Good People
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 945
- 1,817
Najaribu kujenga picha jinsi mitaa itakayozizima kwa na wanachama na wananchi kwa ujumla wakipiga madebe na shamrashamra hapo mwaka 2115 hakika UKAWA watakua wameshinda kwa kura nyingi Uchaguzi huo.
Kwa maisha ya sasa nitakua na miaka 125 naona Mimi sitakuepo ila wajukuu zangu watashuhudia.
Kwa maisha ya sasa nitakua na miaka 125 naona Mimi sitakuepo ila wajukuu zangu watashuhudia.