Kifai
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 816
- 172
Nimekaa na kujiuliza mambo yafuatayo
1) Kwanini huyu jamaa katumia gharama kubwa sana kuandaa hii shughuli yake leo
2) Hivi ikitokea hajachaguliwa kuiwakilisha CCM ni nini kitatokea ndani ya CCM?
3) Hivi Lowassa akipewa hii nchi kutakuwa na uhakika wa kuwakemea mafisadi wa nchi hii?
Ni hayo tu
1) Kwanini huyu jamaa katumia gharama kubwa sana kuandaa hii shughuli yake leo
2) Hivi ikitokea hajachaguliwa kuiwakilisha CCM ni nini kitatokea ndani ya CCM?
3) Hivi Lowassa akipewa hii nchi kutakuwa na uhakika wa kuwakemea mafisadi wa nchi hii?
Ni hayo tu