Najiandaa kumpokea Balali

Status
Not open for further replies.

Nicholaus Kilunga

JF-Expert Member
Feb 15, 2014
1,188
567
Yes najiandaa,kwani Lowassa aliahidi kwamba siku CCM itakapothubutu kumwengua na kulikata jina lake kama mtia nia wa urais wa CCM kwa namna yeyote basi yeye atamleta Daudi Balali,mtu muhimu na shahidi mahususi kwenye scandal kubwa ya ufisadi wa EPA,mtu aliyetoweka kama upepo huku Watanzania wakiwa na maswali mengi ya kumwuliza,mtu alishikwa na maradhi ya tumbo ya gafla na hatimaye umauti.

Tayari Lowassa ameunguliwa kwenye kinyang'anyiro cha urais CCM,sasa watanzania wanasubiri kuona kama atatimiza ahadi yake ya kumleta Balali Bongo,mtu tuliyeaminishwa amekufa na tukaoneshwa na Meena mpaka kabuli lake kutoka huko Gate of Heaven Marekani.

Je ataendelea kuwa kimya kama alivyokuwa kimya kwenye issue za Richmond ama atathubutu?


"Hata Kisu kina Kata but hakina Diwani"
 
Nicholaus Kilunga

Wee jamaa una hatari. Nasema hatariiii. Unataka ku rest in peace sasa. Wote walionana na marehemu wali RIP! Shauri yako.
 
Last edited by a moderator:
Wee jamaa una hatari. Nasema hatariiii. Unataka ku rest in peace sasa. Wote walionana na marehemu wali RIP! Shauri yako.



Watanzania kwa woga tu hamjambo,Edo ndo aliahidi kumtuletea Gavana wetu mpendwa Balali,pindi tu CCM itakapolikata jina lake kama mgombea urais,so tunasubiri Edo atuambia lini atamleta gavana wetu kutoka huko mafichoni then tujiandae kumpokea,karibu hata wewe ,nina maswali yangu
 
hakika mchakato huu utawatengenezea uadui mkubwa viongozi wakubwa wa CCM (MA'CCM) wataumbuana sana baada ya hili:A S-fire1::A S-fire1:
 
Watanzania kwa woga tu hamjambo,Edo ndo aliahidi kumtuletea Gavana wetu mpendwa Balali,pindi tu CCM itakapolikata jina lake kama mgombea urais,so tunasubiri Edo atuambia lini atamleta gavana wetu kutoka huko mafichoni then tujiandae kumpokea,karibu hata wewe ,nina maswali yangu
Mkuu siyo uoga, nilitaka kukuhakikishia kuwa jamaa yupo, ila wale waliobahatika kukutana nae walirest in peace!
 
Namshauri Lowasa as a brother,kama anataka kuendelea kuishi anyamaze kimya aendelee na biashara zake.Hawa jamaa sio watu wazuzi,they can do anything for power,watamuua!
Nicholaus Kilunga
 
Last edited by a moderator:
Najiandaa kumpokea Balali

Yes najiandaa,kwani Lowassa aliahidi kwamba siku CCM itakapothubutu kumwengua na kulikata jina lake kama mtia nia wa urais wa CCM kwa namna yeyote basi yeye atamleta Daudi Balali,mtu muhimu na shahidi mahususi kwenye scandal kubwa ya ufisadi wa EPA,mtu aliyetoweka kama upepo huku Watanzania wakiwa na maswali mengi ya kumwuliza,mtu alishikwa na maradhi ya tumbo ya gafla na hatimaye umauti.

Tayari Lowassa ameunguliwa kwenye kinyang'anyiro cha urais CCM,sasa watanzania wanasubiri kuona kama atatimiza ahadi yake ya kumleta Balali Bongo,mtu tuliyeaminishwa amekufa na tukaoneshwa na Meena mpaka kabuli lake kutoka huko Gate of Heaven Marekani.

Je ataendelea kuwa kimya kama alivyokuwa kimya kwenye issue za Richmond ama atathubutu?


"Hata Kisu kina Kata but hakina Diwani"
 
Namshauri Lowasa as a brother,kama anataka kuendelea kuishi anyamaze kimya aendelee na biashara zake.Hawa jamaa sio watu wazuzi,they can do anything for power,watamuua!


Mh so naye apige kimya kama ...bt El ni mwoga sana,hana namna
 
Status
Not open for further replies.
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom