Elections 2010 Najua baadhi inawauma lakini huyu ataendelea kuwepo

JAKAYA MRISHO KIKWETE
1.Mtanzania pekee aliyewafanya wapinzani uchwara walie kuomba uongozi.
2.Mtu pekee ambaye mafanikio yake kimaendeleo yanapingwa kwa porojo.(bila takwimu)
3.Mtu pekee katika Tanzania ya leo aliyekubali kuacha sheria iwashughulike wanadhirifu wa mali za umma.
4.Rais wa Tanzania 2005 - 2015.
5.Aliyegeuza ilani ya CCM na mafanikio yake kuwa kama moto ambao kila mpinzani anaogopa kuukaribia.
Well done Jembe Jipya. Sishangazwi na coments zako. Kazi ya jembe ni kuchimbia mihogo na majimbi. Sasa kidogo JK kakuzidi upeo wa kufikiria kakuletea power tiller, ndio maana unamwona kila kitu. Mwenzetu utawaza Jembe la mkono mpaka lini? Tembelea mashamba ya walowezi mliowauzia ardhi kule simanjiro ukaone mashine za kisasa kiasi zinavyolima. Ekari moja kwa dakika moja.
So kwa bongolala kama wewe sishangai kuota maendeleo kwa jembe la mkono.
 
Ongeza na haya
-Kiongozi pekee aliyeimarisha utawala bora unaozingatia utawala wa sheria
-kiongozi pekee aliyeimarisha democrasia nchini
-kiongozi pekee aliyewachukulia hatua mafisadi bila kuangalia vyeo vyao
-kiongozi pekee aliyekubali kupitisha sheria ya gharama za uchaguzi
-kiongozi pekee aliyeboresha elimu chini (kafuta ada za mitihani, kajenga shule lukukii)
-kiongozii pekee aliyejenga chuo kikuu cha kimataifa cha Udom
-kiongozi pekee aliyeboresha soka nchini kwa kumleta kocha mbrazili (na kufuta usemi wa kichwa cha mwendawazimu)
-kiongozi pekee aliyekuja na kauli mbio kilimo kwanza
-kiongozi pekee anayechukia ufisadi
-kiongozi pekee aliyezuia viongozi kununua magari ya kifahari (mashangingi)
-kiongozi pekee anayeanguka majukwaani kwa dhiki kwa ajili ya wananchi wake

NB: Mambo ni mengi ALIYEFANYA BABA HUYU, KWA REJEA SOMA ILANI YA UCHAGUZI CCM
Kama kuna kitu serikali ya CCM imefanikiwa katika nchi hii, ni kuwatia ujinga wananchi wengi. MMoja wao ni wewe. Kuwasamehe wezi wa mali ya umma ni kuwashughulikia. Kama yeye ni bora basi watanzania wanaowachoma moto vibaka wa simu ni wachawi.
Nafuu uwe mjinga unaweza elimika, lakini upumbavu loooooh.
Kwa taarifa tu baada ya mpendwa kiongozi wetu kutoa orodha ya mafisadi na wizi wa EPA pale mwembe yanga, watu wawili wa kwanza kuipinga walikuwa ni Kingunge Ngombare Mwiru (The very first day) na Jakaya Mrisho Kikwete (The following day). JK alisema "Kelele za mlango hazimzuii mwenye nyumba usingizi. Maneno ya wapinzani ni sawa na kelele za mlango tu hayatunyimi usingizi". Ama kweli chema chajiuza kibaya chajitembeza. Mabilioni yooooooooooote kwa ajili ya kunadi mlivyotekeleza sera!!!!!!!!! Mbona waliotekeleza sera wanauzika kirahisi tu.
Kama kweli JK atashinda mueleze aende ikulu akafanye kazi zake tu ushindi ni lazima.
 
5. Aliyegeuza ilani ya CCM na mafanikio yake kuwa kama moto ambao kila mpinzani anaogopa kuukaribia.

CCM haina hata itikadi, much less ilani. Ilani gani ? Mafanikio gani ? Sio wewe uliyelaumu watu kumpinga Kikwete bila takwimu, sasa mbona unataka kumtetea bila takwimu na kuvunja sheria yako mwenyewe ?


Kuna kipindi Mr Ben alikiri ilani yao haitekelezeki ingawaje kidogo kulikuwa na afadhali sasa huyu ambaye amevurunda mpaka hicho kidogo alichoachiwa ndio wa kusifiwa hivyo. Watanzania wengine ndio wanaotufanya tubaki hapa tulipo kutokana na upeo wa uelewa.

 
JAKAYA MRISHO KIKWETE
1.Mtanzania pekee aliyewafanya wapinzani uchwara walie kuomba uongozi.
2.Mtu pekee ambaye mafanikio yake kimaendeleo yanapingwa kwa porojo.(bila takwimu)
3.Mtu pekee katika Tanzania ya leo aliyekubali kuacha sheria iwashughulike wanadhirifu wa mali za umma.
4.Rais wa Tanzania 2005 - 2015.
5.Aliyegeuza ilani ya CCM na mafanikio yake kuwa kama moto ambao kila mpinzani anaogopa kuukaribia.

Wewe ni mtu pekee usiye na upeo wa kubaini kuwa una tatizo. UMECHEMSHA HATUDANGANYIKI
 
Ongeza na haya
-Kiongozi pekee aliyeimarisha utawala bora unaozingatia utawala wa sheria
-kiongozi pekee aliyeimarisha democrasia nchini
-kiongozi pekee aliyewachukulia hatua mafisadi bila kuangalia vyeo vyao
-kiongozi pekee aliyekubali kupitisha sheria ya gharama za uchaguzi
-kiongozi pekee aliyeboresha elimu chini (kafuta ada za mitihani, kajenga shule lukukii)
-kiongozii pekee aliyejenga chuo kikuu cha kimataifa cha Udom
-kiongozi pekee aliyeboresha soka nchini kwa kumleta kocha mbrazili (na kufuta usemi wa kichwa cha mwendawazimu)
-kiongozi pekee aliyekuja na kauli mbio kilimo kwanza
-kiongozi pekee anayechukia ufisadi
-kiongozi pekee aliyezuia viongozi kununua magari ya kifahari (mashangingi)
-kiongozi pekee anayeanguka majukwaani kwa dhiki kwa ajili ya wananchi wake

NB: Mambo ni mengi ALIYEFANYA BABA HUYU, KWA REJEA SOMA ILANI YA UCHAGUZI CCM
KWENYE NYEKUNDU HAPO NI UTATA MTUPU, LEO UNAMFIKISHA MTU MAHAKAMANI KESHO KWENYE JUKWAA LA SIASA UNAWAAMBIA WATU WAMCHGUE AWE KIONGOZI:mad2:, HUU NI UJINGA MTUPU.
 
JAKAYA MRISHO KIKWETE a.k.a Msanii,alipokuwa Ludewa ndo katia fora,yaani amewaona watu mabwege kweli.

Katoka na staili ya kupokea simu kabla ya kupanda jukwaani halafu anawambia wananchi alikuwa anazungumza na balozi wa Marekani, eti Obama kaahidi kuendelea kutoa misaada..tehtehteh ....kumbe alikuwa anaongea peke yake,jamaa msanii yule.. ehe....


:phone:Balozi wa Marekani :cell:Obama :A S 100: Mr. Prezidaaaaa
Hadi uchaguzi ufike tutavunjika mbavu zetu lol!:laugh::laugh::laugh:
 
Njaa mja wa laana, na mwenye njaa utamjua tu kwa maneno na matendo yake.
KAKA UNA NJAA
JAKAYA MRISHO KIKWETE
1.Mtanzania pekee aliyewafanya wapinzani uchwara walie kuomba uongozi.
2.Mtu pekee ambaye mafanikio yake kimaendeleo yanapingwa kwa porojo.(bila takwimu)
3.Mtu pekee katika Tanzania ya leo aliyekubali kuacha sheria iwashughulike wanadhirifu wa mali za umma.
4.Rais wa Tanzania 2005 - 2015.
5.Aliyegeuza ilani ya CCM na mafanikio yake kuwa kama moto ambao kila mpinzani anaogopa kuukaribia.
 
