!
 
Point zako zote zimejaa nadharia tu. Utafikiri unaishi dunia nyingine. Matamanio yanaanza kwa kutazama na waswahili wanasema macho hayana pazia. Mwanaume yeyote 'mkamilifu' akiona maungo ya kike lazima mwili usisimke, awe mchungaji, shekhe au kiongozi yeyote wa dini lazima reaction hiyo itokee. Kinachotofautisha kati ya mwanaume na mwanume ni uwezo wa kuhimili vishawishi. Wengine wana uwezo mkubwa na wengine mdogo. Sasa ninachotaka kieleweke kwenye thread yangu ni kuwa kama tunatambua kuwa uvaaji usio wa heshima unavuruga akili ya mwanaume, kwa nini wanawake wasivae mavazi ya heshima ili kuwasaidia wasio na uwezo wa kuhimili tamaa!!?? Ndiyo maana ndugu zetu waislam waliamua kuweka sheria kali ya kufunika mpaka uso.
Mkuu you can say this again and again. Nakupa big up sana
 
Hivi kwa nini kuna baadhi ya wanawake (mfano Lizzy) wanawakuwa wachungu sana wanapoambiwa kuhusu ubaya wa mavazi ya wenzao wa leo. Halafu mimi nashindwa kuelewa kitu kimoja, unakuta mtu ni mwanamke lakini anawajibia wanaume kuhusu ishu ya tamaa,....Wao wanaume wanasema ni tatizo halafu wewe mwanamke unaleta za kuleta na kudai ooooh sijui ni tamaa zao, mara sijui mbona mababu zetu walifanya hivi au vile.........Suala la watu wa kale kufanya jambo fulani hakufanyi hilo jambo kuwa sahihi na ndio maana leo hii kuna harakati za kupinga mfumo dume.
Kama kweli tunadhani kuwa kila walichofanya mababu ni sahihi basi tukuabaliane na yote kwa maneno mengine tuache double standards.
Sio nakua mchungu....asingesema wanawake ndo wasababishi wakubwa wa kuongeza tamaa ya ngono ningeunga mkono hoja bila kipingamizi....tatizo ni pale mnapochukua tatizo ambalo hata nyie wanaume mnachangia na kumtupia mwanamke lawama zote!Mngekua hamuangalii na kutamani yasingevaliwa...ila hata yasipovaliwa hamtakoma kutamani maana hua mnazivua hizo nguo kwa macho!Itafikia mahali hata wale wenye macho mazuri ya kuvutia watalazimishwa kuvaa miwani maana hata yenyewe yana wagonjwa wao!!
 
Kumbe we mvaaji........Tuambie basi lengo lako ni nini, kuweka mitego??

Jeuri yao hawa ni kuweka sheria kali, full stop! Vinginevyo, wataendelea kuonyesha upuuzi wao hadharani kama hawana akili vile! Imefika mahali wengine wana miguu kama fito za miti lakini wanaacha nje nje eti ili waende na wakati. Mpaka inakuwa kero!
 
Sio nakua mchungu....asingesema wanawake ndo wasababishi wakubwa wa kuongeza tamaa ya ngono ningeunga mkono hoja bila kipingamizi....tatizo ni pale mnapochukua tatizo ambalo hata nyie wanaume mnachangia na kumtupia mwanamke lawama zote!Mngekua hamuangalii na kutamani yasingevaliwa...ila hata yasipovaliwa hamtakoma kutamani maana hua mnazivua hizo nguo kwa macho!Itafikia mahali hata wale wenye macho mazuri ya kuvutia watalazimishwa kuvaa miwani maana hata yenyewe yana wagonjwa wao!!
Hivi wewe unaijua saikolojia ya mwanaume linapokuja suala la ngono au unaongea ongea tu?? Kwa hiyo unataka kusema ni bora mtembee uchi kabisa manake si mnavuliwa nguo kwa macho????????????!!!!!!!!!
 
Hivi wewe unaijua saikolojia ya mwanaume linapokuja suala la ngono au unaongea ongea tu?? Kwa hiyo unataka kusema ni bora mtembee uchi kabisa manake si mnavuliwa nguo kwa macho????????????!!!!!!!!!

Unatumia soda gani ndugu yangu. Agiza nitalipa. Umenikuna sana.
 
Jeuri yao hawa ni kuweka sheria kali, full stop! Vinginevyo, wataendelea kuonyesha upuuzi wao hadharani kama hawana akili vile! Imefika mahali wengine wana miguu kama fito za miti lakini wanaacha nje nje eti ili waende na wakati. Mpaka inakuwa kero!
Hii muhimu sana mkuu
 
Back
Top Bottom