Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaKama ni wake za watu wanajilengesha kwako basi kwa mtazamo wangu una nyota ya fenesi lililoiva, angalia unaweza pakwa mafuta kisha uliwe!
AsanteBro kwamwe usishoboke na wake za watu, hata wakupende vipi..
Kitu PEKEE kizuri kuhusu Wanawake kwenye hii dunia ni kwamba WAPO WENGI SANA.
Be a Man.
Moja ya fantasy yangu ni kula mwanamke mwenye mimba tumbo kubwa kidogo mchumba au mke wa mtu
Sjui nilikuwa nataka nisemeje
Embu ngoja kwanza nitarudi baadaye
HihihiKama ni wake za watu wanajilengesha kwako basi kwa mtazamo wangu una nyota ya fenesi lililoiva, wakati wowote unaweza pakwa mafuta kisha uliwe!
Kwanza achana na iyo dhana ya bahati mbaya, tafuta maneno mengine ya kujiambia.Najihisi nina bahati mbaya
maana hili jambo limenitokea mara tatu,imefika mara ya tatu kupendwa na wadada wenye mimba tena kimapenzi,hata sielewi kwanini inajirudia.sielewi ni mkosi au nini,halafu kibaya zaidi wote ni wake za watu dah!!
nimekupata vizuri kakaKwanza achana na iyo dhana ya bahati mbaya, tafuta maneno mengine ya kujiambia.
.
Jiepushe nao, weka mipaka na uisimamie. Muoneshe huhitaji chochote kwake na usimamie hilo. Hata misaada midogo midogo apo upunguze, mana haba na haba hujaza kibaba.
.
Tafuta mwanamke/ wanawake wako wa kukuhudumia vizuri. Pakiwa na ka uwazi tu apo kwamba hauna mwanamke wako wa kudumu basi ushawishi juu ya wake za watu unaongezeka.
.
Kuwa bize na shughuli zako.
Itabidi nikuombee.Najihisi nina bahati mbaya
maana hili jambo limenitokea mara tatu,imefika mara ya tatu kupendwa na wadada wenye mimba tena kimapenzi,hata sielewi kwanini inajirudia.sielewi ni mkosi au nini,halafu kibaya zaidi wote ni wake za watu dah!!