Najivunia kuwa brazamen

mr gentleman

JF-Expert Member
Aug 1, 2012
3,223
4,679
Navaa pamba kali na najua haswa kuvaa vitu vikali.

Napenda usafi wa mwili wangu mpaka mazingira yanayonizunguka.

Nnanukia perfume nzuri Gucci, Creed au Uomo.

Napenda kutumia vitu vyenye quality na standards za juu. Najali sana viwango kwenye kila kitu changu.

Kibongobongo wananiita brazameni na silichukii ilo jina.

Ubrazameni ni damu unazaliwa nao, wengi wanapenda swaga za kibrazameni ila ndio hivyo wanajikuta hawawezi sababu uwezi jifunza kuwa brazameni utachemsha tu.

Wenye hasira na sisi wanaishia kutuita majina mabaya kutuchafulia CVs. Wanatuita wauza sura, wanaume wa dar, wapaka poda na kutuchafua kwa mademu eti hatuna pesa lakini cha ajabu mademu awaambiwi awasikii kwetu wanatukubali ile mbaya.

Siwezi enda kwenda board room kufanya presentation ya mradi wangu uku nanuka kijasho cha saa saba eti ndio uanaume lazima nichukuliwe poa, lazima nijali muonekano wangu uniuze na kuepuka harufu za kibinadamu.

Navinjali sehemu zenye watu classic ata kama inanigharimu lakini napata connection zenye akili. Bia ya Maison ni gharama ila inanilipa kuliko bia ya buku mbili ya La Chaz.

Najivunia kuwa brazameni na kwa mabrazameni wenzangu msijisikie vibaya kuitwa mabrazameni.
 
Kwa kweli kua brazameni kuna raha yake,umeongea point sana boss kwenye huu uzi
Navaa pamba kali na najua haswa kuvaa vitu vikali.

Napenda usafi wa mwili wangu mpaka mazingira yanayonizunguka.

Nnanukia perfume nzuri Gucci, Creed au Uomo.

Napenda kutumia vitu vyenye quality na standards za juu. Najali sana viwango kwenye kila kitu changu.

Kibongobongo wananiita brazameni na silichukii ilo jina.

Ubrazameni ni damu unazaliwa nao, wengi wanapenda swaga za kibrazameni ila ndio hivyo wanajikuta hawawezi sababu uwezi jifunza kuwa brazameni utachemsha tu.

Wenye hasira na sisi wanaishia kutuita majina mabaya kutuchafulia CVs. Wanatuita wauza sura, wanaume wa dar, wapaka poda na kutuchafua kwa mademu eti hatuna pesa lakini cha ajabu mademu awaambiwi awasikii kwetu wanatukubali ile mbaya.

Siwezi enda kwenda board room kufanya presentation ya mradi wangu uku nanuka kijasho cha saa saba eti ndio uanaume lazima nichukuliwe poa, lazima nijali muonekano wangu uniuze na kuepuka harufu za kibinadamu.

Navinjali sehemu zenye watu classic ata kama inanigharimu lakini napata connection zenye akili. Bia ya Maison ni gharama ila inanilipa kuliko bia ya buku mbili ya La Chaz.

Najivunia kuwa brazameni na kwa mabrazameni wenzangu msijisikie vibaya kuitwa mabrazameni.
 
Weka bank statement *****.

Bila stable income brazamen is equal or greater to kaben10.

Pamba kali my ass.
Naona unapima levels sio, mimi sio millionea ila nashukuru Mungu kanijalia naishi ndoto zangu yani kila nachoitaji nakipata i mean kila nachoitaji siongopi.

Pole, you sound like mabrazameni wamekutenda sana... Ukiona hivyo tafuta wa type zako ndio majaliwa yako.
 
Naona unapima levels sio, mimi sio millionea ila nashukuru Mungu kanijalia naishi ndoto zangu yani kila nachoitaji nakipata i mean kila nachoitaji siongopi.

Pole, you sound like mabrazameni wamekutenda sana... Ukiona hivyo tafuta wa type zako ndio majaliwa yako.
Brazameni tulia.

Kelele nyingi kisa Balimi za mwisho wa mwezi.

🤣🤣 Ndoto za ku achieve bila a million Tsh ni kazi sana.
 
Back
Top Bottom