Ujengelele
JF-Expert Member
- Jan 14, 2008
- 1,253
- 22
Rais wangu hana muda mchafu wakubabaika na kiavatar kama hiki wakati mama salma ni the real beuty tena anayejua kupiga pamba!
kidumu CHAMA CHA MAPINDUZI bila thithiem amani yetu itakuwa mashakani na tutakaopata shida ni sisi kina mama na watoto!
Acha uwongo weye!!! huna hata aibu ya kusema uwongo!!! Nenda ukafanye kampeni labda utakumbukwa upewe ukuu wa wilaya kama siyo ubalozi. Nchi imejaa ufisadi lakini huoni hayo ya akina mama kushare kitanda wakati wanajifungua, wanafunzi kukaa chini, nchi kukosa maendeleo yote hayo huyaoni!!!! Wizi wa mabilioni na hakuna aliyekamtwa hadi leo, yote hayo huyaoni!!!! Naona kumbe uwongo ni jadi yako.