Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Kwani hayo maisha bora mnayosema tujitafutie si tulikuwa tunajitafutia siku zote hata kabla Kikwete hajatapeli wadanganyika?watu ni wavivu wakujitafutia maendeleo wanadhani rais akisema maisha bora kwa kila mtanzania basi atawagawia ugali wa bure kila siku,maisha bora ni pamoja na sisi wenyewe kumuunga na kumtia moyo rais wetu kwa kujituma kutafuta maendeleo yetu binafsi.
n
Wewe cheusi ebu tuambie mbona unayosema leo hamkuyasema 2005 au mwadhani yote tumeyasahau?
Mlitakiwa mtuambie kuwa maisha bora si kwa kila mtanzania bali kwa mtanzania kujitafutia mwenyewe. Na elewa ikisha fikia mahali hapo pa kila mtanzania kujitafutia maendeleo mfute hiyo kauli kwamba kila mtanzania atapata maisha bora. Asante kwa utapeli wenu. Wajinga ndio waliwao. Ole wao waliompatia Kikwete kura zao.
KIGUMU CHAMA CHA MAFISADI