Natangaza kusudio langu la kuwapeleka TBA mahakamani na watanzania wote wazalendo naomba mniunge mkono kwa kunipatia kila aina ya msaada ili kuwatia nguvuni.
TBA watakabiliwa na makosa yafuatayo;-
*kuudanganya umma juu ya hatari za nyufa ktk mabweni waliojenga pale UDSM.
*kuisababishia serikali hasara kwa kujenga majengo yaliyo chini ya viwango.
* kukiuka maadili ya kiuhandisi kwa kutofuta taratibu zote ktk ujenzi.
*kuhatarisha maisha ya watoto wetu wanaokaa ktk mabweni waliojenga.
Mwisho naomba wajuvi wa masuala ya kisheria mnisaidie kutengeneza mashitaka dhidi ya TBA kama yapo zaidi ya hayo niliyo yaorodhesha.
Sote tujiiulize swali hili;-
Mbona NHC wamekuwa wakijenga majengo kote nchini lkn hapajawahi kujitokeza mipasuko kama ile ya kwenye mabweni yaliyojengwa na TBA pale UDSM?
TBA watakabiliwa na makosa yafuatayo;-
*kuudanganya umma juu ya hatari za nyufa ktk mabweni waliojenga pale UDSM.
*kuisababishia serikali hasara kwa kujenga majengo yaliyo chini ya viwango.
* kukiuka maadili ya kiuhandisi kwa kutofuta taratibu zote ktk ujenzi.
*kuhatarisha maisha ya watoto wetu wanaokaa ktk mabweni waliojenga.
Mwisho naomba wajuvi wa masuala ya kisheria mnisaidie kutengeneza mashitaka dhidi ya TBA kama yapo zaidi ya hayo niliyo yaorodhesha.
Sote tujiiulize swali hili;-
Mbona NHC wamekuwa wakijenga majengo kote nchini lkn hapajawahi kujitokeza mipasuko kama ile ya kwenye mabweni yaliyojengwa na TBA pale UDSM?