Najivunia kuwa brazamen

Mabrazamen nyinyi siwakubali wala nini.

Kuna mwenzenu mmoja akawa room mate wangu siku hiyo natoka gym namkuta anajifutia miguu fulana yangu. Namuuliza anajibu mi nilifikiri tambara, nigga fvck u tambara linakaaje kwenye begi? Nigga hii ndo fulana yangu pendwa.

Akanipigia simu, rudi chap umeme umeisha. Nikarud nikaweka umeme, naona mtu katoa chupi anaanza kupiga pasi.

Thats right dunia ilikua mbele this dude tulimwacha nyuma, bado alikua anavaa chupi.
hao jamaa wapo kama Ben kinyaia.
 
Napenda sana kuvaa vitu vikali na vizuri sema mazingira yananibana ila kwa hakika ubora wa bidhaa ndio kitu cha kipaumbele kikubwa sana kwangu aisee
 
Mabrazamen nyinyi siwakubali wala nini.
Kuna mwenzenu mmoja akawa room mate wangu siku hiyo natoka gym namkuta anajifutia miguu fulana yangu. Namuuliza anajibu mi nilifikiri tambara, nigga fvck u tambara linakaaje kwenye begi? Nigga hii ndo fulana yangu pendwa.
Akanipigia simu, rudi chap umeme umeisha. Nikarud nikaweka umeme, naona mtu katoa chupi anaanza kupiga pasi.
Thats right dunia ilikua mbele this dude tulimwacha nyuma, bado alikua anavaa chupi.
πŸ™ŒπŸ˜‚
 
Wakati napiga mishe zangu kwa boss Fulani nilikuwa natupia vitu hadi boss akakasirika imagine nikavaa shati January siku moja nalirudia tena March, wakati boss anakomaa na shati moja siku 5 mfulilizo
Navaa pamba kali na najua haswa kuvaa vitu vikali.

Napenda usafi wa mwili wangu mpaka mazingira yanayonizunguka.

Nnanukia perfume nzuri Gucci, Creed au Uomo.

Napenda kutumia vitu vyenye quality na standards za juu. Najali sana viwango kwenye kila kitu changu.

Kibongobongo wananiita brazameni na silichukii ilo jina.

Ubrazameni ni damu unazaliwa nao, wengi wanapenda swaga za kibrazameni ila ndio hivyo wanajikuta hawawezi sababu uwezi jifunza kuwa brazameni utachemsha tu.

Wenye hasira na sisi wanaishia kutuita majina mabaya kutuchafulia CVs. Wanatuita wauza sura, wanaume wa dar, wapaka poda na kutuchafua kwa mademu eti hatuna pesa lakini cha ajabu mademu awaambiwi awasikii kwetu wanatukubali ile mbaya.

Siwezi enda kwenda board room kufanya presentation ya mradi wangu uku nanuka kijasho cha saa saba eti ndio uanaume lazima nichukuliwe poa, lazima nijali muonekano wangu uniuze na kuepuka harufu za kibinadamu.

Navinjali sehemu zenye watu classic ata kama inanigharimu lakini napata connection zenye akili. Bia ya Maison ni gharama ila inanilipa kuliko bia ya buku mbili ya La Chaz.

Najivunia kuwa brazameni na kwa mabrazameni wenzangu msijisikie vibaya kuitwa mabrazameni.
 
Napenda sana kuvaa vitu vikali na vizuri sema mazingira yananibana ila kwa hakika ubora wa bidhaa ndio kitu cha kipaumbele kikubwa sana kwangu aisee
Pamoja mkuu, hivi vitu ni damu unazaliwa nayo kuna watu awajabarikiwa kujua ukali. Pambana mzee utupie unyama kama wote.
 
Huku mikoani ukija na huo ubrazameni wako utaliwa ndogo tuu
Sidhani kama kuna mkoa sijafika nchi hii, nimezunguka kila kona. Last week nilikuwa Newala Mtwara huko nilikuwa nna project na WB wanafanya baseline ya mradi wao wa elimu.
Watu wa mikoani ni watu poa sana kila napokutana nao ni story kubadilishana mawazo na kupeana maarifa mbalimbali ya kimaisha. Nawakubali sana wshikaji wa mikoani wapo fresh sana sio vizuri kuwatumia kunitusi. Unaweza tafuta namna nyingine ya kupunguza stress zako mkuu.
 
Wakati napiga mishe zangu kwa boss Fulani nilikuwa natupia vitu hadi boss akakasirika imagine nikavaa shati January siku moja nalirudia tena March, wakati boss anakomaa na shati moja siku 5 mfulilizo
Safi sana mzee baba ndio inavyotakiwa mpaka boss anajisikia inferior akikuona. Usafi na kuwa classic wengi wanapenda ila wanakosa maujanja na ndio chuki inaanzia hapo.
 
Kwahyo Ngolo Kante wa Chelsea yule hali matunda, hanywi maji ndo maana hana nuru? Elezea ukweli mkuu wa kuwa na nuru lakini sio hayo maneno
Kuwa na nuru nikuwa na muonekano wenye afya sio kuwa na sura nzuri. Unaweza usiwe handsome ila ukawa na nuru na ukatazamika.
 
Safi sana mzee baba ndio inavyotakiwa mpaka boss anajisikia inferior akikuona. Usafi na kuwa classic wengi wanapenda ila wanakosa maujanja na ndio chuki inaanzia hapo.

Safi sana mkuu...

Perfumes unazotumia zinauzwa Dsm?

Kama vipi naomba unitajie maduka na bei nizitafute maana napenda sana perfumes kali
 
Safi sana mkuu...

Perfumes unazotumia zinauzwa Dsm?

Kama vipi naomba unitajie maduka na bei nizitafute maana napenda sana perfumes kali
Dsm yapo maduka mengi tu ya perfume.. Nenda JD pharmacy mlimani city au citymall mle karibu na DIT kuna duka ghorofa ya pili lina perfume nzuri bei zinaanzia laki kwenda mbele inategemea na budget yako.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom