Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Wenye facts, data, evidence zitakazonishawishi kukubali nikichague chadema kishike dola 2020 .
Na evidence hizo ziwe ni zile za kuwaletea wananchi maendeleo.
Hata kwa fedha za mfuko wa jimbo wanazopewa , mrushe picha basi tuone walichofanya.
Mfano yule mbunge wa singida mashariki, pamoja na yule wa kule hai.
Najua mtasema chadema haikusanyi kodi na ndio kisingizio chenu.
Hata kama hawakusanyi kodi mtuambie ni kitu gani cha ubunifu na chenye maslahi kwa wananchi walicho kibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na evidence hizo ziwe ni zile za kuwaletea wananchi maendeleo.
Hata kwa fedha za mfuko wa jimbo wanazopewa , mrushe picha basi tuone walichofanya.
Mfano yule mbunge wa singida mashariki, pamoja na yule wa kule hai.
Najua mtasema chadema haikusanyi kodi na ndio kisingizio chenu.
Hata kama hawakusanyi kodi mtuambie ni kitu gani cha ubunifu na chenye maslahi kwa wananchi walicho kibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app