nitaachaje kujichukia akati vyote ulivotaja vinanihusu,post yangu ya nyuma nimeeleza jinsi nilivyo
Laki 7 nenda aga khan watakusaidia tatizo dogo sana hiloinaeza kua bei gani kufanya hivyo
Wewe acha utani katika mambo ambayo ni serious. Kama wewe Leo upo na afya basi waangalie/wahurumie/wasaidie wenye matatizo we don't know what tomorrow hold. Linapokuja suala la "kesho" sisi sote ni vipofu.Umeshalipia Tangazo?
nitajitahidiHauna sababu ya kujichukia. Unahitaji watu positive wakuzunguke. Badilisha hata circle ya marafiki zako. Hebu kaa uandike mambo mazuri yote kuhusu wewe. Una roho nzuri, unahudumia wagonjwa na yatima, unafanya kazi kwa bidii, unaheshimu wakubwa una imani ya dini. Yaani jitafute ujione ulivyo wa thamani. Hata kutabasamu tu jamani?
snowhite hebu njoo nisaidie.
asante sana,me nimeshakunywa,nakusubiri urudisikiliza sweet love!
UTHAMANI WAKO NA NAFASI YAKO YA KUPATA MWENZI HAVINA MAHUSIANO NA NGOZI YAKO!
IIIIIIILA KUNA MAHUSIANO NA KUKOSA KWAKO KUJIKUBALI NA KUJIPENDA ULIVYO!
nimesoma hata post yako ya kutafuta mchumba,KWANNI UMETANGULIZA YALE ULIYOANDIKA?
huna mambo ambayo ukifanya na ulivyo unamshukuru MUNGU?
unaaamini thamani ya uhai wako inajazwa na mwonekano wa ngozi!
WEWE NI HUYO ALIYEPO NDANI,sio nje sio ngozi!sio mwonekano!
hebu angalia kwenye yale yakupayo furaha na umshukuru MUNGU KWAYO!jifunze kuhesabu ulichobarki na namna vile wanadamu wengine wanafaidika na uwepo wako kwenye maisha yao!BE PROUD OF THAT!ona unavyogusa maisha ya wengine!furahia kuwa dada kWA wadogo zako,binti kwa mama yako,rafiki kwa rafiki zako!WANAKUPENDA!fact is hakuna HATA MMOJA ANAYEKUMBUKA MWONEKANO WA NGOZI YAKO!vivyo hivyo kwa mwenzi unayemtafuta(hili nalo linatakiwa mjadala)
ngoja nikanywe chai kwanza narudi,WE UMEKUNYWA?
meshibajeee!asante sana,me nimeshakunywa,nakusubiri urudi
not guaranteed!am a girl kwanza pole pili ushawahi jaribu retin A, pesorl gel au epiderm mie pia nilikua na tatizo la chunus ila naonyesha dalili ya kushinda vita, pili kuhusu mume kamfuate boy wako mmoja au aliyekutoa bikira akuoe atleast una uhakika alishawahi kukupenda anaweza kukupenda tena.