Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 5,809
- 18,956
Hii thread ipo very positive na ukiisoma between lines unapata some hints za life... Huo ndo ukweli, unavyojiweka na mazingira unayopenda kuwa hutengeneza future. Wengi tunapenda kukaa kimaskini na kuishi na watu tuliowazidi ili tujihisi comfortable. "Comfort can't build dreams mzee".
Sipo obsessed na muonekano wangu ila najua umuhimu wa kuwa na look poa. Big up mkuu kwa hilo
Sipo obsessed na muonekano wangu ila najua umuhimu wa kuwa na look poa. Big up mkuu kwa hilo