Naam, inatuuma sana kwa sababu mwaka 2005 tuliahidiwa "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" lakini leo hii tunaona hakuna maisha yoyote bora bali maisha yanazidi kuwa magumu kupindukia! Na inazidi kutuuma sana kwa sababu zinafanywa na zitaendelea kufanywa kila aina ya mbinu kuwalaghai wananchi ili warudie makosa ya kuchagua kiongozi ambaye alitoa ahadi ya uongo! Yapo mengi mno yanayofanya wengi sana ituume iwapo rais aliyetudanganya mwaka 2005 ataendelea tena kutuongoza!
 
Kuna watu mwezi huu wamechachamaa sana kutuma post za kijinga naona wametumwa.
Sisi umu jamvini sio wadanganyika kwaiyo usitegeme kwamba unaweza kutudanganya ili umfurahishe boss wako ccm.
Maendeleo yaliyoletwa na CCM;uvutaji na uhuzaji wa madawa ya kulevya,Rushwa yakupindukia,Ufisadi,Mikataba mibovu inayomnufaisha sana mwekezaji na kumumiza sana Mtanzania mwenye mali yake,Umalaya sio wazee wala vijana mana wanapata pesa za wizi kwaiyo azina uchungu kuzifanyia uwasherati,Bei za vitu kupanda,Uwenda wazimu,naomba mengine muongezee wana jamvini.

Atudanganyiki tulishakataa.
 
Tumgeukie huyo Kikwete wako

JAKAYA MRISHO KIKWETE

1.Mtanzania pekee aliyewafanya wapinzani uchwara walie kuomba uongozi.

Kama unaongelea wapinzani uchwara, basi wewe una uongozi uchwara.Tafadhali tuambie kafanya nini kwa wapinzani ukweli, na sio wapinzani uchwara. You do not judge a leader's ability by how he works with his easiest challenges, but how does he work with his hardest ones.

2.Mtu pekee ambaye mafanikio yake kimaendeleo yanapingwa kwa porojo.(bila takwimu)

Mafanikio gani ? Takwimu zina tabia ya kuweza kudanganya vizuri tu.Ninaweza kuwaita watu wa Kikwete 100 na kuwauliza maswali ambayo yako favorable kwa Kikwete, wakatoa majibu ya kumpendelea Kikwete na kutoa headline kwamba katika survey fulani Kikwete amekubalika 100%. Mafanikio ya Kikwete zaidi ya mafanikio yakutegemewa kwa wastani wa kawaida yako wapi? Hizo shule zisizo na walimu wala majengo ? Hizo ahadi zisizotimilika ? Hebu tupe hayo mafanikio ya Kikwete tuweze kuyajadili. Inaonekana katika kuwashutumu watu kumpinga Kikwete bila takwimu, wewe ndiye unasema Kikwete ana mafanikio bila takwimu.

3.Mtu pekee katika Tanzania ya leo aliyekubali kuacha sheria iwashughulike wanadhirifu wa mali za umma.

Kikwete majuzi kawapigia kampeni Mramba na Lowassa, watu ambao uchafu wao unajulikana na umeelezwa vya kutosha.Kasema Lowassa hakufanya makosa anachafuliwa tu. Kwa kuwapigia kampeni na kutoa kauli kama hizo kuhusu watu hawa, wengine ambao kesi zao bado ziko mahakamani, Kikwete kashaingilia uhuru wa mahakama . Unawezaje kusema kwamba Kikwete kaachia mahakama imshughulike mtu kama Mramba ? Hivi Kikwete kama ana interest ya kumuona Mramba anashinda ubunge ili CCM ichukue kiti, kweli Kikwete anaweza kuwa serious kwa vita dhidi ya rushwa? Kama alikuwa serious kwa nini alimfanmyia kampeni Mramba ambaye kesi yake iko mahakamani na Lowassa ambaye kajiuzulu katika wingu la rushwa ?

4.Rais wa Tanzania 2005 - 2015.

We have lowered the bar so low now to the extent that almost anybody can be president, and this presidential clout business, to seriously thinking people at least, will not be a distinction by itself. What did he do as president ? Watanzania tuna tatizo la kutoa ofisi ambazo mtu kazishika kama distinction. Ofisi ambazo mtu kazishika si distinction. Ukitaka kutuonyesha distinction tuonyeshe huyo mtu kafanya nini katika ofisi hizo.

5. Aliyegeuza ilani ya CCM na mafanikio yake kuwa kama moto ambao kila mpinzani anaogopa kuukaribia.

CCM haina hata itikadi, much less ilani. Ilani gani ? Mafanikio gani ? Sio wewe uliyelaumu watu kumpinga Kikwete bila takwimu, sasa mbona unataka kumtetea bila takwimu na kuvunja sheria yako mwenyewe ?

Kiranga,

Hebu tufanyie hisani wasomaji wako utuandikie kwa lugha ya taifa. Manake vingi vinaweza kuwa 'lost in translation' kisha ujumbe ukashindwa kutufikia walengwa bure.
 
'

Ila huyu jamaa akiamua kushuka, huwa anashuka kweli, namkubali sana.

Akipunguza ugomvi, na watu wakaacha kukaa wanamchokonoa chokonoa, JF ina hazina kubwa sana hapa. Principal ya kwenda vizuri na Kiranga, hata kama umegombana naye, msikilize vizuri hoja zake, na umjibu kwa hoja,..., basi!

Kosa lake moja tu .......huwa anaikosoa Chadema. Akiacha hilo tu nafikiri ataonekana Hero wa JF saa zote :confused2:
 
JAKAYA MRISHO KIKWETE a.k.a Msanii,alipokuwa Ludewa ndo katia fora,yaani amewaona watu mabwege kweli.

Katoka na staili ya kupokea simu kabla ya kupanda jukwaani halafu anawambia wananchi alikuwa anazungumza na balozi wa Marekani, eti Obama kaahidi kuendelea kutoa misaada..tehtehteh ....kumbe alikuwa anaongea peke yake,jamaa msanii yule.. ehe....

Hilo la kuongea na ubalozi ni ukweli. Huwezi ukatangaza umeongea na balozi wakati hujaongea naye, ubalozi sio wababaishaji, wangeweza kumwumbua. Kama ni usanii labda timing. Huenda JK alijua balozi ataongea naye juuu ya nini na akamruhusu wakati ule ambao ungeweza kuwa mzuri kwake kwenye kampeni.

Pia ni kweli Obama kaisifia Tanzania wakati anahutubia UN.
 
'

Ila huyu jamaa akiamua kushuka, huwa anashuka kweli, namkubali sana.

Akipunguza ugomvi, na watu wakaacha kukaa wanamchokonoa chokonoa, JF ina hazina kubwa sana hapa. Principal ya kwenda vizuri na Kiranga, hata kama umegombana naye, msikilize vizuri hoja zake, na umjibu kwa hoja,..., basi!

Akiwalima CHADEMA mnamtukana, akiwalima CCM mnamshangilia. You can't have your cake and eat it too.

Kiranga ni mtu makini na mwenye hoja na lazima muheshimu michango yake hata kama inailima CHADEMA.
 
Watu wa Europe wanapenda waafrika tuendelee kuwa mazuzu ili watutawale vizuri.ndo maana utashangaa kiongozi anafanya ujinga katika nchi flani na wao wanamsifia.ukiwa mwerevu tu unakuwa adui yao kama raisi wa Iran au wa Korea Kaskazini.hapo ni kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa
 
Akiwalima CHADEMA mnamtukana, akiwalima CCM mnamshangilia. You can't have your cake and eat it too.

Kiranga ni mtu makini na mwenye hoja na lazima muheshimu michango yake hata kama inailima CHADEMA.

Umakini wa kukomaa na Regia Mtema?? Umakini wa kutaka Slaa aoneshe umahiri wa ukatibu-muktasi? Nay thanx
 
Umakini wa kukomaa na Regia Mtema?? Umakini wa kutaka Slaa aoneshe umahiri wa ukatibu-muktasi? Nay thanx

I could dispute all that vehemently in the Kiranga tradition. But for a moment, let us not get distracted.

Kiranga is not running for president, Kikwete is. This thread is about Kikwete, not Kiranga.

Hebu tumchambue Kikwete na tuache side stories za Alfu-Lela-U-Lela ambazo zina hadithi ndani ya hadithi mpaka tutapotea katika labyrinth hili lisilo mwisho.

Kiranga is a nobody in the Tanzanian scheme of things.Tumjadili Kikwete kama alivyoletwa na mchangiaji wa kwanza.
 
JAKAYA MRISHO KIKWETE
1.Mtanzania pekee aliyewafanya wapinzani uchwara walie kuomba uongozi.
2.Mtu pekee ambaye mafanikio yake kimaendeleo yanapingwa kwa porojo.(bila takwimu)
3.Mtu pekee katika Tanzania ya leo aliyekubali kuacha sheria iwashughulike wanadhirifu wa mali za umma.
4.Rais wa Tanzania 2005 - 2015.
5.Aliyegeuza ilani ya CCM na mafanikio yake kuwa kama moto ambao kila mpinzani anaogopa kuukaribia.

Nina wasiwasi huenda huyu ndiye yule 'Acting Editor' wa Daily Noise ambalo juzi liliandika upupu katika tahariri yake. Kilichoandikwa hapa ni sawia kabisa na kilishoandikwa katika tahariri ya gazeti la sirikali.
 
I could dispute all that vehemently in the Kiranga tradition. But for a moment, let us not get distracted.

Kiranga is not running for president, Kikwete is. This thread is about Kikwete, not Kiranga.

Hebu tumchambue Kikwete na tuache side stories za Alfu-Lela-U-Lela ambazo zina hadithi ndani ya hadithi mpaka tutapotea katika labyrinth hili lisilo mwisho.

Kiranga is a nobody in the Tanzanian scheme of things.Tumjadili Kikwete kama alivyoletwa na mchangiaji wa kwanza.

Really? why won't try me?

Suala la JK mi nilishamaliza kuchangia.
 
Really? why won't try me?

Suala la JK mi nilishamaliza kuchangia.

I just don't want to make this one more thread about Kiranga. Like I said, Kiranga is an insignificant figure in the great scheme of things.

Kama ulishamaliza kumchambua Kikwete ahsante, ningependa kuona wengine ambao hawajamaliza wanafikiri nini kuhusu hii topic.
 
JAKAYA MRISHO KIKWETE
1.Mtanzania pekee aliyewafanya wapinzani uchwara walie kuomba uongozi.
2.Mtu pekee ambaye mafanikio yake kimaendeleo yanapingwa kwa porojo.(bila takwimu)
3.Mtu pekee katika Tanzania ya leo aliyekubali kuacha sheria iwashughulike wanadhirifu wa mali za umma.
4.Rais wa Tanzania 2005 - 2015.
5.Aliyegeuza ilani ya CCM na mafanikio yake kuwa kama moto ambao kila mpinzani anaogopa kuukaribia.

Utani mwingine haufai kabisa. Mbona watutania wewe? Are you serious na haya usemayo? Unafikiri sisi hatuoni kinachoendelea TZ?
 
Back
Top Bottom