Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
#Anahoji Martin Maranja Masese.
Najaribu kufikiri kama CCM ndio wangelikuwa huku wengine tuliposimama. Wangevumilia?
Rais Magufuli atupiwe kesi ya AKWILINA
Rais Magufuli ameharibiwa ile hoteli na shamba lake Chato
Rais Magufuli na Mary Nagu wametunzwa Segerea siku 104.
CCM wamekatazwa kufanya mikutano ya hadhara nchi nzima.
Wagombea wa CCM wote wakatwe kwenye Uchaguzi S/M
Mbunge wa CCM afanyiwe alichofanyiwa Tundu Lissu
Mbunge wa CCM (yeyote) apewe kesi ya Ugaidi na uasi
Wafuasi wa CCM wapigwe mabomu ya machozi na maji ya kuwasha.
Viongozi wa CCM 10 wapewe mashtaka wahudhurie Kisutu miaka 3 mfululizo.
Katibu mkuu wa CCM atupiwe kesi huko Songea ya uchochezi.
Job Ndugai atupiwe adhabu ya kutohudhuria vikao vya bunge siku 365.
Nape amekamatwa na kulazwa mahabusu, kosa? Kwanini ameingia Mtama bila kibali
Makamba amezuiwa kusafirisha akiwa Airport, awekwa chini ya ulinzi.
Halafu wengine wafanyiwe waliyofanyiwa Saanane, Mwangosi etc
Unafikiri CCM ingelikuwa hai? Wana CCM wangevumilia rafu hizi? CCM ingebaki na 'wachumia tumbo?
na unadhani wangehamia huko akina Katambi na Mtatiro na Slaa?
Unafikiri CCM ingelikuwa na hadhi hata ya kusimama na JAHAZI ASILIA au TADEA?
CCM sasa wana dola, wamechoka, wamechakaa, wakiikosa je?
Sio kitu rahisi, wapinzani wa nchi ni watu waliopitia yote hayo na hadi sasa bado wanaendelea kuwa imara.
Wapo walioshindwa kuvumilia, waliondoka Kwenda CCM kutafuta unafuu wa kisiasa.
Waliobaki (labda) ni imara zaidi. Wapo ambao wapo upinzani kwa maslahi binafsi pia.
#MMM, Martin Maranja Masese
Najaribu kufikiri kama CCM ndio wangelikuwa huku wengine tuliposimama. Wangevumilia?
Rais Magufuli atupiwe kesi ya AKWILINA
Rais Magufuli ameharibiwa ile hoteli na shamba lake Chato
Rais Magufuli na Mary Nagu wametunzwa Segerea siku 104.
CCM wamekatazwa kufanya mikutano ya hadhara nchi nzima.
Wagombea wa CCM wote wakatwe kwenye Uchaguzi S/M
Mbunge wa CCM afanyiwe alichofanyiwa Tundu Lissu
Mbunge wa CCM (yeyote) apewe kesi ya Ugaidi na uasi
Wafuasi wa CCM wapigwe mabomu ya machozi na maji ya kuwasha.
Viongozi wa CCM 10 wapewe mashtaka wahudhurie Kisutu miaka 3 mfululizo.
Katibu mkuu wa CCM atupiwe kesi huko Songea ya uchochezi.
Job Ndugai atupiwe adhabu ya kutohudhuria vikao vya bunge siku 365.
Nape amekamatwa na kulazwa mahabusu, kosa? Kwanini ameingia Mtama bila kibali
Makamba amezuiwa kusafirisha akiwa Airport, awekwa chini ya ulinzi.
Halafu wengine wafanyiwe waliyofanyiwa Saanane, Mwangosi etc
Unafikiri CCM ingelikuwa hai? Wana CCM wangevumilia rafu hizi? CCM ingebaki na 'wachumia tumbo?
na unadhani wangehamia huko akina Katambi na Mtatiro na Slaa?
Unafikiri CCM ingelikuwa na hadhi hata ya kusimama na JAHAZI ASILIA au TADEA?
CCM sasa wana dola, wamechoka, wamechakaa, wakiikosa je?
Sio kitu rahisi, wapinzani wa nchi ni watu waliopitia yote hayo na hadi sasa bado wanaendelea kuwa imara.
Wapo walioshindwa kuvumilia, waliondoka Kwenda CCM kutafuta unafuu wa kisiasa.
Waliobaki (labda) ni imara zaidi. Wapo ambao wapo upinzani kwa maslahi binafsi pia.
#MMM, Martin Maranja Masese