Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Najiuliza kwanini Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo imeamua kuzika miili ya watu 6 waliookotwa mto Ruvu bila uchunguzi kufanyika, huku wakijua kuwa kuna familia zipo kwenye taharuki ya kupoteza ndugu zao. Hata kama miili ilikua imeharibika sana ilipaswa kuchukuliwa sampuli kabla ya kuzikwa. Sioni kuwa hili ni kosa la bahati mbaya, unless wanasheria watuambie sheria zinasemaje kwenye hili. Lakini bado maswali ni mengi kuliko majibu.!
Malisa GJ
Malisa GJ