Ndugu zangu wanajamvi kama katiba yetu inavosema kila mtanzania ana haki ya kuwa na dini yake, kujiunga na chama anachopenda na uhuru wa kuishi mahali popote, leo mimi najitokeza kuwambia najivunia kuwa mwanachama wa cdm kwasababu ni chama makini ni chama kinachoitakia Tanzania yetu mema kwa kupambana na ufisadi na licha ya ivo kina sera ambazo zinataka kumkomboa mtanzania kutoka ktk lindi la umasikini.
Pia wanajamvi kitu kinachonipa faraja na kunifanya nitembee kifua mbele ni kuona sera za chama hiki pamoja na ilani yake kuchukuliwa na magamba kama mtaji wake wa kisiasa mfano ufisadi. Si ivo tu kuna kamanda mmoja anaitwa freman Aikael Mbowe aka kamanda wa anga huyu jamaa ktk kampeni zake za kuusaka uraisi mwaka 2005 aliweza kuonyesha ubunifu wake kwa kutumia helikopta kupigia kampeni.
Kama tujuavyo magamba walimkejeri kwa kusema mara anafadhiliwa na wamarekani mara ni matumizi mabaya ya ruzuku lakini leo tumeshuhudi nao wamekodi helikopta tena mbili na CUF nao nasikia wanatumi huko Igunga hadi mara nyingine huwa nakaa na kujiuliza hivi chama tawala cha Tanzania ni kipi? Hivi wanajamvi sijutii kuwa mwanachama wa CHADEMA bali najivunia kuwa mwana CHADEMA.
Nawasilisha.
Pia wanajamvi kitu kinachonipa faraja na kunifanya nitembee kifua mbele ni kuona sera za chama hiki pamoja na ilani yake kuchukuliwa na magamba kama mtaji wake wa kisiasa mfano ufisadi. Si ivo tu kuna kamanda mmoja anaitwa freman Aikael Mbowe aka kamanda wa anga huyu jamaa ktk kampeni zake za kuusaka uraisi mwaka 2005 aliweza kuonyesha ubunifu wake kwa kutumia helikopta kupigia kampeni.
Kama tujuavyo magamba walimkejeri kwa kusema mara anafadhiliwa na wamarekani mara ni matumizi mabaya ya ruzuku lakini leo tumeshuhudi nao wamekodi helikopta tena mbili na CUF nao nasikia wanatumi huko Igunga hadi mara nyingine huwa nakaa na kujiuliza hivi chama tawala cha Tanzania ni kipi? Hivi wanajamvi sijutii kuwa mwanachama wa CHADEMA bali najivunia kuwa mwana CHADEMA.
Nawasilisha.