Mundali
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 749
- 164
Well done Jembe Jipya. Sishangazwi na coments zako. Kazi ya jembe ni kuchimbia mihogo na majimbi. Sasa kidogo JK kakuzidi upeo wa kufikiria kakuletea power tiller, ndio maana unamwona kila kitu. Mwenzetu utawaza Jembe la mkono mpaka lini? Tembelea mashamba ya walowezi mliowauzia ardhi kule simanjiro ukaone mashine za kisasa kiasi zinavyolima. Ekari moja kwa dakika moja.JAKAYA MRISHO KIKWETE
1.Mtanzania pekee aliyewafanya wapinzani uchwara walie kuomba uongozi.
2.Mtu pekee ambaye mafanikio yake kimaendeleo yanapingwa kwa porojo.(bila takwimu)
3.Mtu pekee katika Tanzania ya leo aliyekubali kuacha sheria iwashughulike wanadhirifu wa mali za umma.
4.Rais wa Tanzania 2005 - 2015.
5.Aliyegeuza ilani ya CCM na mafanikio yake kuwa kama moto ambao kila mpinzani anaogopa kuukaribia.
So kwa bongolala kama wewe sishangai kuota maendeleo kwa jembe la mkono.