Najiuliza tu hivi kweli Lissu umeamua kupambana na Serikali za wanadamu?

m2020

JF-Expert Member
Jul 10, 2016
979
1,353
Nimeanza kujiuliza naamini hapa JF kuna wajuvi wa mambo mtanisaidia swali hili:-

Hivi kweli Tundu Lisu(MB) ameamua kupambana na serikali za wanadamu kweli? Je atashinda vita hii au atashindwa?

Kwa mtazamo wangu na hasa kwa kauli yake ya mwaka huu mpya 2019 aliyoitoa akiwa ubeligiji kuhusu utawala wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Mhe MAgufuli kwamba inanyima haki za binadamu na ni ya kikatili na isiyofaa. Bado najiuliza je ni kweli ameamua kupambana na serikali au?

 
Nimeanza kujiuliza naamini hapa JF kuna wajuvi wa mambo mtanisaidia swali hili:-

Hivi kweli Tundu Lisu(MB) ameamua kupambana na serikali za wanadamu kweli? Je atashinda vita hii au atashindwa?

Kwa mtazamo wangu na hasa kwa kauli yake ya mwaka huu mpya 2019 aliyoitoa akiwa ubeligiji kuhusu utawala wa serikali ya awamu ya 5 chini ya Mhe MAgufuli kwamba inanyima haki za binadamu na ni ya kikatili na isiyofaa. Bado najiuliza je ni kweli ameamua kupambana na serikali au?



Hujaeleweka vyema... Hebu fafanua vizuri hoja yako.

Anapambanaje na serikali?

Mbona Tundu Lissu amesema mambo ambayo ni halisi, yapo, yametokea na yanaendelea kutokea...

Kwa nini ukuite huku kama ni "kupambana?" Au wewe mwenzetu yoote hayo kwako wewe ni uzushi tu na kwa hiyo huko ndo "kupambana" kwenyewe na serikali?

Kama kwako ni uzushi tu, upi ni ukweli kinyume chake?

Eleza vizuri bwana. Inawezekana una hoja nzuri tu, lakini uwasilishaji ndiyo tatizo. Kaa tulia, hariri andiko lako, rekebisha. Wajumbe tupo, tutajadili tu...
 
Back
Top Bottom