Najivunia kuwa brazamen

Nachojivunia kwanza Nina jicho la nguo huwa sibaatishi Mzee baba,rangi pia naangalia jinsi ya kumechisha,pia navaa kutokana na sehemu nayoenda na aina ya watu ninaenda kukutana nao, nikivaa suti imoo,nikavaa kanzu ipo,t-shirts na jeans vitu vinakaa!full usafi hadi inzi wananiona kwenye TV,Viatu pea kama zote!siwezi kunuka kijasho mtoto wa town kama Mimi!
Aminia mkuu!
 
daah this comment made my evening
Mabrazamen nyinyi siwakubali wala nini.

Kuna mwenzenu mmoja akawa room mate wangu siku hiyo natoka gym namkuta anajifutia miguu fulana yangu. Namuuliza anajibu mi nilifikiri tambara, nigga fvck u tambara linakaaje kwenye begi? Nigga hii ndo fulana yangu pendwa.

Akanipigia simu, rudi chap umeme umeisha. Nikarud nikaweka umeme, naona mtu katoa chupi anaanza kupiga pasi.

Thats right dunia ilikua mbele this dude tulimwacha nyuma, bado alikua anavaa chupi.
 
Navaa pamba kali na najua haswa kuvaa vitu vikali.

Napenda usafi wa mwili wangu mpaka mazingira yanayonizunguka.

Nnanukia perfume nzuri Gucci, Creed au Uomo.

Napenda kutumia vitu vyenye quality na standards za juu. Najali sana viwango kwenye kila kitu changu.

Kibongobongo wananiita brazameni na silichukii ilo jina.

Ubrazameni ni damu unazaliwa nao, wengi wanapenda swaga za kibrazameni ila ndio hivyo wanajikuta hawawezi sababu uwezi jifunza kuwa brazameni utachemsha tu.

Wenye hasira na sisi wanaishia kutuita majina mabaya kutuchafulia CVs. Wanatuita wauza sura, wanaume wa dar, wapaka poda na kutuchafua kwa mademu eti hatuna pesa lakini cha ajabu mademu awaambiwi awasikii kwetu wanatukubali ile mbaya.

Siwezi enda kwenda board room kufanya presentation ya mradi wangu uku nanuka kijasho cha saa saba eti ndio uanaume lazima nichukuliwe poa, lazima nijali muonekano wangu uniuze na kuepuka harufu za kibinadamu.

Navinjali sehemu zenye watu classic ata kama inanigharimu lakini napata connection zenye akili. Bia ya Maison ni gharama ila inanilipa kuliko bia ya buku mbili ya La Chaz.

Najivunia kuwa brazameni na kwa mabrazameni wenzangu msijisikie vibaya kuitwa mabrazameni.
Ma Gentlemen tuko wachache sana, japo me sio bishoo, ni mgumu lakini napenda vitu classic, City Mall nishatembelea kuna baadhi ya maduka wanauza midosho ya kkoo ila kwa bei kubwa, nishakuwa disappointed sana, japo wapo wanaouza vitu classic hasa viatu, saa kama Hublot.... kununua nguo ya gharama binafsi huwa naona sio shida hasa ukiwa umepanga budget yako vizuri, shida inakuja pale unaponunua shati la 50000 au laki moja halafu linafanana na alilonunua mwenzako mtaa wa Kongo kwa 16000, kama hutojali nijulishe naduka yanayouza nguo classic na unique, me nitatimba
 
hongera mkuu kwa kuwajibu wadau kistaarabu maana kuna comments zingine humu ni kazi kweli kweli 🤣 🤣
 
Mabrazamen nyinyi siwakubali wala nini.

Kuna mwenzenu mmoja akawa room mate wangu siku hiyo natoka gym namkuta anajifutia miguu fulana yangu. Namuuliza anajibu mi nilifikiri tambara, nigga fvck u tambara linakaaje kwenye begi? Nigga hii ndo fulana yangu pendwa.

Akanipigia simu, rudi chap umeme umeisha. Nikarud nikaweka umeme, naona mtu katoa chupi anaanza kupiga pasi.

Thats right dunia ilikua mbele this dude tulimwacha nyuma, bado alikua anavaa chupi
.
😂 😂 😂 😂
dadeekiiiii
 
Mambo ya kuvaa ni passion na hobby. Kuna watu huwa wanapendeza na nguo very cheap, wakati huo wewe umejipinda na nguo expensive na hazikutoi wala nini .

Mimi kuvaa sio hobby wala passion yangu, sema napenda viatu vizuri na huwa sikosei kwenye hilo.
 
'Ubrazameni' ni gharama ilo lazima tukubali, 'brazameni' wengi wa kibongo wanapenda iyo lifestyle ikiwa kipato kidogo, wavivu wa kufanya kazi, wanachagua kazi, hawataki kazi ngumu ikiwa elimu hawana.....

Upelekea wengine kuolewa na wanaume wenzao ili kuendelea kumentain status yao ya urembo sorry 'ubrazamen'.

Kama kipato Cha wastani ni Bora kuishi casual.
 
'Ubrazameni' ni gharama ilo lazima tukubali, 'brazameni' wengi wa kibongo wanapenda iyo lifestyle ikiwa kipato kidogo, wavivu wa kufanya kazi, wanachagua kazi, hawataki kazi ngumu ikiwa elimu hawana.....

Upelekea wengine kuolewa na wanaume wenzao ili kuendelea kumentain status yao ya urembo sorry 'ubrazamen'.

Kama kipato Cha wastani ni Bora kuishi casual.
Elimu ya kukariri imeathiri watanzania wengi Kama wewe
 
Kuna mwenzenu mmoja akawa room mate wangu siku hiyo natoka gym namkuta anajifutia miguu fulana yangu. Namuuliza anajibu mi nilifikiri tambara

Akanipigia simu, rudi chap umeme umeisha. Nikarud nikaweka umeme, naona mtu katoa chupi anaanza kupiga pasi.

Thats right dunia ilikua mbele this dude tulimwacha nyuma, bado alikua anavaa chupi.
 
Back
Top Bottom