Najua kuna watakaonicheka kuwa mimi ni mzembe lakini muda mwingine inahitajika kupumzika

mm demu akiniambia anachukua ndomu stimu zinakata waya,,hamna kitu apo sitak kuchosha mwili wangu bure nanijua nachukuaga muda mrefu kupiz asa nikiweka ndomu ndo sijui masaa mangap apo bora nikae kimya na kunyuti tu kitandani..
Afadhali wewe japo inafurukuta !! mie jamani niwaambie kitu!! nikiivaa ndomu nikaweka! huwaga ikiingia, mara mbili tatu hivi! ina sahau mahali ilipo! ina nywea, nywee!!ee!!ee!! nikiwa na ugwadu sifikagi mwisho! ni kusgua tyuuuuu!! mweeee! mnipishege!!
 
Afadhali wewe japo inafurukuta !! mie jamani niwaambie kitu!! nikiivaa ndomu nikaweka! huwaga ikiingia, mara mbili tatu hivi! ina sahau mahali ilipo! ina nywea, nywee!!ee!!ee!! nikiwa na ugwadu sifikagi mwisho! ni kusgua tyuuuuu!! mweeee! mnipishege!!
Unafanya tendo kimazoea sio kwa hisia
 
Wataalamu mpo? Kwema?

Niliwamisi sana.

Juzi bana nilitoka out na shemeji yenu mmoja hivi ambae ndio bado hatuna hata week 2, tulitoka weekend tulikunywa vinywaji kiasi baada ya kuchangamka akapendekeza twende kwake nikapumzike kwanza then ndio niende home kwangu kwakua kwake sio mbali na hapo tulipokua tunanywea vinywaji.

Basi baada ya kuondoka pale nikaona kweli nikapumzike kwake kwanza kidogo then ndio niende home, tulipofika kwake tulikaa kidogo kama robo saa, kilichofuata ilikua sio kupumzika tena, bali kulitokea mtanange mkali sana, game kali, yani kama huna pumzi unaweza ukazimia, kiukweli tulipelekana mpera mpera, inafikia sehemu ushacheka na nyavu zaidi ya mara tatu unadhani kwamba atasema amechoka lakini ndio wapi!!! Bado anataka, yaani ile siku nisingetumia uzoefu wangu kwenye haya mambo angenitoa nishai, mwisho wa siku game ikaisha salama lakini kila mmoja alikua hoi Bin Taabani.

Ikabidi tuu niage niondoke niende zangu home, nikamuacha bado amelala kitandani yani hata nguvu za kunisindikiza hakuwa nazo aiseee.

Mwendo wa boda boda dakika 30 nikafika home, huku kichwa changu kikiwaza nioge tuu nilale maana mzee nilihisi hadi bone marrow zimeisha, yani hadi nikawa nikikunja mguu unatoka mlio kama vyuma ambavyo havina grisi, nikaoga zangu fasta nikapanda kitandani nilale.

Ile nazima tuu taa nilale ikaingi mesaage "kuna duka nimelikuta liko wazi apa nanunua condom za kuja kutumia leo " hapo ni SAA 5 na nusu usiku, meseji inatoka kwa mpenzi wangu mwingine.

Nikaona chakufia nini!? Akifika hapo nje atagonga akichoka ataondoka, nikazima simu nikalala zangu.
Soseji mbili
images%20(34).jpg
 
Back
Top Bottom